Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Jana gazeti mojawapo kati ya magazeti ya kila siku lilitoa tarifa kuwa yupo kigogo mmoja na kiongozi wa chama kimojawapo cha siasa alikmatwa kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Albino.
Tarifa hiyo haikutaja jina la kiongozi wala chama anachotoka,
Lakini katika mwendelezo wa tarifa hiyo baadhi ya magazeti ya leo yameweka bayana kuwa aliyekamatwa ni mwenyekiti cha chadema wilaya ya magu akituhumiwa kujihusisha na utekaji na uuaji wa binadamu wenye ulemavu wa ngozi(albino),
Tarifa zaidi zimebainisha kuwa mwenyekiti huyo baada ya kukamatwa amepelekwa mwanza kwa mahojiano ya kina na ufuatiliaji zaidi.
Wadau mbalimbali waliwahi kudokeza kuwa mauaji haya yanahusishwa na wanasiasa pamoja na wafanyabishara haramu na wale ambao wanaamini katika ushirikina.
watanzania kwa umoja wetu ni vema tuendelee kuwaibua na kuwataja watu wote wenye nia ovu kama hiyo ili kukomesha tabia hii chafu ya kishetani.
Tarifa hiyo haikutaja jina la kiongozi wala chama anachotoka,
Lakini katika mwendelezo wa tarifa hiyo baadhi ya magazeti ya leo yameweka bayana kuwa aliyekamatwa ni mwenyekiti cha chadema wilaya ya magu akituhumiwa kujihusisha na utekaji na uuaji wa binadamu wenye ulemavu wa ngozi(albino),
Tarifa zaidi zimebainisha kuwa mwenyekiti huyo baada ya kukamatwa amepelekwa mwanza kwa mahojiano ya kina na ufuatiliaji zaidi.
Wadau mbalimbali waliwahi kudokeza kuwa mauaji haya yanahusishwa na wanasiasa pamoja na wafanyabishara haramu na wale ambao wanaamini katika ushirikina.
watanzania kwa umoja wetu ni vema tuendelee kuwaibua na kuwataja watu wote wenye nia ovu kama hiyo ili kukomesha tabia hii chafu ya kishetani.