Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Ndugu wajumbe, ni siku ya pili tunalala usingizi wa mang'amang'amu, wengine wakichungulia na wengine wakiingia kabisa, na hatujapata taarifa yoyote kutoka kwa Bwana Abou Shaymaa mpishi wetu, pengine kuna jambo limempata au kuna tatizo.
Natoa maagizo miana amor hebu mpigie simu kwa sauti ya asubuhi asubuhi ile tamu lakini usiilegeze sana hebu fanya kama unamjulia hali
Natoa maagizo miana amor hebu mpigie simu kwa sauti ya asubuhi asubuhi ile tamu lakini usiilegeze sana hebu fanya kama unamjulia hali