Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
Kiranga, you have a point kwenye objectivity na conflict of interest.
Nimemsikiliza Kibonde alivyomzungumzia Sugu.
Kwanza tukubaliane, Kibonde ana kipaji cha utangazaji comedian. Pamoja na kipaji chake, ana matatizo makubwa mawili.
1. Huwa ana overdo hizo comedy out of proportion na Gardner ndio huwa anamsaidia sana kummodarate. Katika ku overdo hufikia kiasi una waunder estimate wasikiliza wake, hivyo kutoa vichekesho ambayo only watoto wa nursery ndio watacheka, hivyo kumfanya aonekane kama fool fulani hivi.
2. Anazidisha mizaha hata kwenye serious issues, hivyo kupunguza seriousness ya kipindi chao kubakia kama kipindi cha vunja mbavu fulani. Hii ya kutojua wapi uweke mzaha na wapi usiweke, ina uhusiano na shule na haiba ya mtu. Hii inapelekea Kibonde kuonekana kama kibonde fulani, mbona Gardner anamaintain objectivity yake?.
Kwa maoni yangu sidhani kama Ruge ndio kamtuma Kibonde afanye aliyoyafanya, nadhani intention ilikuwa kumdefend bosi wake, ila akajikuta amehamanika na kumblow Sugu out of proportion katika kujikomba kwa bosi.
Hii ya Clouds kuwa redio ya wahuni, si kweli, bali ni redio ya vijana kama ilivyo East Africa, tofauti, EA ni radio ya vijana wa Academy wanazungumza Kiingereza, na Clouds ni ya vijana wakiswazi, bahati mbaya wengi wa vijana hawa huonekana kama wahuni. Clouds inazungumza lugha yao, inawafikia na wanaisikia.
Wako washua waliyepiga shule na wanayejiheshimu wanasikiliza Clouds inategemea ni kipindi gani. Mimi japo sio msure, na wala sijapiga shule, ila najiheshimu na husikiliza Jahazi.
Mnapoteza muda, Sugu kashalia, na wajinga wjinga wengine watalia tu. Mnamwonea Kibonde. Ametumia uhuru wake wa kutoa maoni.