Kifo cha Michael Jackson, ulishasikia kuhusu project ya Human Cloning?

Kifo cha Michael Jackson, ulishasikia kuhusu project ya Human Cloning?

Da'Vinci Kuna conspiracy nyingine za watu mashuhuri hizi hapa:
1. Wanasayansi wa kisovieti walikataa kumzika Vladmir Lenin na wakisema watatafuta sayansi ya kumfufua.
2. Raisi John Kennedy hakufa na alitekwa na John Connolly ili kutengeza Clones wake.
3. Raisi Vladmir Putin alishwatolewa madarakani muda na huyu wa sasa ni clone wake ndiyo maana mke kakimbia.
4. Rais Yeltsin alikataa kwenda Japan kwasababu Marekani na Japan walipanga kumbadilisha FSB wakamwonya mapema.

And the list continues ad infinitum....
 
c04e680719a9977e251d0ae6d845e006.jpg
 
Da'Vinci Kuna conspiracy nyingine z watu mashuhuri hizi hapa:
1. Wanasayansi wa kisovieti walikataa kumzika Vladmir Lenin na wakisema watatafuta sayansi ya kumfufua.
2. Raisi John Kennedy hakufa na alitekwa na John Connolly ili kutengeza Clones wake.
3. Raisi Vladmir Putin alishwatolewa madarakani muda na huyu wa sasa ni clone wake ndiyo maana mke kakimbia.
4. Rais Yeltsin alikataa kwenda Japan kwasababu Marekani na Japan walipanga kumbadilisha FSB wakamwonya mapema.

And the list continues ad infinitum....
Jamaniiiii
 
alafu sio mazuri sana kuyasoma haya maConspiracy,

kama una moyo mwepesi na ubongo usiokuwa stable unaweza kuanza kuichukulia dunia hii kivingine kabisa.....ukajikuta unaishia kuchizika.

so be careful babe [emoji3][emoji3][emoji3]
Me natamani kujua na kujifunza kitu,..hayo mengine babe tutasaidiana kuwekana sawa[emoji23]
 
Back
Top Bottom