Bandugu japo tunaongea kiutani lakin haya mambo yapo tena sana na mm nilishayashuhudia kwa marafk na baadh ya ndugu zangu had najikuta nawaonea huruma mashemeji watu. Kwan kuna mmoja hadi leo hii ana miaka 35 lakin ushangae dadake ndo anamnunulia kila kitu had na mke wake instead dada mtu ampe hata mtaji apambane lakin kwa kudekezwa na dadake kajisahau had leo hii mwanamme kuja ifikd pahala had sabun ya kuoga unampgia dadako akununulie huon hapo n majanga. Na ww
Daudi1 jarbu umfundishe shemejio kazi sio kumuacha ndan we unaenda kupokea za wananchi huko shauri yako ipo cku utakuta kapiga suti yako anaringishia mtaani sijui utamkasrikia au utamgombeza wife