RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,314
- 134,768
Filamu nzuri, imeakisi maisha halisi ya uswahilini, wahusika wamevaa uhalisia hasa.
Hao wanaoponda waezaliwa posta na kukulia America....hahahaaaaa kantangazeeeeee!
waliokulia ushuani na america/europe hawapondi vitu vya kiswahili kwasababu walivimiss utotoni.....wanaoponda ndiko walikotoka huko walikuwa hawana jinsi ya kukimbia!
nitaitafuta hio movie huwa nainjoi vituko.