The End..
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 4,362
- 3,846
- Thread starter
- #41
Mlizulumiana au ilikuaje
aliniazima pesa zangu kiasi kingi kidogo na kuniahidi kuwahi kunirudishia siku, miezi, mwaka ukakatika mtu kimya! nilipojaribu kumkumbusha akanijia juu kuwa biashara yake imeingia hasara kubwa hivyo hafikirii kunirudishia!
nilichoamua ni kumkalia kimya he! akaja tena eti nimemroga coz hajielewi kila anachofanya hafanikiwi,,,,, nikashikwa na hasira sababu alikuja kwa jazba kubwa watu walijaa sana!
nikasema liwalo na liwe kilichofata nadhani unakijua!!!