TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
Kiranga,I am glad that you do understand the exploitation that plays here, that is huge.
What I cannot understand is how can you excuse Kibonde. After all, by your own accord, he is supposed to be "the best in the biz", he was at CTN previously, our version of CNN, it's not like he is gonna starve if he is gonna say no to Ruge.
And he didn't even have to say no to Ruge categorically, angeweza kutoa any excuse for this particular broadcast. Hakufanya hivyo, ametaka kuji associate na exploitation ya Clouds, ambayo ironically ina mu exploit hata na yeye pia.
To be poor is a crime, but to be of poor mind is a tragedy.
Ephraim is definitely not poor in the Tanzanian sense of poor, bu he certainly is of poor mind.
And this is a tragedy, kwa sababu watu kama Ephraim wangeweza kuwa so effective katika ku propagandize ( in so far as the positive aspects of the spices of propaganda can go) katika kuwamulika washenzi kama kina Clouds FM. Ephraim angewez hata kuwa another Kusaga kama angetaka (What did Kusaga start with anyway, apart from his dad's support?) lakini Ephraim kaamua ku stick to his comfort zone, not rocking the boat.
Guess what do you get for doing that?
Mediocrity.
On the other hand, Sugu anaweza kuweka legacy kwa kuwa take Clouds head on. A legacy far and beyond any of his musical albums.
And the way Ikulu wanavyo ji mix, who knows, tunaweza hata kupata mvutaji mwenzetu bungeni.
I have analysed and placed kibonde where is stands; as a presenter he is very good, na ndio maana nikasema kuna watayarishaji wa vipindi wale ndio wanaochezesha mchezo!!! he is just a mask kwenye face ile....
So as far as presenting is concerned, he has done good... sasa tukija kwenye potentials na exploitation, Ephraim can do better, and now that he has recovered well, i dont think he cant do it, hapo nyuma hakuwa fit sana lakini sasa yuko fit!!
Nakumbuka Hando alipotoswa na hawa jamaa baada ya kudokoa... walimbania everywhere (kumbuka networks zao si ndogo mazee, ziko hadi kwa mkulu) hadi akarudi na kupiga magoti na kuishia kuwa mtangazaji wakati si profession yake!!!
Let me tell you, we have let them exploit people for soooo long that if we want to counter them now, the we would need Sugu na wasanii wengine kusimama imara
that been said, i have three things here;
- Let Ephraim aendelee na anachofanya kwani ndiyo kazi yake under his current management
- Let us all try to unearth exploitation ya clouds, which in fact ipo kila sehemu ya mdeia duniani but we can do better
- Let support sugu kupata haki yake... i wish angekua member humu ili watu wample tactics za kudai haki yake