unajua haya mambo hayaishi kwa sababu hakuna dhamira ya kweli ya kukemea na kutokomeza haya mauaji na zaidi kuchukua hatua za kisheria haraka iwezekanavyo. kuna kesi ya mauaji ya albino huko Geita ambayo yalifanyika mwaka 2008 kesi imeviringwa weeee sasa hukumu kusomwa machi 11 mwaka 2015. vyama vya albino wanavyolaumu serikali inapuuza sio uongo ni kweli. ndio maana naendelea kusisitiza Dkt.John Pombe Magufuli ambaya jimbo lake yametokea mauaji ya mtoto Yohana Shija akamatwe mara moja kwa ajili ya mahojiano na sio anaachwa anafanya ziara.
kama mtu hana huruma anaiba tu fedha za umma na kusababisha huduma za jamii kuwa mbaya hawezi shindwa kuua ALBINO hawa kina Samwel Sitta, Andrew Chenge, Prof.Tibaijuka, William Ngeleja, Shaban Gurumo, familia kuu hawawezi shindwa CHINJA ALBINO. Tutashukuru wakitangulizwa na kuiacha dunia na Tanzania mahala salama AMINI