CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
nilipokuwa darasa la kwanza tulikuwa tunafundishwa kuimba hv "tunaunganisha herufi na irabu tunapata silabi,silabi na silabi ni neno neno na neno sentensi na hivi sasa tunasoma A E I O U. Basi enzi hizo tulikuwa tunakwenda shule asubuhi thn tunatoka sa sita mchana then tunarudi sa nane tunasoma mpk sa kumi jion. sasa siku tulikuwa kunaimba hako kawimbo ilikuwa mida sa sita kasoro wanafunzi wote tushachoka na njaa ni kali. basi mwalimu akamuuliza mvulana 1. wambura 'tunaunganisha nini na nini ili kupatta