Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
Usiku ndiyo huu uku USAYeye alisema tu usiku hajasema usiku wa lini, kwaiyo endeleeni kusubiri.
Usiku ndiyo huu uku USAYeye alisema tu usiku hajasema usiku wa lini, kwaiyo endeleeni kusubiri.
Eeeeh waendelee tu kuusubili uo usikuYeye alisema tu usiku hajasema usiku wa lini, kwaiyo endeleeni kusubiri.
jamaa anasababisha hadi mtu unaanza kuchukia tu bureIla Abou Shaymaa sio mtu mzuri kabisa
Ni tofauti na alivyokuja ingawa hadithi zenyewe ni za kucopy sehemuIla Abou Shaymaa sio mtu mzuri kabisa 😅😅
Sasa we ukajua yeye yupo uko!! Abou Shaymaa yeye ni mhazabe yupo uko mbugani singida yaani uko hawajui mchana wala usiku.Usiku ndiyo huu uku USA
Khaaaa 🤣🤣🤣Usiku ndiyo huu uku USA
Yeye anajua kula nyama mbichi na kutembea uchi tu🤣🤣🤣🤣Sasa we ukajua yeye yupo uko!! Abou Shaymaa yeye ni mhazabe yupo uko mbugani singida yaani uko hawajui mchana wala usiku.
nilisahau kukupa heshima yako sister "Shika mooo" mama kampeni.Eeeeh waendelee tu kuusubili uo usiku
Ooooh jmn my brother I love you😘😘nilisahau kukupa heshima yako sister "Shika mooo" mama kampeni.
Haswaa ndo tabia zao hizo.Yeye anajua kula nyama mbichi na kutembea uchi tu
I LOVE TOO so i hate your husband, sijui wanaandika hivyo maana mi sijuwi ki english.Ooooh jmn my brother I love you
😅Usiku upi? Au ulipo usiku haujafika
🤣🤣🤣 nilikuambia usome ww ukakataa unaona sasa.... anyway nimekuelewa na usijal asipopata jimbo mwaka huu lazima nimuacheI LOVE TOO so i hate your husband, sijui wanaandika hivyo maana mi sijuwi ki english.
Che mittoga kuya pande hii mwenyekiti anakuitaMuulize katibu kata Che mittoga ndo anajua ilipo ishia🤣🤣🤣
Ukinipenda wewe inatosha shemeji anakaa sebuleni tuu, kazi kubadilisha channel hata bei ya kifurushi hajui, akalime karanga tu🤣🤣🤣 nilikuambia usome ww ukakataa unaona sasa.... anyway nimekuelewa na usijal asipopata jimbo mwaka huu lazima nimuache
Sasa c yupo kwa dada ake muache ajiachie bhn kazi yakulima tutawapa Tumwesige senior na MopakUkinipenda wewe inatosha shemeji anakaa sebuleni tuu, kazi kubadilisha channel hata bei ya kifurushi hajui, akalime karanga tu
nalima afu nakulima na wewe shamba la bibi patam hapo miana amorSasa c yupo kwa dada ake muache ajiachie bhn kazi yakulima tutawapa Tumwesige senior na Mopak
Ngoja nikupe code we muhuni uliezeheka, nature inataka ukioa utupende sana ndugu wa mkeo maana ndo tumeshika hatma ya ndoa yako, sio unakaa unaninanga kwa tv gani hapa hili la chogo?Ukinipenda wewe inatosha shemeji anakaa sebuleni tuu, kazi kubadilisha channel hata bei ya kifurushi hajui, akalime karanga tu
ila inategemeana ndugu mm dada zangu wameolewa wote mkubwa nnaemfatia mim kaolewa mwaka 2000 lakin kwake nimeenda mara mbili tu siku ya kwanza kufata mahari mara ya pili alikuja akaacha watoto wasalimie nikawarudisha na hata ckulala huko hadi waleo. Ukifanya mazoea kwa dadako kwel lazma ulimishwe na pia hata kudekishwaNgoja nikupe code we muhuni uliezeheka, nature inataka ukioa utupende sana ndugu wa mkeo maana ndo tumeshika hatma ya ndoa yako, sio unakaa unaninanga kwa tv gani hapa hili la chogo?