Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Yote ni mawazo feki kama ccm ikianguka unafikiri nani aliyekamili ataongoza taifa hili. CDm ni saccos hujui? Mbulula we yaani hata Leo najua we ni mshika pembe tu
sema unapatwa na kiwewe maana unapatia kitumbua chako ccm.lakini sasa utafanyaje kupingana na upepo?
 
Bado hakuna chama chenye ubavu wa kuiondoa ccm;
.............kama haukubali kitaje.
 
kama CDM ni saccos mbona mnahangaika usiku na mchani kuizulia mambo ya kipuuzi? Wapuuzi kweli nyie!
Wakati tunajiandaa kufanya mabadiliko tukumbuke ccm ni chama chenye nguvu kubwa sana kiuchumi na ndio kimeshika dola kiongozi mjinga mmoja naweza kitumia cheo chake kuharibu democrasia pamoja na ukweli kwamba wananchi hawana imani tena na ccm kazi iliyo baki nikuhamasisha vijana kujiandikisha kwenye daftali la mpiga kura pamoja na kutumia nguvu pale palipo na udhalimu maana baadhi ya vingozi watumia vibaya madara
 
jamani mabadiliko siyo lazima yatoke nje ya CCM, kuna viongozi ndani ya CCM ambao wanauwezo wa kufanya kazi vizuri kwa maslahi ya taifa....ni wazoefu na waadilifu....Tatizo lenu mnafikiri kuwa mabadiliko lazima yaje na vyama vya kitapeli na kidikteta......ndani ya CCM kuna majembe hata wewe WILLYAFRIKA unajua na hapa unazuga tu......
 
jamani mabadiliko siyo lazima yatoke nje ya ccm, kuna viongozi ndani ya ccm ambao wanauwezo wa kufanya kazi vizuri kwa maslahi ya taifa....ni wazoefu na waadilifu....tatizo lenu mnafikiri kuwa mabadiliko lazima yaje na vyama vya kitapeli na kidikteta......ndani ya ccm kuna majembe hata wewe willyafrika unajua na hapa unazuga tu......

ndani ya c.c.yem mtu analazimishwa na mfumo hivyo akijifanya anataka kwenda kinyume wakotayari kummaliza kwa njia yoyote ile ili malengo yao yaendelee kutimia hatakama ni ya kidhalimu.
Wakati ndani ya chama chenye mpango wa mungu chadema ni mfumo wa nguvu ya umma.
 
ndani ya c.c.yem mtu analazimishwa na mfumo hivyo akijifanya anataka kwenda kinyume wakotayari kummaliza kwa njia yoyote ile ili malengo yao yaendelee kutimia hatakama ni ya kidhalimu.
Wakati ndani ya chama chenye mpango wa mungu chadema ni mfumo wa nguvu ya umma.


Utaota sana mpaka mauti yakufike
 
Kwaiyo wewe UCHAGA,UDINI NA UKABILA huoni kabisa kama ni ANGUKO LA CHADEMA??
 
Yote ni mawazo feki kama ccm ikianguka unafikiri nani aliyekamili ataongoza taifa hili. CDm ni saccos hujui? Mbulula we yaani hata Leo najua we ni mshika pembe tu

Kukata mauno sikuhiz kuna madhara punguza kakayangu
 
Ukimaliza kufanya hiyo "tathmini" yako kisha malizia kwa kuangalia matokeo mbali mbali ya chaguzi ndogo ndio yatakupa picha halisi ya nani anakubalika zaidi
 
jamani mabadiliko siyo lazima yatoke nje ya CCM, kuna viongozi ndani ya CCM ambao wanauwezo wa kufanya kazi vizuri kwa maslahi ya taifa....ni wazoefu na waadilifu....Tatizo lenu mnafikiri kuwa mabadiliko lazima yaje na vyama vya kitapeli na kidikteta......ndani ya CCM kuna majembe hata wewe WILLYAFRIKA unajua na hapa unazuga tu......

Binafsi sina maana kuwa ndani ya ccm hakuna viongozi wazuri wapo na wanauchungu sana na udharimu unaofanywa na baadhi ya wa ccm mimi ni mwanachama wa ccm lalini uzalendo unataka kunishida kwa nimeshudia mambo mabaya sana jimbo la arumeru arusha na sasa karenga iringa mmmmmmm bora nifanya kampeni za chinichini kuing'oa ccm
 
Nimeangalia jina lako mleta mada kwanza. Nmeona ni wewe nkajua hakuna kitu umeweka ma...i tu hapa hapa jamvini.....
 
Simple mind discus people while strong mind usually discus issues, nadhani na wewe ungejikita kwenye kukosoa maada na sio mtu, kumwita mtu mbulula au mshika pembe, hayana uhusiano wowote wa maada husika!
Yote ni mawazo feki kama ccm ikianguka unafikiri nani aliyekamili ataongoza taifa hili. CDm ni saccos hujui? Mbulula we yaani hata Leo najua we ni mshika pembe tu
 
Ccm idumu milele na milele, hatutaki haya makundi ya kihuni huni, ya magaidi, ya wanywa gongo, ya wazinzi na wapora wake za watu

Acha maneno machafu ndugu yangu na wewe tena siamini.Mimi nashauri ccm wakubari kura iwe siri kama ilivyozoeleka.
 
Kuna kundi kubwa mno la watanzania ambao huwa hawapigagi kura - kundi hili linakadiriwa kuwa na watanzania karibia 20million.

Uchaguzi wa mwaka 2010 ni watanzania 40% tu ndiyo walijitokeza kupiga kura na wengine 60% wakiona hakuna jipya ni bora waendelee na kazi zao za kusaka mlo wa siku badala ya kupanga foleni kuchagua mtu ajiyejichagua tayari.

Sasa kundi hili la 60% kama kweli likiamua kuki-support chama chochote cha upinzani basi watanzania tegemeeni mabadiliko makubwa sana 2015 ya uongozi wa nchi yetu.
 
Ccm iko kipindi cha lala salama
Migongano ya ndani kwa ndani
uchaguzi mkuu kiti cha urais 2015
hatima ya muungano
Katiba mpya katiba ya Zanzibar na katiba ya muungano
Urais wa zamu
kushindwa kutekeleza ahadi
Ufisadi
kulindana
mparaganyiko wa system
Kila baya kuhusishwa na ccm
undumilakuwili ,uchoyo ulozi na ukuwadi
rushwa kila mahali
kushindwa kukemea kwa haki na kuchukua maamuzi magumu kwa maslahi ya Taifa
Ongezeko kubwa na la kasi la kuchukiwa na wananchi
Kama mimi niliichukia ccm tangu1984 je ni wangapi mpaka leo hii wameungana nami katika kuichukia ?hakika anguko kuu linakuja na ccm itabaki kwenye makabati ya kumbukumbu kama kanu
 
Back
Top Bottom