Kifo cha Michael Jackson, ulishasikia kuhusu project ya Human Cloning?

Unajua mm nilikua nakataa kua radi si mnyama kisa physics nayosoma shule. Ila siku moja nilisibitisha kua radi ni mnyama hata nyama yake ukiitaka inapatikana.
Mkuu unaongelea radi ile inayopiga wakati wa mvua au?
 
Kama ni hivo ata sia sio MTU yule maana anafichaga sura au anaweza kuwa ni clone maana mwanzo alivyoanza game ya muziki alikuwa yupo kawaida tu na hafichi USO kwa nini saivi ataki sura yake ionekane
Inawezekana ila pia inawezekana ni style tu
 
Salute Bro you on point...
Ndo maana sidhani kama Hollywood ni wajinga kutoa muvi ya men in black. Walikua wanajaribu kutuonyesha vitu vilivyo behind the curtain. Tunaishi na watu tukidhani ni watu but they are demons..
Ni kweli ila kwa mtizamo wangu hizo wanazoziita clone bado sijaamini (kwa sasa) kuwa kureplace mtu kwa kila kitu mpaka laɓda kama watuoneshe mfano (da vinci mmoja na mwengine tusifichwe )
Swali kubwa nalojiuliza Kwann watufiche kuna documentary wanaonesha miili ya binaɗamu wanasema ni clone ila wamefungwa kwenƴe chomɓo maalum....mfuatilie jamaa mmoja ana akaunti inaitwa Jason A youtuɓe kuna baadhi ya video zinaelezea matukio hayo...ila hakuna hata video niliƴoona kuna mtu na clone wake zaidi ya kuoneshwa mtu na kujulishwa hiƴo ni clone....(sababu ya usiri huo ndio maana nadhani hao viumɓe /reptilians wanaojivika miili ƴa binadamu ndio tunaamɓiwa ni clone )
 
acha kuamini conspiracy theories.

Kuna maswali mengi ya kujiuliza.

kama kweli hiyo teknolojia ipo basi binadamu ameweza kuumba binadamu kama Mungu maana kama unaweza kumtengeneza Michael Jackson mwenye uwezo uleule wa kuimba na kucheza na kumbukumbu zote ,muandiko na kila kiti basi ni uumbaji tuu kama wa Mungu kitu ambacho sio kweli.

Michael kubadilika Rangi ni kwa vile alikuwa na Vitiligo
Umeeleza vyema kamanda,

Baadhi ya watu hupenda kuamini sana Conspiracy theories.

Mwaka 2014 haya Ma'Conspiracy theories nilifatilia sana na kuyasoma kwa wingi,nyingi huwa ni ulongo tu.

Kwa mfano hilo la kubadilika rangi ya ngozi ni skin disorder ambayo umeitaja vizuri vitiligo na kunabaadhi ya mahojiano yake kwa Oprah alikiri anavitiligo toka utotoni.

Kunabaadhi ya watu ambao ni Mfano mzuri pia walikuwa na vitiligo kisha ngozi zao zikabadilika kabisa,
main-qimg-d109619daf1679f1e47214546bf69e81.jpg
main-qimg-56490d8179cdf677e43f17db32bc4377-c.jpeg
main-qimg-9c16f2c031a650996633b7fe16fac1df.jpg
main-qimg-90758dfae969b73e992f958642e8570d-c.jpeg
main-qimg-46eb76b497d9b6c2a9983b20ec86c029-c.jpeg
 
make-up za kutosha na dawa alizokuwa anatumia kufanya ngozi yake iwe na rangi moja
Ndio ndio.

Kwa kiasi kikubwa alikuwa anafanya make-up babukubwa nadhani angekuwa mtu asiye maarufu asingetilia sana make-up na dawa lukuki.

Moja ya picha yake bila ya make-up kabambe.
main-qimg-4716b84e4e6f5fe9d7ad0a0531fc7bca-c.jpeg
 
Mkuu,Malcom Lumumba Amani iwe nawe ndugu. siku nyingi sijakusikia but I hope everything is well with you sir. Kwa mtazamo wangu teknolojia ya HUMAN CLONING ni mojawapo ya undisired technology in 21 century, ingawa kuna mixed reaction kuhusu human cloning. Baadhi ya nchi zimekataza human cloning huku nyingine zikiruhusu na nyingine zikibaki kuwa silent. Takribani nchi zaidi ya 25 zimezuia cloning ya binadamu ikiwa ni pamoja na Marekani, Uingereza,, Canada, Ufaransa na Ujerumani. Dunia inalichukulia suala la human cloning kama ni tafiti hatarishi na mbaya zaidi katika maendeleo ya Binadamu. Ingawa kuna nchi kama Korea ya kusini, china etc wao wanaruhusu. Kwa mfano, nchi kama;-

INDIA: India haina sheria Mahususi kuzuia tafiti or human cloning yenyewe. hata hivyo Baraza la Utafiti wa Matibabu (ICMR) na Idara ya Bioteknolojia (DBT) ilikataza cloning ya uzazi wa kibinadamu kama kwa "Mwongozo wa Taifa wa Utafiti wa Cell Cell" 2017, iliyoandaliwa na NAC-SCRT. India inaruhusu cloning ya wanyama, na inatilia mkazo utafiti katika eneo hilo.

UNITED STATES: Kwa mujibu wa muswada wa Marekani, HR 3498, tarehe 11 Septemba 2015, cloning ya binadamu imepigwa marufuku nchini Marekani lakini utafiti hauzuiliwi kufanyika ikiwa ni pamoja na utafiti katika matumizi ya uhamisho wa nyuklia au mbinu nyingine za cloning ili kuzalisha molekuli, DNA, seli zisizo za binadamu majani, tishu, viungo, mimea, au wanyama wengine zaidi ya wanadamu.

UNITED KINGDOM: Kwa mujibu wa sheria ya Human Fertilisation and Embryology Act 2008, uingereza inakataza human cloning.

UNITED NATIONS: The United Nations General Assembly approved (Mar 2005) ilipiga marufuko utafiti, ubashiri na hatua zozote za uzalishaji/urutubishaji wa binadamu yaani human cloning.

Hivyo basi nikijaribu kujibu hypothesis hapo juu kama zilivyouliza kuwa:-

(a) Will he be recognized as a Human Being or A property ???
(b) Will he be called Kanye West or Given a Specimen Number ???
(c) What of Human Rights and Freedoms, Will he be inherently entitled to their protection? (eg Freedom of Movement)
Nikianzia na swali la kwanza, he/she will be a human being. though depend how and from which angle your definition is based. I mean spritial or scientific perspectives. kwa mfano katika kilatini (Latin Humanus) inamtambulisha binadamu kama mnyama (as an animal and/or monster as distinct from the ancient). Hivyo basi Kwa mtazamo wangu, binadamu or Homo Sapiens anaweza kuwa kiumbe chochote kilicho na tabia zilizotofanana na zetu sisi tunaojiita binadamu ( based on scientific facts and analysis). kwa upande mwingine human being can be property and this goes back to slavery era. However, in contemporaly world There are no longer any legal grounds for men being the property of other men. There are, however, unexpected consequences of modern inheritance laws in many Western countries, where biological offspring have the right to a stipulated, usually lion, part of their parents's wealth—whether the parents so wish or not (in the same vein parents inherit their children.

Kwa mtazamo wa leo na kwa mjibu wa sheria mbalimbali za nchi na za kimataifa , binadamu hawezi kuwa bidhaa/property ingawa kwa namna moja ama nyingine binadamu aliwahi kuwa property na ameendelea kuwa property (Modern slavery). pitia case ya Somerset v Stewart (1772) kuna mengi ya kujifunza huko.

(b) whether Will he be called Kanye West or Given a Specimen Number? I think the answer is yes. kwa mtazamo wangu jina is not a big deal. we even name our pets after human names...

(c) Human right is universal rights ingawa haiko absolute kwani kuna nchi kadha kwao human right ni terminology ngumu kwao. It sounds like a priviledge. kuhusu legal protection iko subject to discussion. nafikiri tatizo ni kuwa hatujapata jawabu la human cloning...A real human from test tubes. nafikiri, sheria zinaweza kubadilika just to accomodate new experience.




I wish ningejua ulipata GPA ya ngapi kule university. Hii analysis siyo ya kitoto. Naona mrejeo wa ma great thinker sio wale mara kibamia mara naomba ushauri leo sina pesa bila kusahau zile fursa hewa. big up mkuu...
 
Back
Top Bottom