Cybercrime
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 3,246
- 1,113
Kama unatamani fedha zi urudi tu bungeni?
Pesa wanazitaka halafu wanawaita akina SHIBUDA wasaliti
Kama unatamani fedha zi urudi tu bungeni?
ccm ni janga la taifa
atakayevumilia hadi mwisho ataonja mema ya nchi
Mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe, mawe yenye ndiyo nyie CDM
Kama unatamani fedha zi urudi tu bungeni?
Tatizo lenu CHADEMA mnafikiri mngekuwemo bungeni pesa zisingepotea
Chadema wanaota ndoto ya mchana kaka
Pesa wanazitaka halafu wanawaita akina SHIBUDA wasaliti
Kama unatamani fedha zi urudi tu bungeni?
Muombe mungu usife haraka ili mwisho wa siku uone maajabu ya ccm utalia kwa fulani japo kimoyomoyo kwa ushindi mkubwa itakaopata tena.
Ccm haiwezi kufa hata siku moja chadema wauaji na imekufa
Sababu Za CCM Kufa na wananchi kuanza kuikacha kwa nguvu zao zote ikiwamo kuwashawishi wenine waachane nayo!
1) Kutumia mabavu katika kuiongoza nchi.
2) Mnyama ni bora kuliko binadamu
3) Ahadi zisizotekelezwa wala kutekelezeka.
4) Waongo
5)
Kadri siku zinavykwenda naona dalili zote za CCM kuanguka. Hakuna atakayeweza kuiokoa chama hiki kongwe. Naona anguko hilo litatokea ndani ya miaka kumi na tano (15). Watakaokingusha CCM ni wana CCM wenyewe, si vyama vya upinzani.
Zifuatazo ni dalili ya kuanguka kwa CCM
1. Upendo kati ya wanachama umekwisha, ni ugomvi usiokwisha ( Sitta camp Vs Rostam camp)
2. Fedha ni kipaumbele siyo Sera au hoja.
3. Wasemaji wa chama ni wapayukaji ( makamba, Hiza Tambwe, Sofia simba)
4. Wazee wenye busara wamesusa chama ( Warioba, Salim, Butiku, Sumaye)
5. Familia ya viongozi wamekiteka chama ( Makamba's, JK's, )
6. Kampeni zimebadilika kuwa concert ( wanamuziki kibao)
7. Kununua wapinzani
8. Kukataa midahalo ( mchakato majimboni- TBC)
9. Ahadi nyingi wakati huu wakati za mwaka 2005 hazijatekelezwa ( Mikopo ya wanafunzi maisha bora kwa kila mtz n.k)
10. Chama kujadili issue binafsi zaidi badala ya maslahi ya wananchi.
CCM kwa sasa ina uwoga sana kuliko cha chama chochote hapa nchini. Wanaelewa wanakoelekea.
KEEP DREAMING! It's GOOD FOR YOUR HEALTH!