The Flycatcher
Member
- Dec 23, 2007
- 23
- 0
yaani hii inaonyesha kibaki amecheza dirty game,mtu akishinda kihalali utaalika marafiki, ndugu na jamaa usherekee nao! sasa kibaki hataki kuita rafiki na majirani kwanini? hata angeita hata mafisadi wezake ingekuwa disguise nzuri! afrika moto