Kigoma Vs Mtwara: Mkoa upi upo nyuma kimaendeleo?

Kigoma Vs Mtwara: Mkoa upi upo nyuma kimaendeleo?

CARDLESS

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2017
Posts
7,869
Reaction score
16,014
Tujadili
Jamani waungwana napata shida sana kuweza kutambua mkoa upi kati ya MTWARA NA KIGOMA uko nyuma zaidi kimaendeleo. Msaada wenu ili nijikite sehemu iliyonyuma kufanya research yangu..

Ninafanya masters katika Community Development, hivyo hiyo mikoa naona itanifaa, nimewahi kufika Mtwara miaka ile ya gesi ila Kigoma bado.
 
Nenda mkoani kwenu kafanyie hiyo research.
Tanzania karibu mikoa yote ukiitoa Dar es salaam hali zinalandana.
Kama lengo lako uikashifu mikoa yetu ushindwe. Zamani nilipokutana na wanafunzi wenzangu shule za bweni kazi yao ilikuwa kutupondea kwetu huku wakisahau kuwa kitendo cha wao kuja kusoma kwetu ni dalili ya maendeleo kwetu, wengine wakajifanya kwao ni dar kumbe Chato ndo wamezaliwa.
Ashukuriwe Mungu mpaka sasa nimetembea mikoa kama 20 na nimegundua Mtwara tuna unafuu sana.
 
Mkuu wala hakuna haja ya kupata nao tabu

Tena waache hivyo hivyo waendelee kuamin mtwara ni mkoa taabani usiwastue.

Usije ukawastua wakaanza kutuwekea kauzibe bure
Nenda mkoani kwenu kafanyie hiyo research.
Tanzania karibu mikoa yote ukiitoa Dar es salaam hali zinalandana.
Kama lengo lako uikashifu mikoa yetu ushindwe. Zamani nilipokutana na wanafunzi wenzangu shule za bweni kazi yao ilikuwa kutupondea kwetu huku wakisahau kuwa kitendo cha wao kuja kusoma kwetu ni dalili ya maendeleo kwetu, wengine wakajifanya kwao ni dar kumbe Chato ndo wamezaliwa.
Ashukuriwe Mungu mpaka sasa nimetembea mikoa kama 20 na nimegundua Mtwara tuna unafuu sana.
 
Mtwara unaifananishaje na kigoma, mtwara wanasoma magazeti ya Leo Leo, kigoma wanasoma kesho, Mtwara siku kuna Barbara ya lami toka Dar mpaka Mtwara. kati ya viwanja sita vikubwa vya ndege nchini kimojawapo kinapatikana Mtwara, ila pia ukumbuke Mtwara pia baada ya Mandarin ya Dar, ya pili in ile Mtwara. nb, wananchi wa Mtwara siku hizi angalau wana furaha kuliko wa Kigoma, hats kama wanazingulia na umeme unaokatika Mara kwa Mara, ingawa gesi inatokea huko.
 
Mtwara kuko njema kuliko Mikoa Mingi sana inayosifika!

Mh. Anna Abdallah alipopewa Wizara ya Afya wakati wa Mkapa alifanya Kama Wachagga wanavyofanya!

Miradi yote Mikubwa ya Afya alipeleka kwao hivyo Wingi wa NGOs za Afya kulisaidia sana
 
Nenda mkoani kwenu kafanyie hiyo research.
Tanzania karibu mikoa yote ukiitoa Dar es salaam hali zinalandana.
Kama lengo lako uikashifu mikoa yetu ushindwe. Zamani nilipokutana na wanafunzi wenzangu shule za bweni kazi yao ilikuwa kutupondea kwetu huku wakisahau kuwa kitendo cha wao kuja kusoma kwetu ni dalili ya maendeleo kwetu, wengine wakajifanya kwao ni dar kumbe Chato ndo wamezaliwa.
Ashukuriwe Mungu mpaka sasa nimetembea mikoa kama 20 na nimegundua Mtwara tuna unafuu sana.
kwakweli wanazidi kutunyanyasa na Magufuli akizidi kumwaga mipesa ya korosho watatufurahia maana wanaishi kwa kutukariri
 
Nenda mkoani kwenu kafanyie hiyo research.
Tanzania karibu mikoa yote ukiitoa Dar es salaam hali zinalandana.
Kama lengo lako uikashifu mikoa yetu ushindwe. Zamani nilipokutana na wanafunzi wenzangu shule za bweni kazi yao ilikuwa kutupondea kwetu huku wakisahau kuwa kitendo cha wao kuja kusoma kwetu ni dalili ya maendeleo kwetu, wengine wakajifanya kwao ni dar kumbe Chato ndo wamezaliwa.
Ashukuriwe Mungu mpaka sasa nimetembea mikoa kama 20 na nimegundua Mtwara tuna unafuu sana.
Kabla sijafika Mtwara nilikuwa naamini ni sehemu mbaya sana, kwa maneno tu ya watu. Ila nolivyofika nikashangaa sana kukuta na mji wa kawaida na sio kubaya kama watu wanavyoponda.

Btw i miss that small town.
 
Kigoma iko nyuma teeena mbali saaan kulinganisha na mtwara kuanzia maendeleo ya miundo mbinu... usafirishaji... maendeleo ya mmoja mmoja hadi muonekano.....

Ninaijua mikoa yoote iyo vizuuur saaana....
 
Kabla sijafika Mtwara nilikuwa naamini ni sehemu mbaya sana, kwa maneno tu ya watu. Ila nolivyofika nikashangaa sana kukuta na mji wa kawaida na sio kubaya kama watu wanavyoponda.

Btw im miss that small town.
Mtwara kuna mambo mengi sana hasa ukizingatia kuwa kuna vichecheo vingi mno vya maendeleo..!
 
Back
Top Bottom