hanszachariah
New Member
- Jul 27, 2020
- 2
- 3
muandishi nakusihi usitume tena story yako, ni kama tunazidi kuisahau siku zinavyoenda
muandishi nakusihi usitume tena story yako, ni kama tunazidi kuisahau siku zinavyoenda
Kesho tunaendeleaNgoja niwasaidie kumuita Abou Shaymaa kwann lkn unatufanyia hiv
Sasa si kama mimi tu au miana amor na moneytalk munasemaje? 😅Waandishi wa hadithi humu JF namkubali FEBIAN BABUYA tu. Anamaliza stori zake hata kama huchelewa. Lakini wengine wote ni wa hovyo tu. Mimi huwa sijali. Napenda hadithi, lakini waweke wasiweke watajijua wenyewe maana Sina makubaliano nao ya awali ya kuweka hadithi zao.
Ahueni umeonekanaSasa si kama mimi tu au miana amor na moneytalk munasemaje? 😅
Yes utachelewa kuleta lkn hadith itaisha na utaleta nyingine yaan ww ni kata mti panda mti🤣🤣🤣🤣Sasa si kama mimi tu au miana amor na moneytalk munasemaje? 😅
Sister hiyo tabia umeianza lini!! mbona inashabihiana na tabia ya mwijaku, baba levo au dotto magari?.Yes utachelewa kuleta lkn hadith itaisha na utaleta nyingine yaan ww ni kata mti panda mti
🤣🤣🤣bro c unajua tunataka tuchukue jimbo kwahy lazima niwe chawa ili nipate kura za kutoshaSister hiyo tabia umeianza lini!! mbona inashabihiana na tabia ya mwijaku, baba levo au dotto magari?.
mkuu mbona umekata tamaamuandishi nakusihi usitume tena story yako, ni kama tunazidi kuisahau siku zinavyoenda
usipokomaa wajumbe wanalifanyia Mtima nyongo🤣🤣🤣bro c unajua tunataka tuchukue jimbo kwahy lazima niwe chawa ili nipate kura za kutosha
tamaa sijakata ila kuna kusahau maudhuimkuu mbona umekata tamaa
umeadimika kama belle9 Daudi1Kah kumbe huku bado
bora uache tu kwan nakumbuka hata ndugu yangu nimesahau kila kitu weng n kama wamezilaNipooo, sema mmefika sehemu ya ngapi nitoe msaada
Alikua kuchukua fomuumeadimika kama belle9 Daudi1
Umeanza!!! Unaacha uombe kuraNipooo, sema mmefika sehemu ya ngapi nitoe msaada
🤣🤣🤣 Abou Shaymaa sio mtu mzuribora uache tu kwan nakumbuka hata ndugu yangu nimesahau kila kitu weng n kama wamezila
mambo kipenzi cha mtuAlikua kuchukua fomu
Kwahiyo niwaache na njaa yenu?Umeanza!!! Unaacha uombe kura