kichwa kinaniuma nifanyeje mwenzenu

kichwa kinaniuma nifanyeje mwenzenu

umetoa wazo zuri sana miss ila tatizo lipo kwenye njia gani nitaitumia kuwasiliana naye ukizingatia jamaa hataki hata kusikia jina langu!

Ningekuwa mimi nimemwambia straight kwa sababu sina cha kupoteza. Urafiki umeshaingia doa so kama moyo wako unakutuma kutenda jambo jema kwa ajili ya huyo 'rafikiyo' ni moyo huo huo utatengeneza njia ya kufikisha ujumbe. Sana sana mimi ningekuelewa concern yako kwa huyo mpangaji wako kuwa unamnyanyapaa kwa watu lakini si kwa huyo 'rafiki' ambaye hataki hata kusikia jina lako. Je vipi itakuwaje akikuona live.NB: By the way si kila mwenye partener mwenye HIV + naye anaambukizwa!

ni kweli mkuu!
 
Mnapenda kubeba mizigo isiyo yenu, acha wafu wawazike wafu wenzao. Butua, I am sure una mambo mengi ya kufanya zaidi ya hilo. Kusutwa kunakuita wewe.

ushauri mzuri vp ndo angekuwa kaka yako ungekubali nimwache yamkute?
 
Dah tatizo haujui huyo shemejio ameanza lini kutoka na huyo +ve..i hope bado hajamuambukiza, if yey amepata coz inawezekana wanangoneka salama na huyo +ve..tafuta rafik mwenye busara and umueleze ili afikishe ujumbe.
note:jishushe 2 muyamalize coz jamaa atakuw na maswal meng ya kukuuliz.

kujishusha itakuwa ngumu coz mwanzo yeye ndo aliyesababisha yote!
 
Wanaume huwa hawachuniani, hilo ni bifu la kike...
msaidie rafiki ako mwambie, ila na kusutwa ujiandae
make mambo ya wapenzi waachie wapenzi wenyewe,
watagombana ila wakipatana unalo!!!!!

Kwani kutiana na mtu mwenye HIV ni kuambukizwa VVU? Kama walitumia condom? Na kama huyo mnayetaka apewe taarifa kama alishaathirika! Sioni sababu ya kuumiza kichwa, aendelee na 50 zake bhana
 
Usiri wa kufichua waathirika ni moja ya vyanzo vikuu vya maambukizi mapya ya ukimwi...

Hizi habari za kufichana zilikuwa zamani, sasa hivi mtu akiwa na VVU anawekwa peupe kila wa kujua ajue...

Sasa kama wataka msaidia mwenzako wala huitaji kuvunga, mweleze ana kwa ana pasipo kificho...

Asipokuamini wala usijali kwani wajibu utakuwa ushautimiza...
 
Usiri wa kufichua waathirika ni moja ya vyanzo vikuu vya maambukizi mapya ya ukimwi...

Hizi habari za kufichana zilikuwa zamani, sasa hivi mtu akiwa na VVU anawekwa peupe kila wa kujua ajue...

Sasa kama wataka msaidia mwenzako wala huitaji kuvunga, mweleze ana kwa ana pasipo kificho...

Asipokuamini wala usijali kwani wajibu utakuwa ushautimiza...

huwezi jua atalipokeaje na je kama na yeye ameshaambukizwa c ataniona nimechangia au nimetengeneza mazingira ya kisasi,,,!!!
sitak kuonekana m'baya ndo maana sitaki nifanye maamuzi ambayo nitakuja kujuta baadae!
 
kama nilivyoandika hapo juu kuwa huyo mwathirika ni jirani yangu wa karibu sana namaanisha hadi ratiba zake za kuchukua dawa ARV ninaijua in short ni mpangaji wetu na mimi nimezoeana sana!

tobaaa!rafki ako amekwsha haina hata haja ya kumwambia tena!duh
 
kuna dawa inaitwa "Mind your business"...naona ungeitumia hiyo usingeleta hii thread hapa..
 
kama nilivyoandika hapo juu kuwa huyo mwathirika ni jirani yangu wa karibu sana namaanisha hadi ratiba zake za kuchukua dawa ARV ninaijua in short ni mpangaji wetu na mimi nimezoeana sana!
Na kingine kibaya zaidi ni kwamba, hujajua huyu mwathirika kalala mara ngapi na huyu dada, huenda hiyo haikuwa mara ya kwanza. Unaweza kumwambia jamaa yako, lakini bado ikawa hajasaidia sana kwa sababu huenda mahusiano ya binti na huyu mwathirika ni ya muda mrefu.
 
huwezi jua atalipokeaje na je kama na yeye ameshaambukizwa c ataniona nimechangia au nimetengeneza mazingira ya kisasi,,,!!!
sitak kuonekana m'baya ndo maana sitaki nifanye maamuzi ambayo nitakuja kujuta baadae!

Kila unaloshauriwa na wadau unapinga, haya fanya unavyoweza
 
wadau mi naona ni bora tu nile 50 zangu potelea mbali itakavyokuwa na iwe au mnaonaje!!!???
 
Kwani kutiana na mtu mwenye HIV ni kuambukizwa VVU? Kama walitumia condom? Na kama huyo mnayetaka apewe taarifa kama alishaathirika! Sioni sababu ya kuumiza kichwa, aendelee na 50 zake bhana

Huwezi jua anaweza okoa jahazi, bora ajaribu kama wameshaathirika basi
 
Mfahamishe ukweli aujue kwa busara kubwa uwe umetua mzigo wa dhambi.
 
imefanya nn?

drunk-smiley-emoticon.gif
pole sana...ni asubuhi tu...
 
wadau mi naona ni bora tu nile 50 zangu potelea mbali itakavyokuwa na iwe au mnaonaje!!!???

Umeamua vyema.Ila uombe MUNGU huyo jirani yako asije tembea na mpenzi wako maana na wewe hutapata mtu wa kukwambia.
"kwa maana kipimo kilekile mpimacho ndicho mtakachopimiwa"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom