Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
hiyo picha sijaipenda hata
umeielewa lakini??
hiyo picha sijaipenda hata
aaah ile picha yangu? niliambiwa inaleta vishawishi....
aaah ile picha yangu? niliambiwa inaleta vishawishi....
ayaaa! Ile prof pic ni ww? Aisee hebu ni pm namba yako sasa hivi nianze mchakato wa uchaguz wa lugha CRDB sasa hvi
Habari zenu wana MMU hope wengi wenu wazima!
Mwenzenu nina jambo linaloniumiza kichwa sana!
Nina rafiki yangu ambaye tulikwazana muda kidogo uliopita ambapo hadi sasa hakuna anayemsalimia mwenzie!
Huyo rafiki yangu ana mpenzie ambaye juzi ya jumatatu nimepishana naye gesti akitoka na mtu ambaye ninamfaham kuwa ni mwathirika wa HIV (ninamfahamu huyo mtu coz ni jirani yangu wa karibu sana) sasa nahitaji kumtahadharisha huyu rafik yangu niliyegombana naye ila sijui hata pakuanzia sababu hatuelewani hata chembe,
Nipeni ushauri sababu hilo jambo ni zito kwangu,
Mbona easy tu. Mtumie sms kwenye simu yake, mwambie jinsi gani unavyoumia na kutoelewana kwenu. Mkumbushe mlivyokuwa zamani na mambo mazuri mliyokwisha fanya pamoja. Mkumbushe hata magumu mliyokwisha yapitia na mwambie in fact ni kwamba duniani tunapita tu. Mwambie ni kheri zimwi likujualo kuliko au ni kheri shetani unayemjua kuliko malaika usiyemfahamu na mambo mengine kama hayo. Na mwisho mwambie pamoja na kuwa uhusiano wenu si mzuri lkn hawezi kukaa kimya akimwona Rafiki yake kipenzi akiumia asifanye kitu. Mwambie urafiki wenu unaweza kuisha leo ukafufuka kesho kwani kuna kitu kimewaunganisha ambacho ww binafsi hakijui. Mwambie openly kuwa kuna kitu kinaendelea kati ya shemeji yako ambaye ni mke au demu wake huyo jamaa na...... mtaje wazi huyo jamaa. Nasema mtaje kwa sababu kwa namna moja ama nyingine na yeye alishasikia habari zake na itamsaidia azipe umuhimu mkubwa taarifa zako. Mwambie huyo mtu taarifa zake si nzuri sana mitaa ya kwenu. Mhakikishie kuwa huna nia mbaya na shemeji yako lkn ni vyema ukatimiza wajibu wako si majungu wala nn. So akuamini asikuamini mwambie si suala lako tena.How???
mwelezeni jinsi ya kufikisha ujumbe
ndo hivo ukiitwa kimbia haraka, next time uwahi utakuta pako wazi...
Habari zenu wana MMU hope wengi wenu wazima!
Mwenzenu nina jambo linaloniumiza kichwa sana!
Nina rafiki yangu ambaye tulikwazana muda kidogo uliopita ambapo hadi sasa hakuna anayemsalimia mwenzie!
Huyo rafiki yangu ana mpenzie ambaye juzi ya jumatatu nimepishana naye gesti akitoka na mtu ambaye ninamfaham kuwa ni mwathirika wa HIV (ninamfahamu huyo mtu coz ni jirani yangu wa karibu sana) sasa nahitaji kumtahadharisha huyu rafik yangu niliyegombana naye ila sijui hata pakuanzia sababu hatuelewani hata chembe,
Nipeni ushauri sababu hilo jambo ni zito kwangu,
Ha ha ha
kilivyonitoka kijasho khaaa
nimeumia kukuta pamefungwa vipi huwezi nitupia dirishani jmn nna usongo mwenzio
ila nimekuthiiiiii
ref avatar yake then..Hata kidogo
aliniazima pesa zangu kiasi kingi kidogo na kuniahidi kuwahi kunirudishia siku, miezi, mwaka ukakatika mtu kimya! nilipojaribu kumkumbusha akanijia juu kuwa biashara yake imeingia hasara kubwa hivyo hafikirii kunirudishia!
nilichoamua ni kumkalia kimya he! akaja tena eti nimemroga coz hajielewi kila anachofanya hafanikiwi,,,,, nikashikwa na hasira sababu alikuja kwa jazba kubwa watu walijaa sana!
nikasema liwalo na liwe kilichofata nadhani unakijua!!!
nime kumiss