Hili linawezekana, na mimi ndio maana nikashauri huyu Bw mdogo Deus ashikiwe chini na wakweli wa mambo maana polisi ni CCM. Ili tupate ukweli kwamba ahukumiwe nani...???
kama??kwanini isiwe kama CHADEMA imehusika?Sasa hao polisi wapo chini ya nani?si CCM na kama hawa CCM wamehusika unatarajia nini tutapata hapo?ni dhahiri itapindishwa weeeeeeeee kama Sokoine kisha tunasahau.Kama inawezekana CHADEMA washirikiane na polisi kufanya uchunguzi.
Bongo bana....yaani mtu (hususan kiongozi) hawezi kufa bila utata. Nashindwa kabisa kuelewa kwa nini watu tu dwell sana kwenye conspiracy theories. Kila siku watu wanakufa kwa njia tofauti ikiwemo ajali za barabarani. Sasa Wangwe kapata ajali na kwa bahati mbaya akapoteza maisha yake. Cha ajabu kipi hapo? Au kwa vile yeye ni Chacha Wangwe basi hakustahili kufa? Jamani jamani, kwa nini kila mara mtu/ kiongozi anapokufa tunapoteza muda mwingi sana kutafuta mchawi? Sokoine kafa kwenye ajali, watu wakaanza kunyooshea vidole wanaosadikiwa kuhusika, Amina Chifupa vivyo hivyo, Ippy Malecela hadithi ile ile, Kolimba kitu kile kile, Balali (huyu sijui hata kama kafa au bado yuko mzima), Ditopile (huyu naye kama Balali, inasemekana naye anaweza akawa ame-fake kifo chake), Zitto kalazwa Muhimbili watu wakaanza minong'ono....Wabongo, tutaacha lini huu utamaduni wa kutafuta mchawi kila wakati mtu afapo?
Mkuu unamaanisha nini? Yaani kama Balali alivyokufa ni kawaida au...???Bongo bana....yaani mtu (hususan kiongozi) hawezi kufa bila utata. Nashindwa kabisa kuelewa kwa nini watu tu dwell sana kwenye conspiracy theories. Kila siku watu wanakufa kwa njia tofauti ikiwemo ajali za barabarani. Sasa Wangwe kapata ajali na kwa bahati mbaya akapoteza maisha yake. Cha ajabu kipi hapo? Au kwa vile yeye ni Chacha Wangwe basi hakustahili kufa? Jamani jamani, kwa nini kila mara mtu/ kiongozi anapokufa tunapoteza muda mwingi sana kutafuta mchawi? Sokoine kafa kwenye ajali, watu wakaanza kunyooshea vidole wanaosadikiwa kuhusika, Amina Chifupa vivyo hivyo, Ippy Malecela hadithi ile ile, Kolimba kitu kile kile, Balali (huyu sijui hata kama kafa au bado yuko mzima), Ditopile (huyu naye kama Balali, inasemekana naye anaweza akawa ame-fake kifo chake), Zitto kalazwa Muhimbili watu wakaanza minong'ono....Wabongo, tutaacha lini huu utamaduni wa kutafuta mchawi kila wakati mtu afapo?
Asante Mkulu, hii ni namba ya siku za karibuni, inaonyesha mtumiaji amenunua simu siku za karibuni. Vinginevyo ni mtumiaji wa simu wa siku nyingi lakini anayependa kubadilibadili namba za simu, kama ndivyo, hiyo si ishara nzuri.Wadau namaba ya Deus aliyokuwa anatumia hadi juzi ni hii hapa 0756-092228.
Mkuu unamaanisha nini? Yaani kama Balali alivyokufa ni kawaida au...???
Hili linawezekana, na mimi ndio maana nikashauri huyu Bw mdogo Deus ashikiwe chini na wakweli wa mambo maana polisi ni CCM. Ili tupate ukweli kwamba ahukumiwe nani...???
Inawawia wadanganyika ngumu kuamini kwasababu walifichwa mno kuhusu kifo chake, lakini hata kama alikufa inakuwa ngumu wao pia kuamini amekufa kawaida kwasababu serikali ilificha pia kuhusu ugonjwa wake na hospitali alikokuwa anatibiwa. Hicho ndicho kinachofanya watu siku zote kuhisi utata kwenye kuficha mambo kama hakuna sababu ya kuyaficha.Kuna wengine wanasema hajafa. Kwamba yuko mahali fulani kajificha na kabadilisha ID yake ili kukwepa sijui nini.....na kuna wanaoamini kuwa kafa na kwenye mazishi yake walienda......
Kama mtandao maslahi unahusika basi njia rahisi nikumwachia atoroke akitanguliwa na fungu dogo la kumsaidia mbele ya safari, lakini nina mashaka sana kuhusu usalama wake maana anaonekana hajatulia. Anaweza kuropoka sana akibanwa sawasawa maana anaonekana ni mwongeaji mzuri (mropokaji akibanwa). Kama alitumwa, njia rahisi kwa aliyemtuma ni kumzima maana kazi imeisha na kijana kama yeye atahatarisha anga kama akiendelea kuropoka...Sijui...???Wasiwasi wangu anaweza kutoroka kama yule Mgonjwa wa Mwanayamala Hospital alivyotoroka hospital akiwa chini ya ulinzi kwa kosa la kumuua mkewe.
Hofu nyingine inakuja kwa huyu Shahidi wa pili anaweza pia akahamishwa kijiji kama nae sio ku-mmafia.
kama??kwanini isiwe kama CHADEMA imehusika?
Inaonekana huyu dogo alikuwa na mikakati ya muda mrefu na alikua nakula kotekote
Ni siri nzito mkuu huyu dogo anajua kila kitu akibanwa sana ataeleza kwa maana amewahi kuhusishwa na wanasiasa wa CCM kisha akawa na wanasiasa wa CHADEMA ngoja tutafute dot....