Kifo cha CHADEMA kimekuwa cha ajabu kweli!

Kifo cha CHADEMA kimekuwa cha ajabu kweli!

Nipo dunia ya watu wanaojitambua na kuchukia udhalimu na wizi wa rasilimali za wananchi kama vile epa,escrow,richmond na mengine mengi.

Nilifikiri upo na wale misukule ya lumumba kama upo dunia ya waojitambua chochea tu kuni kwa hawa misukule manake kwa sasa popote walipo moto ukawa unawachoma mwaga petrol wabaki majivu.
 
Huo ndio ushahidi tosha kuhusu UDHAIFU NA MAPUNGUFU ya Bin-Adam! Kila tunapomnyooshea kidole mwenzetu mara nyingi wengi wetu hatupendi au tunapuuza kwa makusudi kujiuliza "ni kwa nini vidole 3 kati ya vitano huwa vinatugeukia sisi wenyewe na kidole gumba kuangalia juu???!!"

Vile vidole vitatu huwa vinasema na wewe je; uko sahihi; uko sawa?! wakati kidole gumba kinaelekeza kwamba Mwenyezi Mungu anakuangalia!! chonde chonde! (tafsiri yangu)

Tuwaache waendelee kupiga ramli kuitabiria CDM kifo; wakija kuzinduka kwamba "waganga kina Maji Marefu wanawadanganya"; wameshalizwa; Nchi imeondoka! CDM Magogoni.
 
...utafiti niliofanya ni kuwa ccm inaonekana kama chama cha wezi tu na watu hawaoni fahari tena kujiita ni ccm
Ni KWeli ni Chama Cha Wezi, Swali langu kwako Mkuu, Je Utafiti Huu Ulifanya UDSM na REDET ya Dr. Benson Bana??, au Wapi Naomba Unijuze Tafadhali Maana Is very Interesting na Naona Waliwatendea haki Majizi ya CCM.
 
Hii ni ajabu kubwa, anaekufa anaona amwenye uhai ndie anakufa..!! nadhani hili ni wenge la kifo kuona vitu dabodabo na kushindwa kutafsiri!!
 
Siku zote anayekufa hawezi kujua kama anakufa ila daktari ndiyo anajua siri ya mgonjwa kuwa anakufa,

kwahiyo chadema kamwe hawatajua kama wamekufa au la!

Zile tambo za akina WASIRA, mbona siku hizi wamemwachia Nape peke yake?.

Ile combination ya Mwigulu na WASIRA naona haikufanya vyema tulivyodhani ingefanya. Nakumbuka siku ile Mwigullu anatangaza kuwa na mkanda wa Ugaidi wa CHADEMA na alipofika bungeni akasema ana ushahidi ambao hata mbinguni unakubalika. Hakujua kuwa Mungu hadhihakiwi. Kilichonishangaza, baadae Mwigullu ameonekana Nigeria akiwa ameenda kutubu na kupata maombi ya mzee wa sara.

Tangu hapo Mwingullu kimya!!!!!!!.
WASIRA Kimyaaaaaaaa!!!!!!!.
Kabaki Nape anahangaika peke yake.
Wakati huo Kinana naye akikomaa kiume mpaka tone la mwisho la CCM.

CHADEMA NI MPANGO WA MUNGU. UKIIPINGA AU KUIHUJUMU, MUNGU ANAKUTIA ADABU!!!!
 
Wewe huoni kuwa chadema kiko hoi bin taabani? ponye ponye chadema kimetolewa ICU na Raza na Lipumba wa CUF na siku mkimuudhi mhindi yule na Mnyamwezi yule, mjuwe mnarudi ICU.
 
Ni KWeli ni Chama Cha Wezi, Swali langu kwako Mkuu, Je Utafiti Huu Ulifanya UDSM na REDET ya Dr. Benson Bana??, au Wapi Naomba Unijuze Tafadhali Maana Is very Interesting na Naona Waliwatendea haki Majizi ya CCM.
Kwa hali ilivyo, hata ukienda mtaani ukasema mimi ni CHADEMA au UKAWA. Mwenzako akasema yeye ni CCM. Jamii inamwogopa sana anayesema ni CCM. Jamii ya sasa inajua CCM ni wabaya kwa kila kitu.
 
Wewe huoni kuwa chadema kiko hoi bin taabani? ponye ponye chadema kimetolewa ICU na Raza na Lipumba wa CUF na siku mkimuudhi mhindi yule na Mnyamwezi yule, mjuwe mnarudi ICU.
Hivi Nape anakuwaga na akili timamu kusema CHADEMA kinakufa?. Mbona matamko yake yanapingana na hali halisi?. Watu wakisema CCM kinaongozwa na wasiojitambua ni uongo?.
 
Ndugu wanaJF,
Tumeshuhudia utabiri mwingi dhidi ya chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), kuwa chama hiki kinakufa kwa kasi ya ajabu. Binafsi nimegundua jambo la ajabu sana kupitia kifo cha chama hiki. Kwa kadili kinavozidi kusemwa kuwa kinakufa ndivo kinavozidi kuitesa CCM. Sasa napata maswali mawili makubwa,

MOJA: Chadema kwa mwaka jana na mwaka huu, kimeonyesha kuwa kimeenea kila kona ya Tanzania. Kwamjibu wa wa wanaCCM (Nape) ni kwamba chadema kinakufa kwa kasi kila kona ya nchi?. je, nini maana ya chama cha siasa kufa kila kona ya nchi wakati huo huo kinapenya kila kona ya nchi ambako hakijawahi kufika?.

MBILI: Tangu mwaka 2010 mpaka leo, inaonyesha chadema kimezidi kupendwa na wananchi na zaidi sana tangu kuunda UKAWA watanzania wameongeza kupendana zaidi na wanaiona CCM kama shetani. Kwa hali iliyopo sasa watanzania wanakula CCM wanalala CHADEMA/CU/NCCR-Mageuzi. Tutarajie nini hapo October 2015.

Hiyo inaitwa political propaganda,ni kwaajili ya kuwazubaisha akili wale wasio na upeo wa kufikiri hivyo wala usishangae.
 
Hivi Nape anakuwaga na akili timamu kusema CHADEMA kinakufa?. Mbona matamko yake yanapingana na hali halisi?. Watu wakisema CCM kinaongozwa na wasiojitambua ni uongo?.

Unajuwa maana ya kinakufa? au unakurupuka tu? Sasa wewe hukioni kuwa chadema kinakufa?
 
Kama wauaji wa CHADEMA wameshindwa kuiua through within watawezaje kuimaliza kupitia ACT? Muuaji wa kwanza wiki hii atakimbilia ACT kwa wauaji wenzake kuunganisha nguvu kujaribu karata yao nyingine but sina hakika kama hilo litawezekana. Ukiwauliza wataalamu wa usalama watakwambia insiders are great threats than anything else. Ni rahisi kujikinga na outside threats kuliko insiders, na Chadema wamefanikiwa kupunguza insiders. Kwa maneno mengine, huo utabiri wa kifo cha Chadema inawezekana ukalenga mlango wa pili kwa jirani.
 
Siku zote anayekufa hawezi kujua kama anakufa ila daktari ndiyo anajua siri ya mgonjwa kuwa anakufa,

kwahiyo chadema kamwe hawatajua kama wamekufa au la!

Umepata habari za uchaguzi wa serikali ya mtaa mbezi marudio?
 
By the way niwaambie tu CCM kuwa Jaji LEWIS MAKAME alishakufa. Sijui kama Jaji kama watampata tena Jaji Makame wa miongo iliyopita.
 
Mkuu, hakuna mtu yeyote including hao mamburula wa Lumumba wanaokesha humu anayeweza kueleza precisely ni kwanini wanaiombea Chadema "kifo" au ni kwanini wanaichukia hivyo. Nape naye mapovu tu kila kukicha KUILAANI Chadema hebu aeleze ubaya wa Chadema ni upi sijui kama ataweza.

Binadamu wengine huwa mnajipa matumaini ambayo huwa hayapo kabisa. Hivi unategemea kusikia kitu gani kutoka kwa Comical Nape (Nape mchekeshaji)

Comical Nape hana tofauti na Ze Comedy, kazi yake ndiyo hiyo kuchekesha kadamunasi.
 
Sawa bibie tumekuelewa kachukue buku7 yako!!

Wewe umelala, mwaka wa uchaguzi huu dau limepanda sana, ni msimu wa kuvuna huu, buku 7 kwa saa ilikuwa zamani sana. Hivi magwanda mnafanya kazi ya bure? fedha anachukuwa Mtei, Mbowe na Slaa tu? mmelala kweli kweli.

Nyie kazi za kutesa, kuteka na kuyofoa kende za watu mnazifanya bure tu? kisha mnaachwa mnasota jela wenzenu wanakula bata Dubai, wanawajengea mahawara majumba ya kifahari, wanachukuwa mishahra minono bila jasho, wanaendesha mashangingi kwa fedha za ruzuku. Mtei anaongeza mabasi na ma lodging mapya halafu tukiwaita misukule mnakataa. Mnanshangaza!

Hivi kuna cha bure siku hizi? Nyie kweli misukule.
 
Wewe umelala, mwaka wa uchaguzi huu dau limepanda sana, ni msimu wa kuvuna huu, buku 7 kwa saa ilikuwa zamani sana. Hivi magwanda mnafanya kazi ya bure? fedha anachukuwa Mtei, Mbowe na Slaa tu? mmelala kweli kweli.

Nyie kazi za kutesa, kuteka na kuyofoa kende za watu mnazifanya bure tu? kisha mnaachwa mnasota jela wenzenu wanakula bata Dubai, wanawajengea mahawara majumba ya kifahari, wanachukuwa mishahra minono bila jasho, wanaendesha mashangingi kwa fedha za ruzuku. Mtei anaongeza mabasi na ma lodging mapya halafu tukiwaita misukule mnakataa. Mnanshangaza!

Hivi kuna cha bure siku hizi? Nyie kweli misukule.

Ah ah ah ah ah ah mbona povu jingi bibie basi sawaaaaaaaah, btw wengine tunajisimamia wenyewe hatutegemei buku 7 km nyie MANDEZI ya lumumba
 
Back
Top Bottom