MASKINI CHADEMA WAPO HOI WAMEKATWA KICHWA HUYO NI LISSU DA
Vyama vinachanganya kwa ajili ya kutojielewa na umaskini kiasi mtu anajikuta anawaza kwa kutumia tumbo ili njia ya kwenda toilet isiote nyasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mgombea wa nafasi ya uraisi wa chama fulani anasumbuwa watu vichwa na kuwakosesha watu usingizi , alafu pia Kuna baadhi ya makada katika chama Fulani niwasaliti ila wamejificha uwezi ukawajuwa yani hawatabiriki Kama Wajumbe. Hii ndio tafasili alisi ya hii picha ya masudi kipanyaMASKINI CHADEMA WAPO HOI WAMEKATWA KICHWA HUYO NI LISSU DA
( by some body bwana yuleeeee!!!!)Kuna mgombea wa nafasi ya uraisi wa chama fulani anasumbuwa watu vichwa na kuwakosesha watu usingizi , alafu pia Kuna baazi ya makada ktk chama Fulani niwasaliti ila wamejificha uwezi ukawajuwa yani hawatabiriki Kama Wajumbe. Hii ndio tafasili alisi ya hii picha ya masudi kipanya
Hii tafsiri ndo baba lao.Mbona maana iko wazi tuu:
1. Hiko ni chumba cha mtu (nchi). Chumba tayari kilikuwa kimepakwa rangi ya bluu. Lkn CCM & CDM wanafosi kupaka upya rangi zao wenyewe (kijani & nyekundu), na kwa kuwa hawana maelewano basi wanajikuta wanachafua ukuta tuu maana hapa rangi ya kijani, mara pale ya nyekundu, kule kijani basi ni vululuvululu tupuu.
2. CCM na CDM wote wanatumia kitanda kimoja (Tanzania) lakini wanakichafua kwa kupaka rangi zao.
3. Shuka lina rangi ya CCM, mto una rangi ya CDM. Kama CCM ni shuka, basi CDM ni mto. Lkn tukumbuke kitanda huwezi kukilalia bila shuka na mto.
4. Wenye chumba/kitanda (wananchi) nao hawana vichwa wapo wapo tuu hivyo hawana la kufanya zaidi ya kuangalia chumba chao kikichafuliwa ovyo.
Unforgetable
Duh.Maisha yenyewe tu ni changamoto,nikiweka na maswali ya KP kichwa kitawaka moto bure.View attachment 1578010
Wamebaki wakiangalia kwa kutumia nini?Mbona maana iko wazi tuu:
1. Hiko ni chumba cha mtu (nchi). Chumba tayari kilikuwa kimepakwa rangi ya bluu. Lkn CCM & CDM wanafosi kupaka upya rangi zao wenyewe (kijani & nyekundu), na kwa kuwa hawana maelewano basi wanajikuta wanachafua ukuta tuu maana hapa rangi ya kijani, mara pale ya nyekundu, kule kijani basi ni vululuvululu tupuu.
2. CCM na CDM wote wanatumia kitanda kimoja (Tanzania) lakini wanakichafua kwa kupaka rangi zao.
3. Shuka lina rangi ya CCM, mto una rangi ya CDM. Kama CCM ni shuka, basi CDM ni mto. Lkn tukumbuke kitanda huwezi kukilalia bila shuka na mto.
4. Wenye chumba/kitanda (wananchi) nao hawana vichwa wapo wapo tuu hivyo hawana la kufanya zaidi ya kuangalia chumba chao kikichafuliwa ovyo.
Unforgetable