Halafu kumbe wanaume mnanuniana?
01j0208585....
Habari zenu wana MMU hope wengi wenu wazima!
Mwenzenu nina jambo linaloniumiza kichwa sana!
Nina rafiki yangu ambaye tulikwazana muda kidogo uliopita ambapo hadi sasa hakuna anayemsalimia mwenzie!
Huyo rafiki yangu ana mpenzie ambaye juzi ya jumatatu nimepishana naye gesti akitoka na mtu ambaye ninamfaham kuwa ni mwathirika wa HIV (ninamfahamu huyo mtu coz ni jirani yangu wa karibu sana) sasa nahitaji kumtahadharisha huyu rafik yangu niliyegombana naye ila sijui hata pakuanzia sababu hatuelewani hata chembe,
Nipeni ushauri sababu hilo jambo ni zito kwangu,
^^
Tafuta mtu mwingne anaemuamini, umweleze kwa kirefu na kupitia yeye akamhadharishe.
Kumsaidia mtu pasipo yeye kujua ni zawadi njema ipitayo wema wa njiani
^^
Habari zenu wana MMU hope wengi wenu wazima!
Mwenzenu nina jambo linaloniumiza kichwa sana!
Nina rafiki yangu ambaye tulikwazana muda kidogo uliopita ambapo hadi sasa hakuna anayemsalimia mwenzie!
Huyo rafiki yangu ana mpenzie ambaye juzi ya jumatatu nimepishana naye gesti akitoka na mtu ambaye ninamfaham kuwa ni mwathirika wa HIV (ninamfahamu huyo mtu coz ni jirani yangu wa karibu sana) sasa nahitaji kumtahadharisha huyu rafik yangu niliyegombana naye ila sijui hata pakuanzia sababu hatuelewani hata chembe,
Nipeni ushauri sababu hilo jambo ni zito kwangu,
umetoa wazo zuri sana miss ila tatizo lipo kwenye njia gani nitaitumia kuwasiliana naye ukizingatia jamaa hataki hata kusikia jina langu!???
hana marafiki?
tumia marafiki zake kumfikishia huo ujumbe mzito...........
Leo umetoka kule chumbani. kwako?
Maria Roza umemwacha na nani? Ngalikihinja ajambo? sumbawanga yupo? na Madame B anaendeleaje? karibu
Habari zenu wana MMU hope wengi wenu wazima!
Mwenzenu nina jambo linaloniumiza kichwa sana!
Nina rafiki yangu ambaye tulikwazana muda kidogo uliopita ambapo hadi sasa hakuna anayemsalimia mwenzie!
Huyo rafiki yangu ana mpenzie ambaye juzi ya jumatatu nimepishana naye gesti akitoka na mtu ambaye ninamfaham kuwa ni mwathirika wa HIV (ninamfahamu huyo mtu coz ni jirani yangu wa karibu sana) sasa nahitaji kumtahadharisha huyu rafik yangu niliyegombana naye ila sijui hata pakuanzia sababu hatuelewani hata chembe,
Nipeni ushauri sababu hilo jambo ni zito kwangu,
hahahaaa! Ulivyotaja namba haraka. Kweli rafiki wa mwanamke ni pesa.........