alimuambia Lowassa anasubiri Kufa na atawaingiza gharama ya kuzika akiingia ikulu.....siasa hatari sana ......kuna video youtube mzee samweliii akimtusii lowasa juu ya utajiri wake na ufisadiiii
Yule jamaa anashinda zake shamba siku hizi. Hata Jk analima zake mananasi huko Msoga mjini anajwenda kwa nadra sanaMtoto wa mkulima alikuwepo juu kabisa pale bungeni
Ni kweli Kapuya kafanya hayo au anazushiwa?
Kuna mkweli kuhusu mama wa pale magogoni inamaana alipoposikia ndio akaugua na hata hajasema sewa ni tatizo gani lilimpeleka sita alikiwa na ukaribu sana na mama kuliko baba nini daha mmmmmmSina hakika lakini ,nimewaza tu na hawa wachache waliowaza Kama Mimi nkaona tuje tupate na ya humu
Je ni kweli Mama wa taifa alizimia na kujikuta yupo Muhimbili baada yakusikia Sita kafariki?
Kama ndiyo, ni kwanini iwe hivyo? Kwani ni ndugu? Inasemekana hata baba alivyoenda Masaki kumsabai Sita hakwenda na Mama.
Pili, Lowasa amekua akisifiwa kua na roho nzuri na ya kusamehe mahasimu wake, vipi ktk msiba wa mzee Sita asionekane popote? Si Masaki, Karimjee wala Bungeni.
Au nna kiherehere tu ,maana huenda leo akaibuka Urambo kumuaga Spika wake.
Asipotokea basi ule wema wake ni wa kaole.
Tatu, hivi mtoto wa mkulima baada ya kuenguliwa na mzee wa msoga kule Dodoma siku ile ndiyo ilikua basi tena? Au yalikua macho yangu kupoteza umakini maana na yy sijamuona Masaki, K, mjee wala Bungeni.
Angekua anatumia gari yake tungesema Katavi-Dar ni mbali, labda uchumi unambana. Anyway, huko kwao ni msimu wa kuandaa mashamba ,labda kathamini zaid shamba kuliko kumuaga Spika wake
Ni hayo tu
Press release ya Ikulu ilisema alipofikishwa Muhimbili alikuwa amepoteza fahamu. Ila kilichosababisha ndio hakijulikani.Kuna mkweli kuhusu mama wa pale magogoni inamaana alipoposikia ndio akaugua na hata hajasema sewa ni tatizo gani lilimpeleka sita alikiwa na ukaribu sana na mama kuliko baba nini daha mmmmmm
umeongea ukweli unatakiwa kwenda msibani sio unaenda msibani kuangalia nan kahudhuria na nan hajahudhuriaKwa hiyo CCM mmemwua Samweli Sitta ili kupima kiwango cha Utu wa Lowassa ama vipi, kwani huu msiba unamhusu vipi Lowassa???
Lowassa ana haki ya kuhudhuria au kutokuhudhuria msiba wa Sitta, ana haki ya kusikitika ama kutokusikita!
Yepi??Bernard membe majukum mengi