GSM ndio mgombea, wengine wasubirie tuAmechezesha ligi kwa vijana mtaa kwa mtaa na jezi,kawatembezea wenyeviti na wajumbe umande kwenye ukame, vijana wazee ni Boka Bokaa, hii michezo ya wajumbe kaiweza au tusubirie kauka patupa tia mchuzi gari la udongo. Wana kigamboni tupo tiyari kwa nani
Mbona hajachukua fomu Mkuu?GSM ndio mgombea, wengine wasubirie tu
Eng. Herci jeuri apewa na nani?Mbona hajachukua fomu Mkuu?
Kwahiyo Mfanyakazi wa Kampuni husika ndiye anamuona mmiliki??Eng. Herci jeuri apewa na nani?
Hersi ameshachukua Fomu tayari.GSM ndio mgombea, wengine wasubirie tu
Basi ni Injinia Hers Said na sio Gharib Said.Ukisema Gsm umtendei haki.Tunajua nyuma ya mtu Kuna mtu lakini yunayemuona ndo tunadeal nae.Eng. Herci jeuri apewa na nani?
Haha ndiye ninayemsema kuwa nyuma yake yupo GSMHersi ameshachukua Fomu tayari.
Kuna wakati misemo tunaivalisha nguo, endelea kufunuaBasi ni Injinia Hers Said na sio Gharib Said.Ukisema Gsm umtendei haki.Tunajua nyuma ya mtu Kuna mtu lakini yunayemuona ndo tunadeal nae.
Kwa ile comment yako kimantiki haiko hivi. But nweii umeeleweka.Haha ndiye ninayemsema kuwa nyuma yake yupo GSM
na nyuma ya GSM yupo nani…?? jimbo la mkakati hilo..bora konda alilikimbia…umafia mtupu jimbo hili..R.I.P Ndungulile…Hongera Pro. Janabi…Karibu Eng Hersi…🧠Haha ndiye ninayemsema kuwa nyuma yake yupo GSM
JKna nyuma ya GSM yupo nani…?? jimbo la mkakati hilo..bora konda alilikimbia…umafia mtupu jimbo hili..R.I.P Ndungulile…Hongera Pro. Janabi…Karibu Eng Hersi…🧠
Hilo ni jimbo la kimkakati na lina wenyewe:Kwa ile comment yako kimantiki haiko hivi. But nweii umeeleweka.
Sisi wanakigamboni tunamuhitaji mtu atakayetutatulia changamoto ya miondombinu ya barabara,stend hatuna n.kAlooo hichi kizaa zaa cha kuandaa mazingira nakwenyewe ni risk management