Masatu,
Unajua kabisa sina tabia ya kuropoka na wala kutamka kitu sina uhakika nacho. Kipindi chote tulichosemwa wakati wa msiba wa Wangwe tulikaa kimya kwa sababu hatukuwa na kitu mikononi mwetu. Sasa tunacho na hatuna wasiwasi. Mwulizeni Makamba akanushe na aone tutakavyomwumbua. Kwa taarifa yenu wala siyo huyo tu.
Masatu,
Unajua kabisa sina tabia ya kuropoka na wala kutamka kitu sina uhakika nacho.
Hakika hii ni kazi aliyotumwa na RA ili amfutie lile outstanding loan ya 3,000,000/=.
Masatu,
Unajua kabisa sina tabia ya kuropoka na wala kutamka kitu sina uhakika nacho. Kipindi chote tulichosemwa wakati wa msiba wa Wangwe tulikaa kimya kwa sababu hatukuwa na kitu mikononi mwetu. Sasa tunacho na hatuna wasiwasi. Mwulizeni Makamba akanushe na aone tutakavyomwumbua. Kwa taarifa yenu wala siyo huyo tu.
Masatu,
Sembuse ungelijua ninayoyajua sasa! Kwa bahati mbaya si tabia ya Chadema kwa unafiki wa aina yeyote ile. Tukishindwa Tarime ni kwa sababu nyingine wala si kwa kuachana na Ushirikiano. Nimeeleza kwingineko kuwa sasa tunaushahidi wa wazi. Hatuna sababu ya kuwa na ushirikiano na watu ambao usiku wanatuchoma visu.
Nimesema tuna video recording ya Mwenyekiti mmoja wa Ushirikiano, aliyemwita Mhariri wa Gazeti, tena linalomilikiwa na tuliyemtaja katika Listi ya Ufisadi, na "wakatunga" story ya Mbowe kuangusha Sherehe Tarime baada ya kupata Taarifa ya kifo. Unahitaji ushahidi gani zaidi! Mwenye macho na masikio haambiwi! Ni wakati sasa watanzania wakaelezwa kwa uwazi aina ya vyama tulivyonavyo hapa Tanzania.
Kuna Chama sasa hivi kimepewa fedha kwenda Tarime, na mtawasikia na kuwaona siku chache zijazo. Chadema huwa hatusemi bila kuwa na ushahidi mnajua. Tutatoa yote wakati ukifika. Lakini ujue kuwa hakuna sababu kujilazimisha katika ndoa ambayo umethibitisha kabisa haiwezekani.
Tungetaka kuweka ki theolojia tungeliiweka, lakini labda si mahali pake. Kwa kifupi hizi ni zile ndoa ambazo hata kwa wakatoliki zinakuwa "dissolved" kwa kuwa ni null and void Ab initio.
Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi
Nadhani ni vizuri tuone Chadema na watajwa watachukua hatua gani?......Inawezekana anawatega wataposhindwa kumfikisha mahakamani atasema unaona wanaogopa hata kwenda mahakamani....wakijua nitawaumbua.....Maana ni same argument Chadema walitumia dhidi ya watuhumiwa wa "list of shame"
Vile vile inawezekana ikawa muendelezo wa kutaka kuidhohofisha Chadema ....kwa Mtikila kutumiwa na watu in the background au kukawa na ukweli kiasi fulani ......nadhani ni vizuri kusuburi tuone watuhumiwa watafanya nini.
Masatu,
Unajua kabisa sina tabia ya kuropoka na wala kutamka kitu sina uhakika nacho. Kipindi chote tulichosemwa wakati wa msiba wa Wangwe tulikaa kimya kwa sababu hatukuwa na kitu mikononi mwetu. Sasa tunacho na hatuna wasiwasi. Mwulizeni Makamba akanushe na aone tutakavyomwumbua. Kwa taarifa yenu wala siyo huyo tu.
Huyo Makamba atakanusha tu...tumesha wazoea kwa kukanusha mambo ya ukweli ni jadi.........mbona wanadai wao hakuna fisadi......jana wamekanusha fedha za EPA hazijatumika kwenye kampeni za CCM....ndo zao hizo.....