Kigodoro-kantangaze

Kigodoro-kantangaze

Filamu nzuri, imeakisi maisha halisi ya uswahilini, wahusika wamevaa uhalisia hasa.
Hao wanaoponda waezaliwa posta na kukulia America....hahahaaaaa kantangazeeeeee!

waliokulia ushuani na america/europe hawapondi vitu vya kiswahili kwasababu walivimiss utotoni.....wanaoponda ndiko walikotoka huko walikuwa hawana jinsi ya kukimbia!

nitaitafuta hio movie huwa nainjoi vituko.
 
Njoo chukue kwangu.
Kuna kichwa hicho kinaitwa Mama Sikujua ni nomaaa. Ila Hemedi na Kajala wametuangusha yaani wameshindwa kureflect maisha ya uswazi. Otherwise sina utaalamu wa video sijui kama iko poa au vipi lakini in short hutokaa uboreke ukiwa unaangalia.

kidogo hemed kajitahidi kuliko kajala, yaani pale sehemu ya kajala angewekwa aunt angevaa uhusika zaidi, mi nilicheka sana pale mume wa kajala alipompa kipondo ndani kajala akakimbia sasa yale maneno ya mume wake mi hoi
 
waliokulia ushuani na america/europe hawapondi vitu vya kiswahili kwasababu walivimiss utotoni.....wanaoponda ndiko walikotoka huko walikuwa hawana jinsi ya kukimbia!

nitaitafuta hio movie huwa nainjoi vituko.

tena uta enjoy sana kuna sehemu muhogo mchungu anaiba sukari ya mke wake then mama sikujua ndiyo mke wa muhogo anatokea,jinsi anavyomkung'uta mkono na anaulamba yaani hapo napo ni balaa kabisaaa
 
mama rama mama rama, mama rama mi nitakuua mama rama utanipa kesi mama rama wewe ni mshenzi mmoja mama rama, mwanamke gani weweee jamani kila siku nakupiga kwenda kwenye vigodoro ukomi, mama rama ukitokea hapa natenga nisha kichwa na kiwiliwili mama rama nimekuweka kila kitu ndani cheza ndani mama rama hutaki jamani wewe mama rama haki ya ....... nikikishikaaa
 
Yaani mtu mzima na akili zako pengine msomi kiasi ufundishwe maisha kwa utakayoyaona kwenye bongo movie?
Nani kwanza wa kukupa hayo mafunzo
Iren Uwoya?
Rose Ndauka?
Johari? Ray? Mainda? Lulu? Tuache masikhara tusichukululie maisha kua ni simple kiasi hicho.

uwezo wa akili na kupambanua mambo unatofautiana elimu, upeo, na umri ulionayo nayo si sababu tosha hao kuwachukulia simple, wachukulie 'simple' wale wausika na wenye mamlaka waliopitisha hiyo kitu.
 
Mimi nazimia filamu ya kizungu inaitwa THE GRUDGE.
 
Ile movie ni funga kazi,sie tunaokaa uswahili ndio tuonaojua ilivyopendwa na watu hii kigodoro,hakuna nyingine kama kigodoro ndani ya bongomovie


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Nliacha kuangalia bongo movie mda mrefu lkn kutokana na sifa nlokua naziskia za hii filam ilibidi ninunue kuiangalia.

Nimeicheck km mara 3 ivi. Ni nzuri sn. Alokua hajaiona hasara yake.

He he heeee, kantangazeeeeeeeeeee.
Usipontangaza weye ntakutangaza mie
 
kidogo hemed kajitahidi kuliko kajala, yaani pale sehemu ya kajala angewekwa aunt angevaa uhusika zaidi, mi nilicheka sana pale mume wa kajala alipompa kipondo ndani kajala akakimbia sasa yale maneno ya mume wake mi hoi

Umeonaeeee.
Sasa Hemedi kumbambia matakoni binti wawatu kiasi kile alipitiliza hata uswazi hatubambii vile. Nilicheka hadi basi.
 
Kuna ngoma inaitwa Kagodoro, wabunge wameomba ipigwe marufuku. Siye wa mikoani hatuifahamu, inachezwaje?
 
kuna mtu WAKUITWA BAHARIAAAAA (MuhogoMchungu) hahaah ni sheeeda

anakuambia "unajua jamii imenikataa jamii imenitenga ukinizingua nakuzingu"

movie kali sana...kwa sie wauswazi yan ni mukide mambo ya vigodoro pale kati hadi vumbi lina timka... msaga sumu on the one and 2..... wazee wakuchoma na wale walevi wa UBANDA yan mule mule...

kilicho niudhi kajala yan hana zile amsha amsha za kiswazi...kapwaya

Mama skujua,riama ali na yule bi staa walininaliza haswaaa ......haichoshi ukiiangalia

Mtoto dizain km skujua ,huku uswazi wapo wakumwaga toto dogo limeshindkana ,,jiran yangu mama zamda Toto lake limeacha shule kwa ishu km hz yy zake uchochoroni yan buku mbili umechuja.... anaudhi kwa tabia km skujua....


""Naipenda simba shabiki wadamu..mwenzenu sintoihama,,simba shabiki wadamu....'"" masela toto hilo hapo kati tumeliona....masela msikiti eee msikiti.wahuni msikiti...mwendo wakiiii....mwendo wakinyonga"" HAYO NIBAADHI YA MANENO YA MSHEREHESHAJI KWENYE KIGODORO

MOVIE NAIPA 100%
 
Binafsi sio mpenzi wa filamu za kiswahili hasa kutoka Bongo movie,Nimebahatika kuitaza filamu hii ya kigodoro-kantangaze na kunifanya niamini ni moja kati ya filamu bora kabisa za kitanzania kuwai kutenegenzwa,ni filamu ya ki Tanzania iliyoongozwa na mwanadada Zamaradi Mketema,ikiwa ina akisi maudhui halisi kabisa ya maisha ya watanzania wengi maskini wanaoishi uswahilini,Kwa wewe uliyefanikiwa kuiona filamu hii unaizungumziaje?

Haa haloo! Mungu nipe ucnipe donda nkauguza nipe raha m nielee juu kwa juu loo mzima we huna haya na mwenye haya c jiran yako kusema nawe ukazipata hasid ng'ar fisadi wa m0t0n we laanakum ptuu Mungu aninyime mama km wewe we wakushea na huyu bwana unamtaka bwanaake imehusu nin huachi unadidi dadii ovyo dunian haupo akhera unataftwa ukauze ufuta loh! M2 mzima kileja m2 mzima kisheti loh! Mdom0 umekukauka bibi mashav ya juu yamekushuka lo ckwambii ya chini haa haloo


#RiamaAli
 
hii movie siichoki
ni movie bora kabisa yani..
 
Yote tisa kumi muhogo alipomtapeli yule jamaa na kumtia Tanzania jeki mpaka kwake na mkewe akamplipia. Unaona wazi dume likiwa halina kitu mwanamke anafanya anavotaka .hata mtoto naye anakuwa poa kamlainisha baba ake buku tano halaf
anamwambia baba mi nna mimba na sijui ya nani hahahaa kazi kwelikweli
 
Yote tisa kumi muhogo alipomtapeli yule jamaa na kumtia Tanzania jeki mpaka kwake na mkewe akamplipia. Unaona wazi dume likiwa halina kitu mwanamke anafanya anavotaka .hata mtoto naye anakuwa poa kamlainisha baba ake buku tano halaf
anamwambia baba mi nna mimba na sijui ya nani hahahaa kazi kwelikweli
Muhogo mchungu = Baharia
 
hahahaaa!napenda mwisho wa movie mama Abdul alivyoumbuka baada yakutumia hela ya upatu kwenye ngoma
Type flani maisha ya uswazi kabisa..
 
Back
Top Bottom