Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,477
Mimi sielewi kwa nini watu hawaoni hata kilicho mbele yao.R.I.P chama cha mafisadi
Hivi kigezo chenu ni kipi? mkiangalia baadhi ya michango yangu kabla ya uchaguzi uliopita niliwaambia hamkunielewa sana sana ni kukashifu sana maan wengi wa vijana waliomo humu wana phd ya kukashifu.
Uchaguzi wa serikali za mitaa ambao umeisha hivi karibuni upinzani umepata asilimia ngapi?
Cha msingi hapa kuweni realistic mtambue udhaifu wa vyama vyenu na mjenge mikakati thabiti ya kujiuza kwa wenye nchi bila ya hivyo mtaishia kutukana tu na mwandawazimu akimtukana mwenye akili timamu hutabasamu ni kuelea na hamsini zake maana anafahamu huyo kiumbe mwenzake ni punguani.