Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

wamwagie tindikali au walishe sumu kama kawaida yenu ......(wasiliana na henry kileo katibu wa chadema mkoa wa kinondoni akupe tindikali na lwakatare, mkurugenzi wa ulinzi na usalama chadema taifa akupe sumu)

Pity ..!huu ndio mwisho wako wa kufikiri
 
wamwagie tindikali au walishe sumu kama kawaida yenu ......(wasiliana na henry kileo katibu wa chadema mkoa wa kinondoni akupe tindikali na lwakatare, mkurugenzi wa ulinzi na usalama chadema taifa akupe sumu)
Chadema hawana silaha kali zaidi nikiwaomba nyie SisiM na Polsisi.M mtanipa hata Prime over na vifaru kuweaondoa wanaokataa msile!
 
Ikiwa ni muda mrefu umepita,tokea watanzania tupate uhuru, tukiwa chini ya utawala wa TANU, hatimaye CCM bado mabadiliko makubwa hayajafanyika kuonesha malengo ya kulipatia taifa letu maendeleo. Awamu ya kwanza ilianza vyema, lakini mawazo ya Mwalimu JK Nyerere yalipoanza kukiukwa katika awamu ya pili, ya tatu na hatimaye ya nne ndio sasa watanzania tunaona tuko katika jehanamu iliyojaa chuki,njama,ufisadi, na umaskini uliokithiri.

Ni ukweli usiofichika CCCM na uongozi wake wote imeshindwa kutatua matatizo yanayotukabili, na niseme imekuwa ikituongezea tabu kila kukicha. Nianze na MGOMO WA MADAKTARI, AJALI ZA ZANZIBAR, SUALA LA MUUNGANO,KILIMO n.k vyote vinatabiri kifo cha CCM, kwa kuzingatia kuongezeka kwa machafuko nchini.

Watanzania walio wengi wenye akili timamu na hekima nadhani tayari wameshajiandaa kufanya mabadiliko makubwa 2015 ,na namini itakuwa ndio mwisho wa utawala wa kidhalimuna dhaifu wa CCM!

NA HICHO NDICHO KIFO CHA CCM 2015!

-------------------------------

Ndoto za alinachaa.....
 
CCM IKIFA NI NANI ATAKAYEMRITHI?????
maana warithi wote wako mahututi na watakufa kabla ya CCM yenyewe.
Penda kutofautisha kati ya !like unachokitamani na like kilicho cha KWELI!""""
 
Lazima ccm wachinjiwe baharini. Ongeeni chopa 3 na mengine yote ila mboreshe daftari la mpiga kura tu. MMEKWISHA!!!!

Hivi Kule arusha na kigoma daftari LA wapiga kura lilirekebishwa????
Acheni utoto nyie. Mkishindwa mnakimbilia kwenye visingizio.
What I hear from you is an agony of a man nearing his death.
But don't worry chadema we have already prepared for a coffins.
 
Walipata kusema unaweza kudanganya watu fulani kwa muda fulani; lakini huwezi kudanganya watu wote kwa muda wote. ccm kubali yaishe munaumbuka mwanangu! kwishane!
 
Wakati wananchi wengi wakiwa bado wanatafakari kwa miaka minane sasa kaulimbiu ya ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya, ndio kwanza mazingaombwe ya maisha bora kwa kila mtanzania yanazidi kufunikwa na tongotongo za ufukara. Wananchi wengi wameishia kudhani kuwa umaskini ni jadi yao. Je ni lini CCM mtawaonea huruma wananchi na kuwapa maisha bora kama mliyo waahidi? Ndio kusema kwamba mmepoteza mishipa yote hadi mshipa wa aibu?

gz4.jpg
 
Du! Huko ni Chalinze? Kweli ujinga ni mtaji. Hapo utakuta walipewa chumvi na kanga na kuamua kuuza utu wao!
 
Hayo ndio maisha waliyoyazoea Watanzania waacheni tu maana wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe
 
Wakati wananchi wengi wakiwa bado wanatafakari kwa miaka minane sasa kaulimbiu ya ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya, ndio kwanza mazingaombwe ya maisha bora kwa kila mtanzania yanazidi kufunikwa na tongotongo za ufukara. Wananchi wengi wameishia kudhani kuwa umaskini ni jadi yao. Je ni lini CCM mtawaonea huruma wananchi na kuwapa maisha bora kama mliyo waahidi? Ndio kusema kwamba mmepoteza mishipa yote hadi mshipa wa aibu?

gz4.jpg

maskini wana "bwagamoyo".sijui walikuwa wanadanganywa nini hapo.ni huzuni.
 
Eti nasikia ni jimbo analotoka rahis wa jamhuri? Wananchi wa chalinze wamelala usingizi wa pono! Waache wale jeuri yao kwa ujinga wao.
 
vitisho vinarudiwa.kulia kunarudiwa.uongo unarudiwa.vilaza wanajirudia.

chama kinafika mwisho...
 
Chama hiki kimepoteza mvuto kabisa maana kila walichojaribu kufanya hakijafanikiwa na hakuna uwezekano wa kufanikiwa na kufananishwa na jahazi linalozama taratibu, na madereva wa jahazi hilo wanajaribu kuliokoa lakini na wenyewe wamezidiwa.


Kila kukicha ni afadhali jana kwa CCM , ajabu wanaukana ukweli. Walizoea kukusanya watu na kuandamana ili watoe kafara chama kizidi kuimarika. Wamefika mwisho! Yafaa CCM kufutwa na kushitakiwa kwa uhaini, mauaji, na kila aina ya uovu walioufanya kwa binadamu.


Viongozi wake wa ngazi za juu ni kama ama wanatafuta namna ya kuingia MITINI maana wanaiona hali halisi. Siyo matembezi ya mshikamano, siyo rushwa, kwishney! Kikwete ,Kinana, Nnape, kila mmoja anayo kesi ya kujibu.

huu ni Uzi wa Karne hivyo mods , uacheni udumu hapa .......
 
Chama hiki kimepoteza mvuto kabisa maana kila walichojaribu kufanya hakijafanikiwa na hakuna uwezekano wa kufanikiwa na kufananishwa na jahazi linalozama taratibu, na madereva wa jahazi hilo wanajaribu kuliokoa lakini na wenyewe wamezidiwa.


Kila kukicha ni afadhali jana kwa CCM , ajabu wanaukana ukweli. Walizoea kukusanya watu na kuandamana ili watoe kafara chama kizidi kuimarika. Wamefika mwisho! Yafaa CCM kufutwa na kushitakiwa kwa uhaini, mauaji, na kila aina ya uovu walioufanya kwa binadamu.


Viongozi wake wa ngazi za juu ni kama ama wanatafuta namna ya kuingia MITINI maana wanaiona hali halisi. Siyo matembezi ya mshikamano, siyo rushwa, kwishney! Kikwete ,Kinana, Nnape, kila mmoja anayo kesi ya kujibu.

huu ni Uzi wa Karne hivyo mods , uacheni udumu hapa .......

Sina hakika kama unajua unachokisema. Unaelewa nn maana ya kufa kwa chama? Labda nikusaidie tu kuwa kufa kwa chama ni kitendo cha chama kupoteza mwelekeo na wanachama kukikimbia chama chao. Sasa fanya uchunguz ni chama gani kila siku tunapata ripoti wanachama wake wanakihama hadi viongozi. Pia angalia wanahamia wapi? Halafu pia jaribu kupitia matokeo ya chaguzi mbalimbali nchini angalia uwiano kati ya walioshinda na walioshindwa. Baada ya hapo rudi kaandike upya thread yako.
 
Wana jamvi nimejaribu kutafiti kifupi na kugundua kuwa ccm imezunguukwa na maadui wengi sana hivyo hakuna kitacho ifanya ccm mwakani kisife rasmi;maadui wake wapo wa aina 2; mosi washauri wake wa ndani wanaishauri vibaya mpaka wanakataa maoni ya wananchi ya rasimu kwa maana wanapingana na waajiri wake,hivyo kwanini kisife;pili maadui mtambuka ni wale watendaji walio ajiriwa na serikali ya ccm kutofanya kazi zao vyema za kuhudumia umma na kutenda haki,hii ni pamoja na upotevu wa mali za umma na ufisadi hivyo wananchi wamepatwa na ufahamu kuwa kuna haja ya kufanya maamuzi mapya maana kila kona ni malalamiko ya makundi ya raia kutokana na kukosa maisha bora waliyo ahidiwa tangu mwaka 2005 hadi sasa,kundi kubwa la vijana kukosa ajira rasmi hivyo kubakia hohe hahe;MABILIONI YA JK KWA AJIRI YA MIKOPO BADO UTATA MPAKA LEO,WAKULIMA NA WAFUGAJI HAKUJA TULIA MPAKA LEO MAENEO MENGI
 
Kuna mzee alisema CCM lazima itakufa kabla 2015 amefariki juzi! Watch out sister...!
 
Back
Top Bottom