Kigogo mbaroni Mwanza mauaji ya albino

Kigogo mbaroni Mwanza mauaji ya albino

Unataka kujua nini kasome gazeti lenu la kipumbavu uhuru ndo ujue unachotaka

Acha hasira,utaja tukana mtu pasi na makosa,nieleweshe nijue ni mwenyekiti wa chadema wa wilaya ya wapi?
Nikusaidie mie si wa gazeti la uhuru kama unavyodhani.
Ila nijibu,maana ni kama taarifa yako inaoanisha na tukio lililoandikwa kwenye magazeti ya leo.
 
Kama taarifa ni kwamba huyo mtuhumiwa anakaa Nyanguge na ana Hotel Mza. Si mwingine ni yule aliyetangaza kumuunga mkono EL. Anaitwa Raphael Chegeni, aliwahi kuwa mbunge wa Magu

Chegeni hajawahi kuwa mbunge wa Magu na wala haishi Nyanguge, kwao ni Mkula na anakaa Mwanza njia ya kuelekea Bwiru mashine ya mawe. Naona mwaka huu Lowassa atawachomoa uhai, hampati usingizi mnamuwaza tu.
 
mbona inasemekana ni wa chadema?
CCM imekuwa ikitumia mbinu ovu kuisingizia Chadema lakini kila mbinu imekuwa iki backfire, hata sasa wakijaribu itawaumiza zaidi CCM kuliko Chadema maana hata walemavu wenyewe wanawajua wauaji, hukusikia juzi m/kiti wa albino alisema waliweka mtego wa nywele zake mkemia mkuu alipozipima akasema ni za mdoli.
 
Hivi Chenge hana nyumba Mwanza kweli?? Na kama anayo je iko Nyanguge??
 
Mbona ni magazeti mawili tu yameripoti uhuru na jambo leo?

Kama serikali inataka kuingiza siasa kwenye hili jambo haitafanikiwa kutokomeza mauaji haya.
 
Ccm ni wapumbavu sana wamemukamata mwenyekiti wa wilaya wa chadema wilaya mr Makanyaga.
Wanajaribu kutisha watu na viongozi wetu ni mchezo uleule uliofanywa kwa lwakatale mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa CDM.
Na sasa hivi anayeucheza mchezo huu ni mkuu wa mkoa

Umefanya kosa kubwa. Utawafukuza watu kuchangia uzi huu, umeshindwa kuvulia kidogo ukawaacha watu wajimwage na dhania zao?
 
Labda halijataja kitu sababu uchunguzi waendelea.
barafuyamoto bana! Yaani akamatwe mtu halafu ichukue zaidi ya masaa 24 kuchunguza chama chake? Halafu taarifa zinataja kwamba aliyekamatwa anahusika na mbio za urais. Mbio za urais kwa sasa zipo ccm zaidi.Ukiona gazeti la uhuru linakaa kimya kwenye habari kama hiyo ujue kwamba mtu wa ccm anahusika. Hata kuapa naweza kuapa juu ya hili.
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa! Yaani angekuwa Chadema, hata kama ni mama ntilie, Uhuru lingepiga baragumu ungedhani mama ntilie huyu ndiye mkuu wa nchi.
Asante sana dudus!
 
Last edited by a moderator:
Tajeni jina basi, mbona mnamung'unya kama vile mmeambiwa mtaje majina ya watu wa mabilioni ya Uswis?
 
Kigogo mmoja wa chama ambaye jina lake halikutajwa wala chama anachotoka anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kujihusisha na mauaji ya albino na utengenezaji wa noti bandia.

Magazeti yameripoti leo yakisema kigogo huyo anahusishwa na mbio za urais.

Najua JF is where we speak openly haitashindikana kulipata jina wa chama anachotoka.

DSC00089.jpg
 
Kweli mkuu angekuwa anatoka chama cha upinzani uhuru lisingeficha ukizingatia pia gazeti la jambo leo nalo limeripoti bila kutaja chama lakini lazima ukweli tajulikana tu. Ila nasikia kamanda wa jeshi la polisi Mwanza leo ataongea na waandishi wa habari na kuweka wazi kila kitu.
Kama mambo ni hivyo, mpaka kamanda wa polisi atoe press statement ni wazi jambo hilo ni tete mno.Lazima aliyekamatwa ni mwanaccm.Wanataka kuidefuse kinamna ili image ya ccm isiangamie zaidi.
 
huyo atakuwa ni masha aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani, hivi mnafikiri kuna kigogo gani zaidi ya masha na ngeleja kwa mkoa wa mwanza?
 
TUWE MACHO,C.C.M INATAKA ITUMIE TIKETI YA KIGOGO HUYO ILI ITUPOTEZE MABOYA TUSIJADILI BVR, Hatudanganyiki.Dafutari Tutajadili,katiba Pendekezwa Ya Kifisadi Tutaipinga, Na Bado Hata Mauji Ya Albino Na Huyo Kigogo Wenu Tutamjadili.
 
barafuyamoto bana! Yaani akamatwe mtu halafu ichukue zaidi ya masaa 24 kuchunguza chama chake? Halafu taarifa zinataja kwamba aliyekamatwa anahusika na mbio za urais. Mbio za urais kwa sasa zipo ccm zaidi.Ukiona gazeti la uhuru linakaa kimya kwenye habari kama hiyo ujue kwamba mtu wa ccm anahusika. Hata kuapa naweza kuapa juu ya hili.
Wanatafuta mbinu ya kuua soo au chama gani safari hii wakihusishe, hata wao si wajinga kiasi hicho haiwezekani kila tukio baya kihusishwe Chadema tu hata watu watawashangaa, ugaidi Chadema udini Chadema, ukanda Chadema ebola Chadema hata albino wawe Chadema duh!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom