Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,123
nitamfatiria mada zake tena!..Hahaa kunawakati anatoa coment flan hafu anasema usini Quote
nitamfatiria mada zake tena!..Hahaa kunawakati anatoa coment flan hafu anasema usini Quote
Do witches Exist..?
Huyo ndiyo Prof , ulitegemea nini ???Kuanzia sasa umeingia rasmi katika list yangu ya watu ninaowasoma sana j
Hapa JF
Hahaha sikufatilia maana alikuwa anachukua vitu kutoka kwa Dr Peter David BeterUlifatiria maandiko ya Andrew Nyerere kuhusu cyborg?..
nani huyo ??" namimi nianze huo utaratibu "nitamfatiria mada zake tena!..
anaitwa Andrew Nyerere alikuwa analeta mada za watu maarufu kama raisi wa USA alibadirishwa na warussi wakaweka robotoid ikulu.nani huyo ??" namimi nianze huo utaratibu "
Mkuu unaongelea radi ile inayopiga wakati wa mvua au?Unajua mm nilikua nakataa kua radi si mnyama kisa physics nayosoma shule. Ila siku moja nilisibitisha kua radi ni mnyama hata nyama yake ukiitaka inapatikana.
FuatiliaMkuu nme ingia insta nka m search nika kuta ka post 3hr
Marehem ana post
Inawezekana ila pia inawezekana ni style tuKama ni hivo ata sia sio MTU yule maana anafichaga sura au anaweza kuwa ni clone maana mwanzo alivyoanza game ya muziki alikuwa yupo kawaida tu na hafichi USO kwa nini saivi ataki sura yake ionekane
Haya, nimekuskiaFetty Sometimes nimeona bora uwe mjinga/mbumbumbu usie fahamu lolote katika hii dunia. Ukiwa mbumbumbu unafurahia maisha zaid..
Ni kweli ila kwa mtizamo wangu hizo wanazoziita clone bado sijaamini (kwa sasa) kuwa kureplace mtu kwa kila kitu mpaka laɓda kama watuoneshe mfano (da vinci mmoja na mwengine tusifichwe )Salute Bro you on point...
Ndo maana sidhani kama Hollywood ni wajinga kutoa muvi ya men in black. Walikua wanajaribu kutuonyesha vitu vilivyo behind the curtain. Tunaishi na watu tukidhani ni watu but they are demons..
naaam nimeziona ..hahaha ..ni hatari aiseee..anaitwa Andrew Nyerere alikuwa analeta mada za watu maarufu kama raisi wa USA alibadirishwa na warussi wakaweka robotoid ikulu.
Nimekutag baadhi ya mada zake!.
Kamanda Ulikuwa shabiki mkubwa wa Mj "Wacko jacko"..?Watu mna roho mbaya sana.. mnaona kabisa ametajwa Michael Jackson halafu hamjanitag!!
Umeeleza vyema kamanda,acha kuamini conspiracy theories.
Kuna maswali mengi ya kujiuliza.
kama kweli hiyo teknolojia ipo basi binadamu ameweza kuumba binadamu kama Mungu maana kama unaweza kumtengeneza Michael Jackson mwenye uwezo uleule wa kuimba na kucheza na kumbukumbu zote ,muandiko na kila kiti basi ni uumbaji tuu kama wa Mungu kitu ambacho sio kweli.
Michael kubadilika Rangi ni kwa vile alikuwa na Vitiligo
Ndio ndio.make-up za kutosha na dawa alizokuwa anatumia kufanya ngozi yake iwe na rangi moja
Kwa hiyo aliekuwepo yule mzungu ndio copy yake?na wazazi wake walijua wakazika mara mbili au?sasa huyu mj mzungu mbona alikufawanadai alikufa tangu 1984
Mkuu,Malcom Lumumba Amani iwe nawe ndugu. siku nyingi sijakusikia but I hope everything is well with you sir. Kwa mtazamo wangu teknolojia ya HUMAN CLONING ni mojawapo ya undisired technology in 21 century, ingawa kuna mixed reaction kuhusu human cloning. Baadhi ya nchi zimekataza human cloning huku nyingine zikiruhusu na nyingine zikibaki kuwa silent. Takribani nchi zaidi ya 25 zimezuia cloning ya binadamu ikiwa ni pamoja na Marekani, Uingereza,, Canada, Ufaransa na Ujerumani. Dunia inalichukulia suala la human cloning kama ni tafiti hatarishi na mbaya zaidi katika maendeleo ya Binadamu. Ingawa kuna nchi kama Korea ya kusini, china etc wao wanaruhusu. Kwa mfano, nchi kama;-
INDIA: India haina sheria Mahususi kuzuia tafiti or human cloning yenyewe. hata hivyo Baraza la Utafiti wa Matibabu (ICMR) na Idara ya Bioteknolojia (DBT) ilikataza cloning ya uzazi wa kibinadamu kama kwa "Mwongozo wa Taifa wa Utafiti wa Cell Cell" 2017, iliyoandaliwa na NAC-SCRT. India inaruhusu cloning ya wanyama, na inatilia mkazo utafiti katika eneo hilo.
UNITED STATES: Kwa mujibu wa muswada wa Marekani, HR 3498, tarehe 11 Septemba 2015, cloning ya binadamu imepigwa marufuku nchini Marekani lakini utafiti hauzuiliwi kufanyika ikiwa ni pamoja na utafiti katika matumizi ya uhamisho wa nyuklia au mbinu nyingine za cloning ili kuzalisha molekuli, DNA, seli zisizo za binadamu majani, tishu, viungo, mimea, au wanyama wengine zaidi ya wanadamu.
UNITED KINGDOM: Kwa mujibu wa sheria ya Human Fertilisation and Embryology Act 2008, uingereza inakataza human cloning.
UNITED NATIONS: The United Nations General Assembly approved (Mar 2005) ilipiga marufuko utafiti, ubashiri na hatua zozote za uzalishaji/urutubishaji wa binadamu yaani human cloning.
Hivyo basi nikijaribu kujibu hypothesis hapo juu kama zilivyouliza kuwa:-
(a) Will he be recognized as a Human Being or A property ???Nikianzia na swali la kwanza, he/she will be a human being. though depend how and from which angle your definition is based. I mean spritial or scientific perspectives. kwa mfano katika kilatini (Latin Humanus) inamtambulisha binadamu kama mnyama (as an animal and/or monster as distinct from the ancient). Hivyo basi Kwa mtazamo wangu, binadamu or Homo Sapiens anaweza kuwa kiumbe chochote kilicho na tabia zilizotofanana na zetu sisi tunaojiita binadamu ( based on scientific facts and analysis). kwa upande mwingine human being can be property and this goes back to slavery era. However, in contemporaly world There are no longer any legal grounds for men being the property of other men. There are, however, unexpected consequences of modern inheritance laws in many Western countries, where biological offspring have the right to a stipulated, usually lion, part of their parents's wealth—whether the parents so wish or not (in the same vein parents inherit their children.
(b) Will he be called Kanye West or Given a Specimen Number ???
(c) What of Human Rights and Freedoms, Will he be inherently entitled to their protection? (eg Freedom of Movement)
Kwa mtazamo wa leo na kwa mjibu wa sheria mbalimbali za nchi na za kimataifa , binadamu hawezi kuwa bidhaa/property ingawa kwa namna moja ama nyingine binadamu aliwahi kuwa property na ameendelea kuwa property (Modern slavery). pitia case ya Somerset v Stewart (1772) kuna mengi ya kujifunza huko.
(b) whether Will he be called Kanye West or Given a Specimen Number? I think the answer is yes. kwa mtazamo wangu jina is not a big deal. we even name our pets after human names...
(c) Human right is universal rights ingawa haiko absolute kwani kuna nchi kadha kwao human right ni terminology ngumu kwao. It sounds like a priviledge. kuhusu legal protection iko subject to discussion. nafikiri tatizo ni kuwa hatujapata jawabu la human cloning...A real human from test tubes. nafikiri, sheria zinaweza kubadilika just to accomodate new experience.