Kuna thread humu humu inaelezea ugomvi wao kwa kina, pitia utaiona
Naona mkuu umeamua sana kuhusu first lady, kuna uzi wako pia umetoa maoni yako nimebaki natafakari nini hasa tatizo. Kimsingi niseme neno, first lady wala sio msaidizi wa rais, ni mkewe tu na hata protokali zinaweza kusema hilo. Kazi kubwa ya first lady ni kumtunza mkulu na sio kuchukuliwa kama rais msaidizi. Itoshe tu kusema first lady anaheshimiwa sana ila sijui wewe kama wewe ulitakaje.Kati ya yote kuna kimoja kiko wazi sana japo hujakitaja FIRST LADY wetu hapewi heshima anayostahili popote ,
Magufuli siyo msukuma...anatumia nyota ya usukumaUnakumbuka ile kauli ya JPM....
"Sisi wasukuma... Wanawake wanabaki nyuma....kazi yake kupika..."
Japo sijanukuu vzr
Kwanini alaumiwe Eddo, anapoenda mazikoni mnamsubiri njiani kumzuia na kumrejesha, leo kaamua kukaa kwake mna msema nynyi vipi, huyu ni binaadamu mnafikiri yeye anafurahia ayo munayomfanyia, acheni izo kesha fahamu sasa kaamua kutulia ,kama lengo lengo kumuadhirisha hamumpati tena kesha fahamuNdugu zangu hakuna propaganda mbaya kwenye maisha kama uzushi na uongo! Yote yanayoongelewa hapa ni emotional but emotional hizo zaweza pelekea ufanye vizuri au vibaya! Mbaya zaidi kuna watu watatumia msiba wa mtu kujitafutia umaarufu na kujijenga kisiasa!
Kama kuna anayefurahia kifo cha adui yake hana tofauti na mnyama anayekuta mwenzie kafa na kuanza kumla nyama!
Nasema tuache propaganda chafu kama kweli kuna sherehe inafanywa na watu sababu ya kifo cha Mzee wetu sitta naomba picha au video zenye mabango yanayobeba content ya sherehe hiyo tofauti na hapo ni majungu na uhafidhina! Sisi ni wasomi jamani japo sijui viwango vya kielimu na uelimikaji uliobebwa na kila mwana jamvi!
Siko upande wowote wa chama kama raia mwema napenda kusimamia ukweli na kukosoa kitu kiitwacho propaganda hasa ninapogundua kitu! Over!!!?
Ngeleja aliwakilisha bunge kwenye mazishi ya mbunge mwenzao Zanzibar akiwa na akina zungu.Sio Ngeleja hakuwahi kuwa waziri mkuu
Pia... Salim Ahmed Salim hakuwepo
Cleopa David Msuya hakuwepo
Augustine Lyatonga Mrema hakuwepo (naibu waziri mkuu mstaafu)
Ngoja niishie hapa kwanza
Huyo lemutuz anaongea hayo kama nani??afuate kilichompeleka msiban na si vinginevyo
Huyu Bwana anamuongelea Kapuya
Jibu la swali lako lenye vipengele vitatu ni hili Mkuu,View attachment 433195
Tena hata akiona hiyo taarifa ya msiba anabadili Chanel anaweka National Geographic .Mtoto wa mkulima kastaafu siasa na kwa sasa anaishi Dodoma akijishughulisha na kilimo na ufugaji. Wakati wa kuaga mwili Bungeni alikuwepo. Acha kuandika hisia badala ya uhalisia.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mabifu ya wanamtandao na pollonium 310, watamalizana sana ........mwanzo wote walimuwinda Lowassa ....mwaka 2008 Lowassa alipopita pale VIP kuelekea ujerumani ....kwa matibabu...muda mfupi baada ya kutolewa uwaziri mkuu...kila mtu aliyemuoana alilia machozi ...alikuwa haoni na hajiwezi ..
Haikuwa ajabu wenzake kuendelea kuimba litania za hafiki kesho ,hafiki kesho ,ilipofika 2015 wakawa wanasema hafiki mwenzi wa nne ...hata wakapeleka mbele uteuzi ndani ya chama wakiamini yeye atakuwa ashakufa ....mara hafiki mwezi wa sita ....
Mara hamalizi kampeni , mara atafia Ikulu ........hakika Lowassa ana moyo wa kusamehe ..
Sitta mwanamkakati asiyechoka baadaye ikaonekana kuwa aliendelea kulipiza kisasi kwa Jk ,analaumiwa sana kwa kuwapa wapinzani nguvu bungeni na pia kwa kuweza kuwa chachu ya Katiba ya wananchi -ukawa .na msamaha wake ulikuwa mgumu..ikidaiwa aliendesha lile bunge kwa malengo yake ya urais ....
Ila ile ongea yake duuh, kwani hakuwahi kabisa kuishi Urambo? Au swaga tu
watoto wa wakubwa wengi wao mabwege....na wana mawazo kuwa hii nchi ni ya kifalme ....wakati Mwalimu hakumpa hata mwanaye mmoja kaziNi mapozi tu yale. Si unajua hawa watoto wa siku hiz wakipewa maisha na wazazi wao wanaona tuliobaki huku Africa ni malimbukeni.
John Sitta hakuwepo , kwa nini hakuja ? maana nae anaishi MarekaniAnaishi marekani, kutokujua kiswahili ni mbwembwe tu maana baba yake na mama yake ni Samuel na Magreth kwahiyo anatakiwa kukijua vizuri tu, mbona Agnes anaongea vyema?