Uli mbine?Hakika Kibonde yuko juu kama mawingu!! Manake sijawahi kuona mti usio na matunda ukipopolewa mawe.
Ukilaza wake unaanzia kwenye matokeo yake mabaya ya mtihani form 4 tafuta humu matokeo yake wadau waliyaweka ndio utajuwa bichwa lile liko Empty.Hivi ukilaza wa Kibonde uko wapi? Unaweza kunionyesha?
Wanasema mbwa ukishamjua jina hakusumbui...jahazi ilishapoteza kwa hiyo unachoona ni juhudi za mfa maji kudraw attention...umeona baadhi ya waliokuwa macelebtrity au watu wanaojiheshimu wanavyo chukua extreme measures baada ya kupoteza mfano kuvaa nguo ndio sivyo, kufanya vituko nk.Wanaelezea ajari ya jana ya mikumi kwa namna ya utan sana kama ni tukio la shangwe au la furaha ambapo kuna wafiwa ambao bado wanamisiba mibichi na majeruh ambao mpaka sasa hawajapatiwa tiba. Tunaomba kibonde na wenzake wake na moyo wa iman
Ndio zao hizo kujidai anajua kila kitu. Arv's zimeshampanda kichwani.
Ukilaza wake unaanzia kwenye matokeo yake mabaya ya mtihani form 4 tafuta humu matokeo yake wadau waliyaweka ndio utajuwa bichwa lile liko Empty.