Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

Ccm sio chama cha wakulima na wafanyakazi, bali ni genge la wahujumu maslahi ya wa watanganyika na watanzania! Cheki kwenye kuelekea kupata katiba mpya ccm imekuwa kikwazo!
Ccm ndio baba wa amani na mshikamano wetu, hatuwezi kubali kuongozwa na magaidi ya chadema, ht iweje
 
5. Kuna wengi wanaoutaka urais kupitia kwao, hawatapaacha salama wasipopitishwa. 6. Katiba mpya na muumdo utakaotokana nayo utaiacha ccm hoi.
Mnajifanganya kweli, ndio nyie mliokuwa mnadhani katiba mpya itawaingiza madarakani. Wafu mna tabu sana. Ccm ni moja daima
 
Ccm idumu milele na milele, hatutaki haya makundi ya kihuni huni, ya magaidi, ya wanywa gongo, ya wazinzi na wapora wake za watu
 
yaanai wewe hata muda wa kufikiri nadhani huna kutokana na mhemko. hivi unadhani chama mbadala ni CDM tu?? mwaka huu lazima CDM iwape pressure. mbona kuna CUF na NCCR mpaka ACT wapo lakini unakomaa na CDM tu? tulia ila mabadiliko lazima yawepo hata kama sio 2015.
Mabadliko yapo ndani ya ccm yaani utawala huu ukimaliza unakuja mwingine unaotokana na chama kubwa ccm
 
5. Kuna wengi wanaoutaka urais kupitia kwao, hawatapaacha salama wasipopitishwa. 6. Katiba mpya na muumdo utakaotokana nayo utaiacha ccm hoi.

asante kwa nyongeza!
'c.c.yem ni chama cha' mashetwani
 
Mabadliko yapo ndani ya ccm yaani utawala huu ukimaliza unakuja mwingine unaotokana na chama kubwa ccm

Kwlei alie vimbewa hamjui mwenye njaa! Lakini yana mwisho haya,hata wakoloni kuna siku walifungasha virago.
 
yote ni mawazo feki kama ccm ikianguka unafikiri nani aliyekamili ataongoza taifa hili. Cdm ni saccos hujui? Mbulula we yaani hata leo najua we ni mshika pembe tu

unapotoa mawazo yako usilazimishwe na akili za kichama lenga ukweli usio na chembe ya ukerketwa wa ki c.c.m.
Nchi hii itaongozwa na chadema tu toka 2015.
 
ni mchungu kwa wnaccm wachumia tumbo na mambulula, itabidi waukubali tu, maana huwezi kushindana na upepo wa mabadiliko, ccm wanaojitambua hawana shida, hili wanalielewa, ndio maana mweyekiti wao taifa, aliwaambia wajindae kisaikolojia, tunataka kuking'oa chama kinachokumbatia mafisadi wakiongozwa na lowasa anayeutafuta urais kwa nguvu, ccm safari imeiva, mtake msitake, tumeamua iwe hivyo.

kula 'like' mkuu!
'chadema ni mpango wa allah'
 
yaanai wewe hata muda wa kufikiri nadhani huna kutokana na mhemko. Hivi unadhani chama mbadala ni cdm tu?? Mwaka huu lazima cdm iwape pressure. Mbona kuna cuf na nccr mpaka act wapo lakini unakomaa na cdm tu? Tulia ila mabadiliko lazima yawepo hata kama sio 2015.

hii ni zaidi ya mabadiliko ya karne kwani ukifika vijijini c.c.m haikubaliki hata chembe.
Wamebaki wazee wa enzi za tanu tu,na wao wandhani wanaenda kumchagua nyerere kumbe wana tuchagulia wahujumu uchumi.
 
mleta mada amevurugwa asbh asbh

hulka yako na matendo yako yatatiliwa mashaka vizazi na vizazi ,vilivyopo na vijavyo.
Sijawahi ona hata siku moja uchangie hoja za msingi na zenye mashiko kwenye jukwaa!
 
ccm idumu milele na milele, hatutaki haya makundi ya kihuni huni, ya magaidi, ya wanywa gongo, ya wazinzi na wapora wake za watu

unajifariji kijana chadema ni mpango wa allah kila aupingaye na alaaniwe!
 
Yote ni mawazo feki kama ccm ikianguka unafikiri nani aliyekamili ataongoza taifa hili. CDm ni saccos hujui? Mbulula we yaani hata Leo najua we ni mshika pembe tu
kama CDM ni saccos mbona mnahangaika usiku na mchani kuizulia mambo ya kipuuzi? Wapuuzi kweli nyie!
 
unapotoa mawazo yako usilazimishwe na akili za kichama lenga ukweli usio na chembe ya ukerketwa wa ki c.c.m.
Nchi hii itaongozwa na chadema tu toka 2015.
Khaa!! Pole sana. Akili za kina Lema na Sugu si za kuongoza nchi. Ni za kuongoza magenge yao.
 
Huu ndio ukweli usio pingika kuwa hizi ni saa za mwisho za chama cha mapinduzi kuwepo madarakani, na sababu zake ni kama zifuatazo. 1.wamekiuka miiko ya chama iliyo achwa na waasisi wa taifa hili ,j.k.nyerere ,r.m kawawa,j.s.walioba,na wengineo . Chama siyo cha mkulima na mfanyakazi,bali ni cha mabwanyenye na wala rushwa wakubwa mfano:epa,green dip,mikataba ya iptl ,rada,richmond,merermeta na mengineyo mengi tu! 2.watanzania wameichoka c.c.m mfano ni kwenye mikutano na maadhimisho mbalimbali bila kuweka kivutio kama vyakula ,vinywaji na kuwapatia watu usafiri hiyo sherehe au maadhimisho yatahudhuriwa na watu wachache sana tofauti na miaka ya 80,90 na mwanzo wa 2000 -2005 hivi watu walikuwa wanajaa sana. 3.ongezeko la vijana wengi wenye uelewa na wasiodanganyika ambao wana maliza shule za sekondari za kata na nyinginezo kwa wingi. Hawa vijana wanaushawishi mkubwa kwa jamii na hawadanganyiki kirahisi ,kinachotakiwa ni kuwaelmisha ili wajiandikishe kwenye daftari kwa kila m. wewe umesahau msemo wa "chenga twawala lakini kufungwa twafungwa" wananchi wanapigia kura ccm.
 
Toeni ujinga huu,mmefanya research gani mpaka mseme ccm itaanguka,ccm wamepata kata 23 kati ya 27 mwezi uliopita,ccm inakubarika visiwan kwa aslimia 90 cuf asilimia 8 na cdm 0.6% lindi ,mtwara ccm inaongoza kwa asilimia 80 sasa ccm itaanguka kivip,na chama gan kitaishinda ccm sio mnaropoka tu bila kufanya extensive research.
 
Ccm ndio baba wa amani na mshikamano wetu, hatuwezi kubali kuongozwa na magaidi ya chadema, ht iweje

Hiyo amani iko wapi watu hawana haki na faida za rasilimali zao.Madini yanachimbwa kila kukicha jamiii zinazozunguka machimbo mrahaba wa huduma za jamii hawapati? Watu wanashinda mlo mmoja kwa siku? Nadhani kunashida ujaiona, kasome "Pedagogy of the oppressed by Paul Freire".:help:
 
Ccm idumu milele na milele, hatutaki haya makundi ya kihuni huni, ya magaidi, ya wanywa gongo, ya wazinzi na wapora wake za watu

unaropoka bure,sred nzima imejaa uharo wako tu! buk 7 zitakuwehusha msukule wewe!!! Jitambue!!
 
Back
Top Bottom