Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wana jamvi utabiri wa kifo cha ccm alio wahi kuutoa mwalimu nyerere unaelekea kukamilika,dalili zote zipo wazi maana laana za wazee waasisi wa ccm akina mzee warioba na butiku zinakwenda kukiangamiza ccm,laana za wasomi waaminiefu na weledi prof kabudi,prof mpangala na dr lwaitama sasa hakuna shaka ccm bye bye! Lakini kubwa zaidi kitakacho imaliza ccm kabisaa ni kiburi na dharau kubwa wanayo ionyesha kwa wananchi kwa kupinga na kuyakataa maoni yetu watanzania hii ni dharau kubwa na kiburi kilicho pitiliza,ni kawaida yao hata mtwara wananchi walidharauliwa na kulazimishwa kukubali wasicho kubali,hakika washauri wa ccm mnakimaliza chama chenu miaka 2 ijayo itabakia ccm,ahsanteni sana nimalizie kwakusema kidumu chama chamapinduzi jibu ni kimetobokaaa!