Kibonde aiponda tuzo ya Mo Ibrahimu

Kibonde aiponda tuzo ya Mo Ibrahimu

Kibonde ni bonge la kilaza tena kiazi kilichooza,

alizaliwa bila kichwa akawekewa nazi koloma iliyojazwa masalo ya nyanya,

bora nisikilize music kwenye simu ya mchina kuliko kusikiliza jahazi la clouds fm
ambalo kibonde ni mmoja wa watangazaji

hafai kuwa mtangazaji wa radio inayosikilizwa na umma,
kazi inayomfaa ni U-MC wa CCM na utangazaji wa radio uhuru.
 
Tatizo ni kwamba watu kama hawa hawapati maoni sahihi ya vipindi au mazungumzo yao redioni. Hapa tunawalaani lakini amini kwamba kuna kundi kubwa la watu linalompa sifa na yeye akisha pewa sifa kama hizo huvimba kichwa bila kuangalia quality ya hao wanaomsifu.

Sijui elimu yake iko hatua gani. Siamini kama aliwahi kupitia chuo chochote cha taaluma yoyote ile! Kama haya yote hayana tatizo kwake, Upungufu wake ni kutofanya homework. Anategemea ufahamu wake mdogo kuendesha vipindi.
 
Kibonde anashika nafasi ya kwanza katika orodha ya wana-ccm wanaofikiri kwa kutumia masaburi. Besides, inamuuma kusikia kuwa mkulu, licha ya kupewa hadhi zote ikiwemo kugonga kengele katika soko la hisa la Nasdaq, kupiga picha na 50 cent (eti kisa kuazimisha miaka 50 ya uhuru), kupresent UN kuhusu mambo ya wamama, lakini mtu wa bagamoyo amepotezewa kotekote kuanzia Tuzo ya Amani ya Nobel mpaka na sasa Tuzo ya Mo. Mwaka huu WAMA imekula kwenu.

Mkuu wale mazuzu watetezi watakuvamia, ngoja tutaona!!! Akina ritz, Rejao, MS etc.
Kidonde hafai hata kuitwa commentator, I think he has something below that, yule uewezo wake wa kufikiri ndo umefikia pale, acheni kupoteza nguvu zenu!!
 
Kibonde ni punguani kama mapunguani wengine inabidi apelekwe MILEMBE
 
Kibonde hana uwezo wa ku critisise jambo kubwa kama hili. Anangalia umbali wa pua yake. Njaa zinamsumbua
 
We kweeeeeeeeeeeeeeli ni kibonde......................... nadhani umetumwa na hawa Majani ya kijani wenziooooooooooo,

Wenyewe ni makupe they know nothing about good governance n Leadership Kenge nyinyi
 
Samahani jamani! Nadhani jina lake ndio tatizo linamfanya awe zuzu kabisa, kuna tuzo za nobel, waandaji kili muziki mbona nazo hakusema zende kwenye ngo? Nakumbumbuka mjinga huyo alipinga sana hela ya rada isiende kwenye ngo, sasa kasahau?
 
Swali ni moja tu aulizwe Kibonde...Hiyo Tuzo angepewa Kikwete Je Angeipondea?
 
Binafsi kanipunguzia pressure ya kuhakikisha kwa siku nimesikiliza clouds FM.lakini zaidi namchukia sana Kibonde kwa uropokaji wake nadhani njaa,halafu ame-focus kitu 2015 ndo maana amekuwa vuvuzela la ccm kiaina,amekuwa ni mtu wa kuponda kitu chochote ambacho hakimsifii Jeikei na serikali yake ndio maana anaropoka sana siku hizi,na kiukweli ni kituko kuipinga tuzo hii yz nobel,asitegemee Jeikei wake atakuja hata kuwa nominated,hiyo ni ndoto hata kama angelikesha anapigia debe.kweli ni kibonde tena niseme ni Libonde.
 
Akitangaza katika kipindi cha jahazi, mtangazaji Kibonde ameiponda tuzo ya Mo Ibrahimu inayotolewa kwa viongozi/marais wa Africa wanaofanya vzuri katika uongozi wao. Ameielezea tuzo hiyo kuwa ni ya kisiasa zaidi isiyo na tija.

Katika maelezo yake Kibonde anahoji kwa nini zitolewe fedha?kwa nini iwe ni kwa marais wa Africa na c Ulaya? Kwa nini pesa hizo zisingetolewa tu kwa Ngo's yeyote kusaidia maendeleo? Tuzo hiyo mwaka huu imetolewa kwa aliyekuwa rais wa visiwa vya Carpe Verde Bwana Pedro Verona.

Mimi huwa namsikiliza kibonde kama ninavyowaangalia ze komedi ama futuhi!

Ukimchukulia serious kibonde utaishia kumlaumu kila siku. Huo ndio uwezo wake msimlaumu, he is low that much.
 
Huyu kibonde alistahili awe mtangazaj wa RADIO UHURU,anaisfia ccm hata pacposifika,anaropokaropoka tu nliwah mckliza zaman kwenye kipndi cha jahaz,mbona watangazaj wenzake wa jahaz hawaropokiropoki ujingaujinga kama huu??ni mtu mzma lakn anafkiria kwa kutumia masaburi
 
Kibonde ni bonge la mtangazaji, ana sauti inayosikika vizuri pia ana upeo mkubwa wa kupambanua mambo, ninachokiona hapa ni chuki binafsi mlizonazo juu yake!
 
Mnapata muda wa ku-tune clouds, tena jahazi?
Jahazi lilishazama muda mrefu lile!
Eti nikae namsikiza Kibonde, labda kwenye daladala aisee.
 
Kikwetu KIBONDE maana yake ni sehemu ya kunyea,yaani sehemu ya kutolea haja kubwa!
 
Hayo tena ni "Mahoka"!!!! Huyu kijana shida ni hilo jina tu!!! KIBONDE!!!! Jamani angalieni sana wakati wa kuwapa majina watoto wenu!!! Majina mengine nomaaaaaaaa!!!
 
Kirefu cha Kibonde.
KI-Kilaza
BO-Bongolala
NDE-Ndezi
Asipoteze muda wetu huyu f*l*!
Key:*=a.
 
Samahani jamani! Nadhani jina lake ndio tatizo linamfanya awe zuzu kabisa, kuna tuzo za nobel, waandaji kili muziki mbona nazo hakusema zende kwenye ngo? Nakumbumbuka mjinga huyo alipinga sana hela ya rada isiende kwenye ngo, sasa kasahau?

Kila siku Dr. Isaac Ndodi anasema jina la mtu lina reflect tabia na akili ya mtu, hivyo KIBONDE ni Kilaza wa ukweli. Kwa vile Bob Nkaapa hajaipata tuzo hiyo japo kuna miaka inakosa wa kumpa, Huyu Vasco da Gamba ndo kabisaa atakuwa anaisikilizia kwenye bomba kama sisi raia!
 
Back
Top Bottom