Kigogo mbaroni Mwanza mauaji ya albino

Kigogo mbaroni Mwanza mauaji ya albino

Ccm ni wapumbavu sana wamemukamata mwenyekiti wa wilaya wa chadema wilaya mr Makanyaga.
Wanajaribu kutisha watu na viongozi wetu ni mchezo uleule uliofanywa kwa lwakatale mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa CDM.
Na sasa hivi anayeucheza mchezo huu ni mkuu wa mkoa

Eleza ueleweke,huyo mwenyekiti unaesema amekamatwa kwa kosa lipi? Ni wapi huko? Hapa tunafuatilia kigogo aliekamatwa kwa kutuhumiwa na mauji ya albino na utengenezaji wa noti bandia.
Je unachoturipotia wewe ni kipi?
 
Gazeti la Uhuru pia limeandika habari hii na halikutaja chama.
Iwapo gazeti la uhuru limekaa kimya bila kutaja chama, ni dalili za wazi kwamba kigogo huyo ni wa ccm.Angekuwa
chama kingine say chadema, uhuru lingepiga tararira nyingi sana

Labda halijataja kitu sababu uchunguzi waendelea.
 
Eleza ueleweke,huyo mwenyekiti unaesema amekamatwa kwa kosa lipi? Ni wapi huko? Hapa tunafuatilia kigogo aliekamatwa kwa kutuhumiwa na mauji ya albino na utengenezaji wa noti bandia.
Je unachoturipotia wewe ni kipi?





Unataka kujua nini kasome gazeti lenu la kipumbavu uhuru ndo ujue unachotaka
 
Kuna tetesi zinadai kigogo huyo anamiliki hotel jijini Mwanza, nakumbuka mwenye al kairo hotel aliwahi kuhusishwa ambaye ni mbunge wa jimbo moja kule Mara.
 
Nilisema hapa watu wakawa hawanielewi

CCM inahusika na mauaji ya Albino

Tuwe wawazi tu.....Hilo kundi la Urais ni la kina Lowasa

Mwigulu anahusika kwa kiasi kikubwa na hayo mauaji

Mnamjua Pro Lowasa wa Kanda ya Ziwa?

Niliposema kuna ushahidi wa wazi nilikua sikurupuki.....

Mkuu nakumbuka ulipiga sana kelele
 
Kigogo huyo angekuwa hatafuti uraisi wala tusingesikia habari hii.
 
Nilisema na ninasema....wakati mwafaka wa kuuweka wazi ukishafika utakuwa wazi tu...Sasa hivi wanajitahidi kuficha ficha

Mkuu punguza hofu na uwoga...hili suala sio la kulichekea...wanawafanya albino wawe kwenye wakati mgumu sana...wataje tu mkuu
 
Kama taarifa ni kwamba huyo mtuhumiwa anakaa Nyanguge na ana Hotel Mza. Si mwingine ni yule aliyetangaza kumuunga mkono EL. Anaitwa Raphael Chegeni, aliwahi kuwa mbunge wa Magu
 
Wahusika wa mauaji ya Albino wakamatwe na kufikishwa kwenye vyombo vya Sheria na kesi zao zisikilizwe seriously na HAKI itendeke ili kukomesha ukatili huu dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi! Hatuwezi kuwa na taifa la watu wanaouwa wenzao kwa imani zao za kishetani! Hakuna kigogo wala kisiki wa chama chochote cha siasa aliye juu ya sheria na katika vita hivi vyombo vinavyohusika viache siasa na uzembe wanaoufanya huku watu wakiuawa, tumekuwa na taifa la watu wa ajabu sana wanaoamini kuuwa mlemavu na kuchukua viungo ni kupata utajiri
 
Nasikia huyo kigogo ni yule aliyewahi kuhusika na mauaji ya M/kiti wa CCM mkoa Mwanza Paul Mabina akatoroka nchini sasa amerudi na kuanza tena siasa.
 
Nilisema hapa watu wakawa hawanielewi

CCM inahusika na mauaji ya Albino

Tuwe wawazi tu.....Hilo kundi la Urais ni la kina Lowasa

Mwigulu anahusika kwa kiasi kikubwa na hayo mauaji

Mnamjua Pro Lowasa wa Kanda ya Ziwa?

Niliposema kuna ushahidi wa wazi nilikua sikurupuki.....

mbona inasemekana ni wa chadema?
 
Kuna tetesi zinadai kigogo huyo anamiliki hotel jijini Mwanza, nakumbuka mwenye al kairo hotel aliwahi kuhusishwa ambaye ni mbunge wa jimbo moja kule Mara.

Huu wote ni umbeya. Hakuna hata mmoja ambaye ameandika kutu kinachoeleweka.
 
Back
Top Bottom