Amkeni! Amkeni! Amkeeeni! Kumekuchaa.. Mwenyekiti Daudi1 tunaomba kibali cha maandamano kwenda kwa Abou Shaymaa
Mim km mke wa muheshimiwa mwenyekiti natoa kibali kwa niaba ya mwenyekiti chakeAmkeni! Amkeni! Amkeeeni! Kumekuchaa.. Mwenyekiti Daudi1 tunaomba kibali cha maandamano kwenda kwa Abou Shaymaa
Umelazwa na viatu😅😅Vumbi tu
Siyo na viatu ni gambuti kabisaUmelazwa na viatu😅😅
mkuu saaa sita usiku??Amkeni! Amkeni! Amkeeeni! Kumekuchaa.. Mwenyekiti Daudi1 tunaomba kibali cha maandamano kwenda kwa Abou Shaymaa
Niliwaambia niwape msaada tatizo mwenyekit wenu hamniheshimu mnanivunjia heshima mpaka kwa mke wanguMim km mke wa muheshimiwa mwenyekiti natoa kibali kwa niaba ya mwenyekiti chake
Andamaneni na mkimpata mtieni makwenzi kidogo ndo mumlete hapa ofisin😅😅😅
Abou Shaymaa tangu apewe baiskel ya CCM anaringa sanaAbou Shaymaa mama mwenyekiti nakuhitaji ofisin haraka
Aiseeee pole sanaSiyo na viatu ni gambuti kabisa
Hajui km ww ni mume wa mtumkuu saaa sita usiku??
Haisaidii kitu we mke wa babu mabudiAiseeee pole sana
😅😅😅ngoja nimuite Daudi1 my husband come pleas😚Haisaidii kitu we mke wa babu mabudi
Nilitaka tuwaonyeshe watu hapa jukwaan kama bado tupo pamoja 😅😅😅Kuna shida nke wangu
mme wa mtu kwani wengne wa minyama. Mwachie mmeo apige hata patrol vibaka wengi mtaani mtafungiwa milango kwa nje nyie afu kawaida mwenyekiti anaejua wajibu wake hana mda maalum kazi kazi au unaogopa ataenda kwa mchepuko wakeHajui km ww ni mume wa mtu
Eeeh asije akaenda kilabuni buremme wa mtu kwani wengne wa minyama. Mwachie mmeo apige hata patrol vibaka wengi mtaani mtafungiwa milango kwa nje nyie afu kawaida mwenyekiti anaejua wajibu wake hana mda maalum kazi kazi au unaogopa ataenda kwa mchepuko wake
Shukrani sana mkuuYa leo itakata kiu yako yote 😅
😅Abou Shaymaa tangu apewe baiskel ya CCM anaringa sana