Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Kama unatamani fedha zi urudi tu bungeni?

Tatizo lenu CHADEMA mnafikiri mngekuwemo bungeni pesa zisingepotea

Chadema wanaota ndoto ya mchana kaka

Pesa wanazitaka halafu wanawaita akina SHIBUDA wasaliti

Anayezungumza hapo siyo chadema nyinyi misukule,mnadhani kila aliyetofauti na serikali ni chadema,kweli chadema inawatesa hadi mnaiota mkiwa macho!huyo ni mwananchi Wa kawaida asiyekuwa na chama kama Mimi na anawakilisha watanzania wote wenye akili,siyo misukule kama nyinyi.
 
Muombe mungu usife haraka ili mwisho wa siku uone maajabu ya ccm utalia kwa fulani japo kimoyomoyo kwa ushindi mkubwa itakaopata tena.
 
Ukawa mnakazi kweli mtaongea umbea huu mtagota wenzenu wanajenga chama wamethutu,wakaweza sasa wanasonga mbele kuwatumikia watanzania.
 
Sababu Za CCM Kufa na wananchi kuanza kuikacha kwa nguvu zao zote ikiwamo kuwashawishi wenine waachane nayo!

1) Kutumia mabavu katika kuiongoza nchi.
2) Mnyama ni bora kuliko binadamu
3) Ahadi zisizotekelezwa wala kutekelezeka.
4) Waongo
5)
 
Ccm haiwezi kufa hata siku moja chadema wauaji na imekufa
 
Kupindisha sheria za nchi na kuwaacha mafisadi mbali mbali wakiendelea kupeta bila kuchukuliwa hatua zozote za kisheria.

1. Rada $42 million
2. Ukwapuaji wa nyumba za Serikali zenye thamani ya zaidi ya shilingi Trillioin 1
3. Meremeta $155 million
6. Kagoda
7. Richmond/Dowans $100 million
8. Escrow $112 million
9. Vitambulisho vya Taifa shilingi 300 billion
10. Mabilioni ya Uswiss $329 million
11. Mikataba ya uchimbaji gas/madini isiyo na maslahi
12. Misamaha ya kodi, kwa mwaka shilingi 1.5 Trillioni n.k.

Sababu Za CCM Kufa na wananchi kuanza kuikacha kwa nguvu zao zote ikiwamo kuwashawishi wenine waachane nayo!

1) Kutumia mabavu katika kuiongoza nchi.
2) Mnyama ni bora kuliko binadamu
3) Ahadi zisizotekelezwa wala kutekelezeka.
4) Waongo
5)
 
Kadri siku zinavykwenda naona dalili zote za CCM kuanguka. Hakuna atakayeweza kuiokoa chama hiki kongwe. Naona anguko hilo litatokea ndani ya miaka kumi na tano (15). Watakaokingusha CCM ni wana CCM wenyewe, si vyama vya upinzani.

Zifuatazo ni dalili ya kuanguka kwa CCM
1. Upendo kati ya wanachama umekwisha, ni ugomvi usiokwisha ( Sitta camp Vs Rostam camp)

2. Fedha ni kipaumbele siyo Sera au hoja.

3. Wasemaji wa chama ni wapayukaji ( makamba, Hiza Tambwe, Sofia simba)

4. Wazee wenye busara wamesusa chama ( Warioba, Salim, Butiku, Sumaye)

5. Familia ya viongozi wamekiteka chama ( Makamba's, JK's, )

6. Kampeni zimebadilika kuwa concert ( wanamuziki kibao)

7. Kununua wapinzani

8. Kukataa midahalo ( mchakato majimboni- TBC)

9. Ahadi nyingi wakati huu wakati za mwaka 2005 hazijatekelezwa ( Mikopo ya wanafunzi maisha bora kwa kila mtz n.k)

10. Chama kujadili issue binafsi zaidi badala ya maslahi ya wananchi.

CCM kwa sasa ina uwoga sana kuliko cha chama chochote hapa nchini. Wanaelewa wanakoelekea.


KEEP DREAMING! It's GOOD FOR YOUR HEALTH!
 
Back
Top Bottom