Nime google vinatisha walahi, lakini tunayaweza yote!
Kweli kabisa mkuu hata kanye west walisema ni clone alipotoka kulazwa kutoƙana na kutokuwa na makeke yake alipoanza makeke yake kwenƴ interview ya TMZ alisema alikuwa anapewa dozi kila baada ya muda fulan akawa vile na menginayo mengi watu wakaja kujua' mind control things ' na hakuwa cloneMind Control inawezekana tokea miaka ya 1920's lakini haikuwa sophisticated kama ile ya Project MK ULTRA.
Source: MK-Ultra - Facts & Summary - HISTORY.com
Hili swali hata ukiwauliza waeneza hiz habar wanaeza wasijibu na hata wakijibu si vile itakiwavyo hasa ule uwezo wa kucheza na kukunja mgongo ambapo tumeshuhudia wengi wakiiga bila mafanikio sasa Jepsin aliwezaje?!
Nakubaliana na wewe ni ngumu mtu kuiga kipaji cha mtu kwa usahihi ule
Kweli kaɓisa watakuwa bado kwenye majariɓio lakini sio kumaanisha clone 100 percent hata hiyo 80 percent hawajafanikisha mfano guccimane wa sasa ƴule aliyetoka kifungoni na wa kaɓla ƴa kifungo...ricƙ ross huƴu wa sasa na na ƴule aliƴeripotiwa kulazwa na dave chapelle ..ukiwaangalia hata kwa picha sawa sawa umchukue mbappe na dida wa brazil useme ni mtu mmoja japo kuna kamfanano ka kulazimisha!Mwanadamu ni zaidi ya Cellular Build Up mazee!
Kama sisi ni Cellular Build Up pekee basi hatuna tofauti na hayawani wa msituni.
Kweli kaɓisa watakuwa bado kwenye majariɓio lakini sio kumaanisha clone 100 percent hata hiyo 80 percent hawajafanikisha mfano guccimane wa sasa ƴule aliyetoka kifungoni na wa kaɓla ƴa kifungo...ricƙ ross huƴu wa sasa na na ƴule aliƴeripotiwa kulazwa na dave chapelle ..ukiwaangalia hata kwa picha sawa sawa umchukue mbappe na dida wa brazil useme ni mtu mmoja japo kuna kamfanano ka kulazimisha!
we unadhani haya magonjwa hayana dawa? ni biashara za dawa tu wanafanya hawa jamaaNimesoma sana haya mambo na kweli duniani kuna teknolojia za ajabu sana: Maana sasa hivi kuna wanasayansi wako kwenye utafiti wa kifaa kinachoweza kucheza na kubadilisha hisia za watu kwenye Ubongo.
Lakini kinachonifanya niwaze ni kivipi mtu anaweza kuiga kile kipaji cha MJ kwa miaka yote ile ???
Halafu tena wanajichanganya sana hapo kwenye cloning, maana nijuavyo mimi clone ni Replica ya mtu, sasa Jepsin mtamwitaje clone wa Michael Jackson ??? (Au mimi ndiyo sielewi)
NB: Kama hii teknolojia ya Cellular Regeneration imeanza miaka ya 1960's basi leo hii mwanadamu angekuwa na uhakika wa kuweza kuishi miaka mingi zaidi kuliko ilivyo sasa. Pili upande wa magonjwa dunia ingekuwa imepiga hatua sana, maana Kansa na Kisukari yangekuwa yameshataftiwa suluhu ya kudumu. Lakini mpaka leo tumeona dunia imepoteza watu wenye umuhimu kwa magonjwa na wala hakuna kinachofanyika.
I'm bored..I gotta go to chapelle show!Ila sasa Dave Chapelle hadi ule uchekeshaji tena ???
Yana dawa kumbe ???we unadhani haya magonjwa hayana dawa? ni biashara za dawa tu wanafanya hawa jamaa
Known him since 2003I'm bored..I gotta go to chapelle show!
Shambuku do you know chappelle?
In what sense aliharibu career ya R.Kelly? Drugs?Known him since 2003
A man responsible for ruining R. Kelly's career.😀😀😀
R.Kelly alivyopata Skendo ya kumkojolea yule mtoto wa kike Dave Chapelle akatoa hii video.In what sense aliharibu career ya R.Kelly? Drugs?
mkuu mtafute jamaa mmj anajiita DECEPTION humu JF aliweka material fact na video zote za youtube za madaktar wakubwa duniani ambao pia walishachukua nobble prizes, wanadai makampuni makubwa ya dawa yameungana na serikali zenye nguvu duniani kama marekani ili kuuza dawa ziwe continuosly kwa watumiaji ili kurefusha maisha yao huku wakiendelea kuconsume pia kupunguza idadi ya watu hasa africaYana dawa kumbe ???
Mimi nilikuwa sijui hilo mkuu, hebu nidadavulie kidogo basi.
Kuna interview kafanyiwa mpwa wake aliokuwa karibu na dave nadhani ukifuatilia unaweza muelewa kidogo ila alichomaanisha kwa ujumla yule sio mwenƴeweIla sasa Dave Chapelle hadi ule uchekeshaji tena ???
mkuu mtafute jamaa mmj anajiita DECEPTION humu JF aliweka material fact na video zote za youtube za madaktar wakubwa duniani ambao pia walishachukua nobble prizes, wanadai makampuni makubwa ya dawa yameungana na serikali zenye nguvu duniani kama marekani ili kuuza dawa ziwe continuosly kwa watumiaji ili kurefusha maisha yao huku wakiendelea kuconsume pia kupunguza idadi ya watu hasa africa