Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mkuu watasema ni mkenya mwingine maana wa Dk bado yupo selo !
Kwa mujibu wa kauli yake mwenyewe.......
"Nilifika nyumbani kwangu kama saa 6 usiku nikitokea kazini tulikuwa tunafuatilia uchaguzi wa kenya tukaona hamna la maana"