Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Wana jamvi utabiri wa kifo cha ccm alio wahi kuutoa mwalimu nyerere unaelekea kukamilika,dalili zote zipo wazi maana laana za wazee waasisi wa ccm akina mzee warioba na butiku zinakwenda kukiangamiza ccm,laana za wasomi waaminiefu na weledi prof kabudi,prof mpangala na dr lwaitama sasa hakuna shaka ccm bye bye! Lakini kubwa zaidi kitakacho imaliza ccm kabisaa ni kiburi na dharau kubwa wanayo ionyesha kwa wananchi kwa kupinga na kuyakataa maoni yetu watanzania hii ni dharau kubwa na kiburi kilicho pitiliza,ni kawaida yao hata mtwara wananchi walidharauliwa na kulazimishwa kukubali wasicho kubali,hakika washauri wa ccm mnakimaliza chama chenu miaka 2 ijayo itabakia ccm,ahsanteni sana nimalizie kwakusema kidumu chama chamapinduzi jibu ni kimetobokaaa!
 
Mikutano yao bila kusomba watu na kuwapa pesa tshirt kofia kanga wali hakuna waudhuriaji
 
Endelea kujidanganya mpaka uzee utakukuta ccm inatumikia watu kwakuwa bado watanzania bado tunaihitaji.
 
Huyu babu kapmbana na ccm mpaka kazeeka bado ipo inatawala na kuwatumikia watu vema bado wewe utachina na kuicha ccm.
 
Wana jamvi utabiri wa kifo cha ccm alio wahi kuutoa mwalimu nyerere unaelekea kukamilika,dalili zote zipo wazi maana laana za wazee waasisi wa ccm akina mzee warioba na butiku zinakwenda kukiangamiza ccm,laana za wasomi waaminiefu na weledi prof kabudi,prof mpangala na dr lwaitama sasa hakuna shaka ccm bye bye! Lakini kubwa zaidi kitakacho imaliza ccm kabisaa ni kiburi na dharau kubwa wanayo ionyesha kwa wananchi kwa kupinga na kuyakataa maoni yetu watanzania hii ni dharau kubwa na kiburi kilicho pitiliza,ni kawaida yao hata mtwara wananchi walidharauliwa na kulazimishwa kukubali wasicho kubali,hakika washauri wa ccm mnakimaliza chama chenu miaka 2 ijayo itabakia ccm,ahsanteni sana nimalizie kwakusema kidumu chama chamapinduzi jibu ni kimetobokaaa!

niseme zitto alitaka kuwachanganya na kutucheleweshea muda wa ukombozi .......i see the light shine bright udasa,Kitila na ccm mlipanga ile uchafu pale mlimani itawagharimu
 
Mkuu CCM imegeuka Agent wa USA... Wako busy kutekeleza sera na mikakati ya watu wa Marekani na kusahau kuwa Wanawafanyia dhulma maelfu kwa mamilioni ya Watanzania... Kiburi cha kuhakikishiwa System ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi, kiburi cha kuwezeshwa fedha za Ufisadi kuwarubuni viongozi wa vyombo vya dola vimewatia upofu wa kuto kuona mbele... Hawajali hawasikii ... wananchi wanaonekana ni wapuuzi tu ndani ya ardhi yao... wao wako na nchi marafiki zao... proud kuruhusu ukwapuaji wa rasilimali zetu...
Wana jamvi utabiri wa kifo cha ccm alio wahi kuutoa mwalimu nyerere unaelekea kukamilika,dalili zote zipo wazi maana laana za wazee waasisi wa ccm akina mzee warioba na butiku zinakwenda kukiangamiza ccm,laana za wasomi waaminiefu na weledi prof kabudi,prof mpangala na dr lwaitama sasa hakuna shaka ccm bye bye! Lakini kubwa zaidi kitakacho imaliza ccm kabisaa ni kiburi na dharau kubwa wanayo ionyesha kwa wananchi kwa kupinga na kuyakataa maoni yetu watanzania hii ni dharau kubwa na kiburi kilicho pitiliza,ni kawaida yao hata mtwara wananchi walidharauliwa na kulazimishwa kukubali wasicho kubali,hakika washauri wa ccm mnakimaliza chama chenu miaka 2 ijayo itabakia ccm,ahsanteni sana nimalizie kwakusema kidumu chama chamapinduzi jibu ni kimetobokaaa!
 
Kuuita huu ni unabii si sawa bali haya ndo matokeo tayari. Kweli ccm ni mafundi sana wa kuiba kura na ndo maana wanataka UKAWA waende BMK ili wao waje kuiba kura za uamuzi wa wananchi waseme wananchi wamekubali hoja za ccm. Lakini, kwa hili la sasa, tayari wamejimaliza kabisa kabisa.
Ambaye aliyekosa mdahalo wa leo nakuwasikiliza wale wazee "Wanaongojea kufa" basi wamekosa ufahamu wa kipekee kuhusu hujuma ya mchakato huu wa katiba mpya. Poleni sana wazee mnaongoje kufa. Hata mkifa leo, basi kazi tuliyo watuma, mnastahili pongezi. Mlifanya kazi nzuri japo wale "Wapumbavu" waliojaa kibri na kujiamini kupita kiasi hawajawasikia. CCM bye bye... Labda msitishe huu mchakato kwa kulivunja BMK
 
For what I know about Tanzanians sidhani kama itawezekana kuiondoa CCM madarakani 2015. Ninachokiona ni kupata wabunge wengi wa upinzani lakini urais utabaki kuwa chini ya CCM hadi wtz watakapokuwa kuacha kudanganywa na vitu vidogo vidogo kama vile t-shirt, khanga, na vijisenti vidogo vidogo.
 
Anguko la ccmu wakati wake bado kwa sababu tatanzani wengi bado wazongwa na lindi la ujinga na umasikini mambo ambayo ni adui wa demokarasia. Ujinga bado ni mwingi kwelikweli katika jamii watanzani tena wajinga wengi wapo mjini , vijijini kwa sasa wanaelewa ndio maana unaona wanapigani migodi yao , malisho yao , aridhi yao .tofauti na mjini hasa dsm wajiga wengi muno ,pamoja vyuo na shule lukuki zilizo jazana hapo.
 
Naomba wazee msimuache mh. Kikwete pamoja na mapungufu yote hayo mvumilieni ndio wenyewe mlimpigia debe na mkamchagua pamoja na kumpa madaraka (mtoto umleavyo ndivya akuavyo aambiliki ni mwanao poleni!!!
 
For what I know about Tanzanians sidhani kama itawezekana kuiondoa CCM madarakani 2015. Ninachokiona ni kupata wabunge wengi wa upinzani lakini urais utabaki kuwa chini ya CCM hadi wtz watakapokuwa kuacha kudanganywa na vitu vidogo vidogo kama vile t-shirt, khanga, na vijisenti vidogo vidogo.


Tatizo sio kuiondoa tatizo ni nani m-badala wa kutuongoza.

vyama vingine ni ukakasi mtupu.
 
Anguko la ccm alaf nan achukue nchi? Mbona mnaleta mada very blind kias hiki. Ungetuambia baada ya anguko la huyu ccm nani anachukua nchi ili tuelewe logic yako. Chadema ndo ile kwenye chaguz ndogo tu ilipigwa chini na ccm for than 90%,cuf ndo usiseme,alaf anguko la ccm,unamdanganya nan? Tusiwape moyo upinzan huku wanaangamia. Hatuwatendei haki. Sasa hv kuna ukawa,lkn isipoangalia(katiba ikikoseka na ikiaminika tatizo ni wao) wataangamia. Nando mana Kitila mkumbo mguu mmoja ndani mwingine nje. Hakuna upinzani tz,wajipange upya
 
Fedha kitu kibaya sana, inaweza kuwatenganisha watu mara moja na kuwaunganisha watu mda mfupi.

Hili bunge la katiba ndio linaenda kuhitimisha uwepo wa ccm, kwa sababu wananchi sasa wanasubiri kwa hamu mgao wa kile wanachopata bungeni kwa mwaka 2015 ili na wao wale ili waishiane kwa usalama.

Hakuna asiyejua kiasi cha fedha wanachopata wabunge hao huku kila mtanzania kwa nafasi yake akijiuliza maswali mengi yanayokosa majibu sasa lakini yanaweza kupatiwa majibu 2015.

Walimu wanajiuliza , madai yao wanapodai wanaambiwa serikali haina fedha ili hali wakiona matumizi makubwa sasa.Wakulima wakiomba kuongezewa bei ya mazao yao hata kwa sh.50 kwa kilo moja ya mahindi wanaambiwa serikali haina fedha.wafanyabiashara nao hali kadharika.

Wananchi wa kawaida wanajiuliza hata wakati wa kujadili katiba ya 1977 nyerere alitumia fedha nyingi hivyo.Maswali yote hayo majibu yake yapo mioyoni mwa watanzania.

Hata Mungu kupitia vitabu vitakatifu anawaagiza watu kujitenga na uovu,heri yenu UKAWA Mungu atawalipa 2015
 
Fedha kitu kibaya sana, inaweza kuwatenganisha watu mara moja na kuwaunganisha watu mda mfupi.

Hili bunge la katiba ndio linaenda kuhitimisha uwepo wa ccm, kwa sababu wananchi sasa wanasubiri kwa hamu mgao wa kile wanachopata bungeni kwa mwaka 2015 ili na wao wale ili waishiane kwa usalama.

Hakuna asiyejua kiasi cha fedha wanachopata wabunge hao huku kila mtanzania kwa nafasi yake akijiuliza maswali mengi yanayokosa majibu sasa lakini yanaweza kupatiwa majibu 2015.

Walimu wanajiuliza , madai yao wanapodai wanaambiwa serikali haina fedha ili hali wakiona matumizi makubwa sasa.Wakulima wakiomba kuongezewa bei ya mazao yao hata kwa sh.50 kwa kilo moja ya mahindi wanaambiwa serikali haina fedha.wafanyabiashara nao hali kadharika.

Wananchi wa kawaida wanajiuliza hata wakati wa kujadili katiba ya 1977 nyerere alitumia fedha nyingi hivyo.Maswali yote hayo majibu yake yapo mioyoni mwa watanzania.

Hata Mungu kupitia vitabu vitakatifu anawaagiza watu kujitenga na uovu,heri yenu UKAWA Mungu atawalipa 2015

Tatizo lenu CHADEMA mnafikiri mngekuwemo bungeni pesa zisingepotea
 
Back
Top Bottom