Jambazi lazima aibe kitu hayo ni mauaji ya kisasi nadhani hatuna jina sahihi la kiswahili kwa mtu anayeua bila kuiba.Sasa wanaitwaje Majambazi kama hawakuchukua kitu chochote
Jambazi lazima aibe kitu hayo ni mauaji ya kisasi nadhani hatuna jina sahihi la kiswahili kwa mtu anayeua bila kuiba.Sasa wanaitwaje Majambazi kama hawakuchukua kitu chochote
Mkuu hawa jamaa ni kama KIDON kile kitengo mahususi cha mauaji chini ya Mossad.kulala saa 12
Mwisho kuonekana sa 12
Force imetumika kubwa ila bado hitmen wanafanya yao
Intellijensia ndogo
Au hitmen ni watalaamu sana maana kwa wanavyotekeleza mauaji kimya kimya kama spies wa KGB
Dhuluma gani kwa mfano?Jamaa wa kibiti walishasema watadeal na wanoko wote wanaoleta dhuruma Kwa wananchi ,rejeeni ripoti maalum ya gazeti la mwananchi
AIsee una akili timamu wewe!Chadema njooni mshangilie sasa
Hata mimi nashangaa hawa kuitwa majambazi, hawa in wauaji kwa malengo (assassins).Sasa wanaitwaje Majambazi kama hawakuchukua kitu chochote