Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 6,121
- 6,062
It is not a dream, it is real.
KEEP DREAMING! It's GOOD FOR YOUR HEALTH!
It is not a dream, it is real.
Ccm haiwezi kufa hata siku moja chadema wauaji na imekufa
Mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe, mawe yenye ndiyo nyie CDM
Chadema ni janga la dunia
Kadri siku zinavykwenda naona dalili zote za CCM kuanguka. Hakuna atakayeweza kuiokoa chama hiki kongwe. Naona anguko hilo litatokea ndani ya miaka kumi na tano (15). Watakaokingusha CCM ni wana CCM wenyewe, si vyama vya upinzani.
Zifuatazo ni dalili ya kuanguka kwa CCM
1. Upendo kati ya wanachama umekwisha, ni ugomvi usiokwisha ( Sitta camp Vs Rostam camp)
2. Fedha ni kipaumbele siyo Sera au hoja.
3. Wasemaji wa chama ni wapayukaji ( makamba, Hiza Tambwe, Sofia simba)
4. Wazee wenye busara wamesusa chama ( Warioba, Salim, Butiku, Sumaye)
5. Familia ya viongozi wamekiteka chama ( Makamba's, JK's, )
6. Kampeni zimebadilika kuwa concert ( wanamuziki kibao)
7. Kununua wapinzani
8. Kukataa midahalo ( mchakato majimboni- TBC)
9. Ahadi nyingi wakati huu wakati za mwaka 2005 hazijatekelezwa ( Mikopo ya wanafunzi maisha bora kwa kila mtz n.k)
10. Chama kujadili issue binafsi zaidi badala ya maslahi ya wananchi.
CCM kwa sasa ina uwoga sana kuliko cha chama chochote hapa nchini. Wanaelewa wanakoelekea.
Kuna wakati mwingine mtu anaweza kuona ishara ya matukio fulani fulani yanayoashiria mwisho mbaya, pengine hata kifo. Lakini kwa sababu ya nature si rahisi mtu kukubali.
Aliyewahi kuwa raisi wa Marekani John F Kennedy kabla ya kupata ajari ya ndege iliyopelekea kifo chake alishauriwa na mke wake kutosafiri siku hiyo,lakini kwa sababu ya nature alisafiri.
Ipo mifano mingi tu inayoshadidia hilo.
Kinacho onekana ndani ya ccm hivi sasa ni mkwamo wa katiba unao onekana kutofika hatua ya mwisho ya kupigiwa kura na wananchi.
Kuna utaratibu ambao bado usio rasmi unao onekana kutaka kuchukua nafasi ya kwamba kutokana na muda kuwa finyu katiba hii inayojadiliwa haitapigiwa kura na wanachi kwani utaratibu wa kuandaa daftari na vituo litachukua muda mrefu hivyo basi bunge lijalo litaifanyia marekebisho katiba iliyopo ili kuingia nayo kwenye uchaguzi.
Mtawaeleza nini wananchi ambao wapo tayari na wanaisubiri katiba kuipigia kura.Mtawaeleza nini wananchi mapesa yote mliyotumia bila mafanikio .Ccm mnajipalia mkaa .,
Kuna wakati mwingine mtu anaweza kuona ishara ya matukio fulani fulani yanayoashiria mwisho mbaya, pengine hata kifo. Lakini kwa sababu ya nature si rahisi mtu kukubali.
Aliyewahi kuwa raisi wa Marekani John F Kennedy kabla ya kupata ajari ya ndege iliyopelekea kifo chake alishauriwa na mke wake kutosafiri siku hiyo,lakini kwa sababu ya nature alisafiri.
Ipo mifano mingi tu inayoshadidia hilo.
Kinacho onekana ndani ya ccm hivi sasa ni mkwamo wa katiba unao onekana kutofika hatua ya mwisho ya kupigiwa kura na wananchi.
Kuna utaratibu ambao bado usio rasmi unao onekana kutaka kuchukua nafasi ya kwamba kutokana na muda kuwa finyu katiba hii inayojadiliwa haitapigiwa kura na wanachi kwani utaratibu wa kuandaa daftari na vituo litachukua muda mrefu hivyo basi bunge lijalo litaifanyia marekebisho katiba iliyopo ili kuingia nayo kwenye uchaguzi.
Mtawaeleza nini wananchi ambao wapo tayari na wanaisubiri katiba kuipigia kura.Mtawaeleza nini wananchi mapesa yote mliyotumia bila mafanikio .Ccm mnajipalia mkaa .,