Kama ww ni mkaka shukuru Mungu hujaalikwa, ni kudhalilika. Uswahili tu, mie tu mdada na mtu akinialika najiuliza kanionaje? Crappy stuff, mtoto hafundishwi kunyonya banaa!
Hivi kweli Bishanga unaenda kwenye mdundiko asubuhi hii yote, lol.
kweli wewe ni fisadi, watu ndo kwanza tunatafuta mkate wa siku wewe
unaanza mdundiko haya bana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.