kichekesho cha ukwel

kichekesho cha ukwel

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,997
nilipokuwa darasa la kwanza tulikuwa tunafundishwa kuimba hv "tunaunganisha herufi na irabu tunapata silabi,silabi na silabi ni neno neno na neno sentensi na hivi sasa tunasoma A E I O U. Basi enzi hizo tulikuwa tunakwenda shule asubuhi thn tunatoka sa sita mchana then tunarudi sa nane tunasoma mpk sa kumi jion. sasa siku tulikuwa kunaimba hako kawimbo ilikuwa mida sa sita kasoro wanafunzi wote tushachoka na njaa ni kali. basi mwalimu akamuuliza mvulana 1. wambura 'tunaunganisha nini na nini ili kupatta
 
dah,mchina hana maana. naendelea. tcha akamuulza wambura tunaunganisha nin na nini ili kupata silabi. wambura akajibu tunaunganisha ugali na nyama!!.!!!!!!!
 
km hukusoma st.kayumba enzi za mwalimu huwez elewa. we c mtoto wa masak. je hujui kwa ukiunganisha heruf na irabu unapata silabi na ukiunganisha silab na silabi unapata neno kamîl na ukiunga neno na neno unapata sentens. we mwalm wako wa kiswahl hakukufundsha?
 
Umenikumbusha mbal sna, enzi hzo npo shule ya msingi Uzuri pand za Manzese Dsm. Kuna ticha wang alikuw anaitw mwl. Mwasambungu ali2kmbiz sna kwny kusoma tebo za kuzidisha.
 
Mie ndo usiseme,maana mida ya kuondoka ile saa sita na kuwapisha wengne tulikuwa tunawaaga,
CHOMA NYAMAAA.
 
Back
Top Bottom