Izz
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 750
- 318
"Nikiwa bado Muhimbili kabla ya kupelekwa Afrika Kusini, nilizungumza na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Said Mwema, Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar Es Salaam, Suleiman Kova; na nilipokua Afrika Kusini nilitembelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi na kwamba wote waliniahidi serikali ingefanya kila linalowezekana kuwakamata wahalifu hao.
Hata Rais Jakaya Kikwete alinitembelea hospitalini Milpark, alinieleza maneno hayo hayo. Lakini leo ni miezi mitatu, hakuna mtu aliyekamatwa. Hili ni jambo la kusikitisha sana; inanifanya ni muulize Mungu kwa nini aliruhusu niwe hai hadi sasa" Absalom Kibanda, M/Kiti Jukwaa la Wahariri Tanzania
SOURCE: Mawio
Kwa habari zaidi soma gazeti hilo.
Hata Rais Jakaya Kikwete alinitembelea hospitalini Milpark, alinieleza maneno hayo hayo. Lakini leo ni miezi mitatu, hakuna mtu aliyekamatwa. Hili ni jambo la kusikitisha sana; inanifanya ni muulize Mungu kwa nini aliruhusu niwe hai hadi sasa" Absalom Kibanda, M/Kiti Jukwaa la Wahariri Tanzania
SOURCE: Mawio
Kwa habari zaidi soma gazeti hilo.