Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Mtalii nini?????

Ninakushangaa sana ulivyo na ujasiri wa kusimamia mambo ya aibu. Hivi kweli kwa wakati hu ambao tumeweka bayana mstari unaowatenga mafisadi na wazalendo MTALII unacheza karata ya kuwasimazisha wazalendo??

Sijui Tanzania inaenda wapi?
Upande uliotakiwa ukose ujasiri una unajiamini hasa na unaona una haki kikamilifu kuamini na kutenda wanayoyatenda. Ule ulio na haki unatakiwa unyong'onyee na kuzamishwa kabisa.

Mtalii endelea kutalii.
 
Muda wowote Prof.Wangwe anaweza kutoa taarifa za uchunguzi wa mwili wa marehemu stay tuned.
 
Mtalii nini?????

Ninakushangaa sana ulivyo na ujasiri wa kusimamia mambo ya aibu. Hivi kweli kwa wakati hu ambao tumeweka bayana mstari unaowatenga mafisadi na wazalendo MTALII unacheza karata ya kuwasimazisha wazalendo??

Sijui Tanzania inaenda wapi?
Upande uliotakiwa ukose ujasiri una unajiamini hasa na unaona una haki kikamilifu kuamini na kutenda wanayoyatenda. Ule ulio na haki unatakiwa unyong'onyee na kuzamishwa kabisa.

Mtalii endelea kutalii.

Kwanza mkuu,KAMENDE

HESHIMA kwako,naona mkuu una matatizo ambayo hayakuainishwa katika rules and regulations za kuwa member wa hapa.Wewe itabidi mods wakutumie kama case study ya kuongeza kipengele cha kuzuia watu wa aina yako kuingia hapa jamvini ili kazi ya kujenga taifa hapa iwe serious
 
This is discussion is not healthy at all. What I suggest let us go back and start looking at EPA an putting some more and more pressures on RICHMUND

No way ,huu mjadala ni muhimu sana kwa ukombozi wa Taifa ,inawezekana kifo hiki kikawa mwanzo wa muamko mpya kwa watanzania na kuibadilisha historia ya Taifa hili,tuendeelee kujadili mpaka ukweli upatikane.
 
Biko (Steve) was arrested by police in 1977 and died in detention, naked and manacled, from extensive brain damage, six days later. His death caused international protest and a UN arms ambargo. An inquest in the late 1980s found no one responsible for his death, BUT in 1997 former five policemen adamitted being involved.

Kifo cha MH. Wangwe kinaweza kuanzisha movement ambayo nchi haijawahi kuishuhudia hata siku zile za kudai uhuru. Who said case closed???
ALUTA CONTINUA

Mbogela,

Maneno mazito sana haya mpiganaji. Kuna wakati niliwahi kumsikia raisi wa marekani akisema kuwa all the mandelas are dead. Kuna watu wanataka all the mandelas na bikos kufa na kupotea kabisa kwenye uso wa dunia.

Wanatuambia kuwa tukae mbali la sivyo tutapotea kinyama kama Biko. Wao wameshika upanga na funguo za gereza. Wanajua kuwa hatuwezi kutoka gerezani hata tufanye nini. Wamefanikiwa kutukimbiza, wametufunga jela, na sasa wanatuambia tunyamaze kimya la sivyo tutakiona cha moto.

Swali moja ni kwamba, kama wakitufyekelea mbali leo hii, je watafanya the same dhidi ya watoto, wajukuu, na vitukuu vyetu?
 
Acheni kupinga mawazo ya watu, watu wanasema kuna mgogoro Chadema kati ya (marehemu) na uongozi wa chadema kiasi cha kumsimamisha U-makamu Mwenyekiti kwa hoja ya msingi aliyokuwa nayo(marehemu) juu ya ruzuku kwa Chadema mikoani na fedha kwa ajili ya kampeni za madiwani na wabunge wa Chadema mikoani, kiasi cha wagombea wengi wa chadema mikoani kulalamika sana(tena wengi wamechoka sana tofauti kabisa na mnyika anavyong'aa), alipotokea wangwe na kuwatetea wana chadema mikoani akawa mkombozi wao kitu ambacho makao makuu hawakukipenda na hawatokipenda asilani, sasa jamii kuhusisha kifo cha wangwe na mgogoro wa chadema ipo sahihi kabisa pamoja na kwamba yawezekana hisia hizo zisiwe kweli. mwisho poleni sana wahusika kwa kazi kubwa mliyonayo ya kufuta Threads za aina hii ila ingependeza kama mngeziacha kidogo ili watu wachangie hoja badala ya kujitahidi kuzifuta!
 
Acheni kupinga mawazo ya watu, watu wanasema kuna mgogoro Chadema kati ya (marehemu) na uongozi wa chadema kiasi cha kumsimamisha U-makamu Mwenyekiti kwa hoja ya msingi aliyokuwa nayo(marehemu) juu ya ruzuku kwa Chadema mikoani na fedha kwa ajili ya kampeni za madiwani na wabunge wa Chadema mikoani, kiasi cha wagombea wengi wa chadema mikoani kulalamika sana(tena wengi wamechoka sana tofauti kabisa na mnyika anavyong'aa), alipotokea wangwe na kuwatetea wana chadema mikoani akawa mkombozi wao kitu ambacho makao makuu hawakukipenda na hawatokipenda asilani, sasa jamii kuhusisha kifo cha wangwe na mgogoro wa chadema ipo sahihi kabisa pamoja na kwamba yawezekana hisia hizo zisiwe kweli. mwisho poleni sana wahusika kwa kazi kubwa mliyonayo ya kufuta Threads za aina hii ila ingependeza kama mngeziacha kidogo ili watu wachangie hoja badala ya kujitahidi kuzifuta!

Unamatatizo makubwa bila shaka kwani inaonekana kuwa unalalamika bila kufuatilia ,kwani unaona kuwa imefutwa kitu gani?

Wana JF kila ukiona kuwa RA anajadiliwa na ukweli kukaribia kuanza kuonekana upenuni utaanza kuwaona watu wa jamii hii wanajitokeza ,jana walikuja na kuanza kujibaraguza sana ila mpaka sasa upande wa ukweli na haki unaelekea kushinda.

Simamieni ukweli na haki, MUNGU yu upande wetu daima .
 
Acheni kupinga mawazo ya watu, watu wanasema kuna mgogoro Chadema kati ya (marehemu) na uongozi wa chadema kiasi cha kumsimamisha U-makamu Mwenyekiti kwa hoja ya msingi aliyokuwa nayo(marehemu) juu ya ruzuku kwa Chadema mikoani na fedha kwa ajili ya kampeni za madiwani na wabunge wa Chadema mikoani, kiasi cha wagombea wengi wa chadema mikoani kulalamika sana(tena wengi wamechoka sana tofauti kabisa na mnyika anavyong'aa), alipotokea wangwe na kuwatetea wana chadema mikoani akawa mkombozi wao kitu ambacho makao makuu hawakukipenda na hawatokipenda asilani, sasa jamii kuhusisha kifo cha wangwe na mgogoro wa chadema ipo sahihi kabisa pamoja na kwamba yawezekana hisia hizo zisiwe kweli. mwisho poleni sana wahusika kwa kazi kubwa mliyonayo ya kufuta Threads za aina hii ila ingependeza kama mngeziacha kidogo ili watu wachangie hoja badala ya kujitahidi kuzifuta!

Kama hii jamii ipo sahihi kuhusisha kifo hiki na mgogoro wa Wangwe, kwa nini serikali iliyoko madarakani isiitishe uchunguzi huru ili ukweli ujulikane? Ni nini hapa kinafichwa?
 
Mi nilidhani kuna watu wapo ikulu karibu na sirikali as they claim to be wangetupa information za ndani sana. From this one i see a bunch conspiracy theorists together with a bunch of propaganda engineers. Tukubali tu yaishe. Tumempoteza mwanamapinduzi. RIP chacha wangwe. Aluta continua
 
Mkinithibitishia kuwa JF haina uhusiano wowote na chadema nitafurahi sana maana spidi ya kufuta threads za vurugu za msiba wa wangwe na mgogoro wa chadema ni kubwa mno, acheni ukweli uwe ukweli jamani, vipi tena mbona tuliwaamini sana sasa na nyie tena kumbe mna interest?
 
No,Hakuna kukubali maanke hayataisha kama tukikubali.Historia inaonyesha dhana ya kubali yaishe haina nguvu Tanzania.Hii ni nchi ya kutaka watu walazimishwe kutekeleza wajibu.Inaonekana U-ngangari ndiyo slogani ambayo ikichanganywa na Nguvu ya umma tunaweza kujikomboa au angalao kusogea mbele hatu moja.

Hakuna kulala Mpaka kieleweke ndiyo suluhisho la kuihenyesha serikali dhalimu kama hii ya kwetu.
 
Mkinithibitishia kuwa JF haina uhusiano wowote na chadema nitafurahi sana maana spidi ya kufuta threads za vurugu za msiba wa wangwe na mgogoro wa chadema ni kubwa mno, acheni ukweli uwe ukweli jamani, vipi tena mbona tuliwaamini sana sasa na nyie tena kumbe mna interest?

Kwa hiyo sisi tusio wanachama wa chama chochote cha siasa tu wanatuvuruga akili zetu ili kujinufaisha politically? Mzee mi simo nisje nikaanza kurushiwa madongo
 
Kama hii jamii ipo sahihi kuhusisha kifo hiki na mgogoro wa Wangwe, kwa nini serikali iliyoko madarakani isiitishe uchunguzi huru ili ukweli ujulikane? Ni nini hapa kinafichwa?

Maanake kwa jinsi CCM ninavyo wajua nao wangejifanya kwenda Jangwani kutangaza List of shame ya waliohusika na mauaji ya Wangwe.Kama CHADEMA wangekua wamehusika that is
 
Mkinithibitishia kuwa JF haina uhusiano wowote na chadema nitafurahi sana maana spidi ya kufuta threads za vurugu za msiba wa wangwe na mgogoro wa chadema ni kubwa mno, acheni ukweli uwe ukweli jamani, vipi tena mbona tuliwaamini sana sasa na nyie tena kumbe mna interest?



Ni kwa nini pia usifikirie kwamba kunaweza kuwa na Technical error?
 
Jukwaa la wahariri limeshap taarifa za kuwepo kwa coocked stories from tarime, litakutana kesho kujadili

Hili jukwaa la wahariri litatoa matokeo yoyote ambayo yataliumbua? Wao wameumbuka sana kwa namna walivyoandika habari za uchochezi kwenye msiba wa Wangwe. wameumbuka sana kwa vile walitaka fujo na vurugu zitokee Tarime na watu wa Tarime tukasema - no way j(h)oseee

Wameumbuka kwa kushiriki kwenye kampeni ya kuchapa habari za uongo toka Tarime na matokeo yake wameaibishwa na MUNGU aliyefunga akili zao na kuwafanya wasahau kuandika jina la halisi la Mbatia. Wameumbuka kwa vile walivyoshindwa (kusahau) hata kubadili mtiririko wa hii habari ya uongo na wakajikuta habari nzima inafanana kila kitu hadi vituo.

Aibu kubwa na sasa uovu waliotaka kuupanda kwa watu wa Tarime unawatokea puani kwa vile MUNGU ameamua kuwalinda watu wa Tarime na kuzuia umwagaji damu. Waendeshaji wa TBC1 na wahariri wanaotumiwa na Rostam Azizi muamke sasa na mkatae kutumiwa na mafisadi hawa wasio na haya wala huruma kwa watanzania.

Waaibike milele kwa kutumiwa na mafisadi ambao wana nia mbaya sana kwa watanzania na ambao wameamua kutoa onyo kwa kila atakayejaribu kuwauliza chochote. Waaibike kwa vile wanakubali kutumiwa kuua upinzani na kuhafifisha chombo muhimu kwenye kuhakikisha utendaji wa serikali yoyote duniani.

Waaibike na kama wasipobadilika na kutubu wakiomba msamaha kwa MUNGU na wakazi wa Tarime, wajiandae kukutana na hukumu ya kweli na haki ya MUNGu wa mbinguni.
 
Inaniuma ninapoona kuwa tayari tumeshafikia kuaminishana kuwa conflict in Chacha's death is crossed in the war against graft. Now it is putting me down to see someone coming in with completely outdated information. be informed that we are right now done with suspicions to Chadema and Mbowe. Right away after having listed down a number of doubtful nodes (including: excessive use of TBC1 to cover funeral, Similarity in todays news which came on today's several newspapers, confirmed information that RA has chained Editors and more) we are only ridding in the nature of RA and allies strike to Tanzania

Hey You!!
 
Pundamilia,
Ni kweli ulivyosema, lakini historia itajitetea yenyewe, Nilifuatilia sana mjadala wa mgogoro kati ya marehemu na CHADEMA. Nimekata tamaa sana, nimekosa matumaini sana, kwa unafiki huu unaoendelea. Watu wanaujua ukweli na upo wazi lakini wanafanya speculations za ajabu ili kujisafisha na kusafisha. Shame on You.

Kinto,
Tatizo lingine ambalo lipo hapa JF ni kwamba mtu mmoja anakuwa na ID nyingi tofauti ambazo huzitumia kwa malengo machafu yaani kupotosha ukweli wa mambo halisi. Kwa mfano, inaonekana ni sawasawa kuhusisha kifo cha Wangwe na kundi lolote lile lakini usidiriki kuhusisha CHADEMA au Mwenyekiti wake (nadhani umekwishapitia postings humu). Hawa watu ni wanafiki wa hali ya juu wanachokifanya hapa kwanza hawamtendei haki marehemu kwa vile walimkana na kumtakia afe. Pili, mijadala yote hii wanayoendeleza ni ya kujipongeza kwa kifo cha Wangwe, hakika wako na furaha isiyo kifani, nadhani hata wale waliokwenda Tarime nahisi ni kwenda kuhakikisha wanauona msumari wa mwisho ukigongwa katika jeneza la Wangwe. Hebu tujiulize, katika hali ya kawaida Mbowe, ana majonzi ya kweli kwa kifo cha hasimu wake ambaye alikuwa ameshamtahadharisha kumng'oa katika nafasi ya uenyekiti?
Acheni unafiki!
 
Mazishi yanaendelea hivi sasa, ila kuna jipya linaanza kuzuka tena ,baada ya ripoti kutoka sasa narudisha majeshi eneo la tukio na nitawapa kinachojiri huko.
 
wewe mkuu,acha kulalamika.Tatizo ni watu ambao hawataki kufikiri nje ya box na kuhusisha kifo chake na CHADEMA tu.Lazima tufikirie mbali zaidi ya hapo ili kuwe na justice otherwise kwa nini mtu usifikirie CCM walikua na maslahi zaidi kwenye hilo suala? Maanake walishaapa kuisambaratisha CHADEMA
 
Kinto,
Tatizo lingine ambalo lipo hapa JF ni kwamba mtu mmoja anakuwa na ID nyingi tofauti ambazo huzitumia kwa malengo machafu yaani kupotosha ukweli wa mambo halisi. Kwa mfano, inaonekana ni sawasawa kuhusisha kifo cha Wangwe na kundi lolote lile lakini usidiriki kuhusisha CHADEMA au Mwenyekiti wake (nadhani umekwishapitia postings humu). Hawa watu ni wanafiki wa hali ya juu wanachokifanya hapa kwanza hawamtendei haki marehemu kwa vile walimkana na kumtakia afe. Pili, mijadala yote hii wanayoendeleza ni ya kujipongeza kwa kifo cha Wangwe, hakika wako na furaha isiyo kifani, nadhani hata wale waliokwenda Tarime nahisi ni kwenda kuhakikisha wanauona msumari wa mwisho ukigongwa katika jeneza la Wangwe. Hebu tujiulize, katika hali ya kawaida Mbowe, ana majonzi ya kweli kwa kifo cha hasimu wake ambaye alikuwa ameshamtahadharisha kumng'oa katika nafasi ya uenyekiti?
Acheni unafiki!

Ama kweli JF kuna wengi!! Kama magazeti yalivyonunuliwa na kuwekwa habari zinazomfurahisha RA hata hapa kuna wenye wajibu wa kumburudisha RA.
Haya endeleeni na kazi yenu kwa kuangalia mnamteteaje mtanzania.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom