JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Mkuu wa Wilaya ya Geita, Cornel Magembe amesema miongoni mwa watu wanaoshikiliwa yupo pia mwananchi mwingine aliyekuwa miongoni mwa watu walioingia kwenye hifadhi ambaye baada ya mahojiano hatua za kisheria zitafuata dhidi yake.
Chanzo: Global TV