314
JF-Expert Member
- Aug 29, 2016
- 585
- 901
Samahani mkuu hivi kwa tanzania mtu akiacha dna au finger prints tuna database ambayo inafanya reference na kuwatambua au inakuaje naona kama vyanzo (database) vya kupata taarifa hizi havipoKama wamemtafuta mpaka uvunguni lazima wameacha alama, Police watumie DNA test waweze kuwapata