Tetesi: Kigamboni ni mnyukano wa hatari Ubunge

Tetesi: Kigamboni ni mnyukano wa hatari Ubunge

Watu wa ccm hili jibu wanalo lakini kwa sasa hivi ubize walio nao apatikane veteran atujuze
 
na nyuma ya GSM yupo nani…?? jimbo la mkakati hilo..bora konda alilikimbia…umafia mtupu jimbo hili..R.I.P Ndungulile…Hongera Pro. Janabi…Karibu Eng Hersi…🧠
Dr Dau kipindi cha nyuma aliskika sana sijui imekuaje kijana wazamani wa K/koo alipania kweli kweli.
 
Sisi wanakigamboni tunamuhitaji mtu atakayetutatulia changamoto ya miondombinu ya barabara,stend hatuna n.k
Hakuna mbunge wa kujenga barabara wala stand,ni kazi na mipango ya serikali kuu
 
Kigamboni imejishepu tiyari, Magufuli alikuja weka kila kitu pahala palipostahili. Atakae qualified ni mbinu kidogo tu zitatumika. Mji umepangika mindset za kila anae amia kigamboni anataka sehemu iliyopimwa na manispaa imejitaidi kwa hilo. Miondo mbinu inabaki utkelezaji wa kimkakati
 
Hakuna mbunge wa kujenga barabara wala stand,ni kazi na mipango ya serikali kuu
Mbunge ni mwakilishi wa wananchi sasa nini maana ya mwakilishi? mwakilishi ni yule anayezisemea Shida na Changamoto za wananchi katoka Jimbo lake na kusimamia utekelezaji wa miradi mbalimbali jimboni kwake kwa niaba ya wananchi.
 
Dr Dau kipindi cha nyuma aliskika sana sijui imekuaje kijana wazamani wa K/koo alipania kweli kweli.
pale hapagusiki..Pana siri nzito..Watanzania hamfatilii mambo kabisaa…hata ule mradi wa kigamboni tu mnashindwa kukonect dots..
 
Mbunge ni mwakilishi wa wananchi sasa nini maana ya mwakilishi? mwakilishi ni yule anayezisemea Shida na Changamoto za wananchi katoka Jimbo lake na kusimamia utekelezaji wa miradi mbalimbali jimboni kwake kwa niaba ya wananchi.
Hakuna hiyo kitu ndugu,hizo ni schematics tu,labda mbunge wako awe waziri,na hapo awe mckarikaji kama jakaya au bashe, ndiyo utapata matunda,lakini mbunge tu ataimba hadi atajamba bungeni, kama serikali kuu haina mpango basi itabaki hivyohivyo
 
pale hapagusiki..Pana siri nzito..Watanzania hamfatilii mambo kabisaa…hata ule mradi wa kigamboni tu mnashindwa kukonect dots..
Alooo kigamboni ni ya motoo sana, inataka utuliee tuli.
 
Back
Top Bottom