Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,515
- 42,646
Huwezi jua anaweza okoa jahazi, bora ajaribu kama wameshaathirika basi
mhhh leo unajadili mada ya UKIMWI!!!!!!!?
Huwezi jua anaweza okoa jahazi, bora ajaribu kama wameshaathirika basi
mi namaliza charge kukuelewesha huelewi..ha ha ha
tyta umepagawa wewe
mi namaliza charge kukuelewesha huelewi..
mhhh leo unajadili mada ya UKIMWI!!!!!!!?
anayeomba ushauri soma avatar yake imeandikwa nn..sasa mi sijaelewa avatar yake imefanya nini we unaniwekea viluwiluwi
hapana sio mada ya ukimwi...hii mada inasema "kicwa kinaniuma nifanyeje mwenzenu"
anayeomba ushauri soma avatar yake imeandikwa nn..
Huko ndani si kajadili yale mambo yenu msiyoyapenda ya kufa kufa?
anayeomba ushauri soma avatar yake imeandikwa nn..
hapana sio mada ya ukimwi...hii mada inasema "kicwa kinaniuma nifanyeje mwenzenu"
kwani nimekataa usishauriwe....just a reminder it is possible you can do it...au ni kosa kufanya hivyo??mkuu! hata profesa wakati mwingine anaomba ushauri na maamuzi utakayoyaona kwako ni sahihi kumbe unaweza ukawa wrong,,,
usijiamini katika kila kitu ila kuwa na "final decission"
Habari zenu wana MMU hope wengi wenu wazima!
Mwenzenu nina jambo linaloniumiza kichwa sana!
Nina rafiki yangu ambaye tulikwazana muda kidogo uliopita ambapo hadi sasa hakuna anayemsalimia mwenzie!
Huyo rafiki yangu ana mpenzie ambaye juzi ya jumatatu nimepishana naye gesti akitoka na mtu ambaye ninamfaham kuwa ni mwathirika wa HIV (ninamfahamu huyo mtu coz ni jirani yangu wa karibu sana) sasa nahitaji kumtahadharisha huyu rafik yangu niliyegombana naye ila sijui hata pakuanzia sababu hatuelewani hata chembe,
Nipeni ushauri sababu hilo jambo ni zito kwangu,
ushauri mzuri vp ndo angekuwa kaka yako ungekubali nimwache yamkute?
Habari zenu wana MMU hope wengi wenu wazima!
Mwenzenu nina jambo linaloniumiza kichwa sana!
Nina rafiki yangu ambaye tulikwazana muda kidogo uliopita ambapo hadi sasa hakuna anayemsalimia mwenzie!
Huyo rafiki yangu ana mpenzie ambaye juzi ya jumatatu nimepishana naye gesti akitoka na mtu ambaye ninamfaham kuwa ni mwathirika wa HIV (ninamfahamu huyo mtu coz ni jirani yangu wa karibu sana) sasa nahitaji kumtahadharisha huyu rafik yangu niliyegombana naye ila sijui hata pakuanzia sababu hatuelewani hata chembe,
Nipeni ushauri sababu hilo jambo ni zito kwangu,
Habari zenu wana MMU hope wengi wenu wazima!
Mwenzenu nina jambo linaloniumiza kichwa sana!
Nina rafiki yangu ambaye tulikwazana muda kidogo uliopita ambapo hadi sasa hakuna anayemsalimia mwenzie!
Huyo rafiki yangu ana mpenzie ambaye juzi ya jumatatu nimepishana naye gesti akitoka na mtu ambaye ninamfaham kuwa ni mwathirika wa HIV (ninamfahamu huyo mtu coz ni jirani yangu wa karibu sana) sasa nahitaji kumtahadharisha huyu rafik yangu niliyegombana naye ila sijui hata pakuanzia sababu hatuelewani hata chembe,
Nipeni ushauri sababu hilo jambo ni zito kwangu,