Umepatia mzee. I give u B+you can see potentiality ya ENL. I always say ENL ni kama maji (usipoyanywa basi utayaoga, usipoyaoga basi utayanywa, usipoyaoga basi utayafulia nguo nk) yaani hadi kina Le Mutuz wanam-miss...they all need to see him in every event. of all key national figures zilizohudhuria lakini absence ya ENL inawaumiza watu. huyu ndio Prezidaa by 62% (Steve Wassi-raa, 2016).
ndoto na maono ..Press release ya Ikulu ilisema alipofikishwa Muhimbili alikuwa amepoteza fahamu. Ila kilichosababisha ndio hakijulikani.
Sina hakika lakini ,nimewaza tu na hawa wachache waliowaza Kama Mimi nkaona tuje tupate na ya humu
Je ni kweli Mama wa taifa alizimia na kujikuta yupo Muhimbili baada yakusikia Sita kafariki?
Kama ndiyo, ni kwanini iwe hivyo? Kwani ni ndugu? Inasemekana hata baba alivyoenda Masaki kumsabai Sita hakwenda na Mama.
Pili, Lowasa amekua akisifiwa kua na roho nzuri na ya kusamehe mahasimu wake, vipi ktk msiba wa mzee Sita asionekane popote? Si Masaki, Karimjee wala Bungeni.
Au nna kiherehere tu ,maana huenda leo akaibuka Urambo kumuaga Spika wake.
Asipotokea basi ule wema wake ni wa kaole.
Tatu, hivi mtoto wa mkulima baada ya kuenguliwa na mzee wa msoga kule Dodoma siku ile ndiyo ilikua basi tena? Au yalikua macho yangu kupoteza umakini maana na yy sijamuona Masaki, K, mjee wala Bungeni.
Angekua anatumia gari yake tungesema Katavi-Dar ni mbali, labda uchumi unambana. Anyway, huko kwao ni msimu wa kuandaa mashamba ,labda kathamini zaid shamba kuliko kumuaga Spika wake
Ni hayo tu
Ile ilikuwa geresha tu ya uchaguzi. Lowasa hana utemi wala uchifu huko kwa hao Wanyamwezi.Lowasa alitawazwa kuwa mtemi wa wanyamwezi na wazee wa Tabora,
lazima awepo kwa cheo chake cha utemi/chief
alimuambia Lowassa anasubiri Kufa na atawaingiza gharama ya kuzika akiingia ikulu.....siasa hatari sana ......
asijue tayari washamfanyia yao.........mwenzake aligutuka mapema kuwahi ujerumani kabla haijakolea ..
all in all niseme mtu atakayekuwa hana raha kuliko wote ni Kikwete ........mtandao wake uliiongozwa na Lowassa ,sitta ,Membe ,Rostam , na wengine umemaliza miaka 10 wakiwa kwenye mgogoro mkubwa wenye majeraha makubwa ....awali Adui alikuwa Lowassa lakini mwisho wote hawaelewani
Hata baada ya rais mpya kuingia wamekuwa sio watu wenye furaha na rais aliyepo...Sitta mwenyewe alikuwa ameshaweka booking kuongea na waandishi wa habari akirudi sijui alitaka kusema nini
Membe juzi tu alibipu kuongea na waandishi ...akajibiwa arudishe pesa ya Ghadafi na JP.
Kimsingi wote wanamlaumu Jakaya Kikwete ....kuwa kama sio wao kwa wao kugombana wasingefika huku...lakini pia kuna watu kama Membe na Sitta ambao wao wanabeba lawama za kuwa wachonganishi ndani ya kundi
Mzee Pinda alikuwepo BungeniSina hakika lakini ,nimewaza tu na hawa wachache waliowaza Kama Mimi nkaona tuje tupate na ya humu
Je, ni kweli Mama wa taifa alizimia na kujikuta yupo Muhimbili baada yakusikia Sitta kafariki?
Kama ndiyo, ni kwanini iwe hivyo? Kwani ni ndugu? Inasemekana hata baba alivyoenda Masaki kumsabahi Sitta hakwenda na Mama.
Pili, Lowassa amekuwa akisifiwa kuwa na roho nzuri na ya kusamehe mahasimu wake, vipi ktk msiba wa mzee Sitta asionekane popote? Si Masaki, Karimjee wala Bungeni.
Au nna kiherehere tu ,maana huenda leo akaibuka Urambo kumuaga Spika wake.
Asipotokea basi ule wema wake ni wa kaole.
Tatu, hivi mtoto wa mkulima baada ya kuenguliwa na mzee wa msoga kule Dodoma siku ile ndiyo ilikua basi tena? Au yalikuwa macho yangu kupoteza umakini maana na yeye sijamuona Masaki, K, mjee wala Bungeni.
Angekuwa anatumia gari yake tungesema Katavi-Dar ni mbali, labda uchumi unambana. Anyway, huko kwao ni msimu wa kuandaa mashamba ,labda kathamini zaidi shamba kuliko kumuaga Spika wake.
Ni hayo tu
Unesahau swali lingine. Hivi yule caroline Sitta ni Mtanzania? Maana kiswahili chake mushkeli sana
Kweli alikuwepo, macho yako yameanza kukudanganya, pole.Mtoto wa mkulima alikuwepo juu kabisa pale bungeni
Anaishi marekani, kutokujua kiswahili ni mbwembwe tu maana baba yake na mama yake ni Samuel na Magreth kwahiyo anatakiwa kukijua vizuri tu, mbona Agnes anaongea vyema?Unesahau swali lingine. Hivi yule caroline Sitta ni Mtanzania? Maana kiswahili chake mushkeli sana
Jamaa kaazima macho ya Lowasa.Kweli alikuwepo, macho yako yameanza kukudanganya, pole.
huyo caro kashachukua uraia wa marekani na ameajiriwa na serikali ya marekaniAnaishi marekani, kutokujua kiswahili ni mbwembwe tu maana baba yake na mama yake ni Samuel na Magreth kwahiyo anatakiwa kukijua vizuri tu, mbona Agnes anaongea vyema?
Kuchukua Uraia sio kusahau Kiswahili.huyo caro kashachukua uraia wa marekani na ameajiriwa na serikali ya marekani
siunajuwa tena .....mtajuwaje tena kuwa kama sio mtanzania na kaja na VISA....Kina Salim ,Mama Tibaijuka na wengine wamekaa ulaya toka wakiwa vijana lakini bado wanaongea kiswahili cha kihaya au kimanyemaKuchukua Uraia sio kusahau Kiswahili.