Ukiwa huna nidhamu ya pesa kibati ndio mkombozi lakini kama unaweza kusema nitaweka kila siku shilingi elfu 5 na sita igusa kabisa mpaka baada ya miezi 3 huna sababu ya kucheza kibati, lakini kama ni kweli huwezi kuweka hela yako mwenyewe kwa uaminifu na kutimiza malengo nenda kwenye kibati, ila kiukweli kiabati kina leta faida na majanga, wengi wanatumia hela zilizopitia uchawi ili achukuaye asifanikiwe na ndio maana unakuta mtu anacheza kibati miaka 10 lakini hakuna la maana alilofanya imekuwa kama kawaida tu kucheza basi.