Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Usimwambie
Haya sitomwambia.
Usimwambie
Sasa lawyer na ngabu unamsikiliza nani?
umenilet down.
Hehehe. . hongera kwa kujaaliwa mengine kufidia kiuno.
Wala hakihitaji kurembwa.
Hehehhe. . Basi ntachora tatoo.kwa hiyo wakiacha hivyo hivyo plain kama cha mtoto wa kiume eee!
mie nataka ukirembe tu kionekane cha kike...hata mtu mwingine akiwafuma mnahangaishana kwa bahati mbaya kwenye ile mipambano yetu ya kirafiki kwenye uwanja wa fundi seremala aweze kutofautisha basi,ajue yule alie juu ni mama na yule wa chini ni mama wanapigana!hehehhe. . Basi ntachora tatoo.
Au we una pendekezo lingine?
Mama na baba bwana.mie nataka ukirembe tu kionekane cha kike...hata mtu mwingine akiwafuma mnahangaishana kwa bahati mbaya kwenye ile mipambano yetu ya kirafiki kwenye uwanja wa fundi seremala aweze kutofautisha basi,ajue yule alie juu ni mama na yule wa chini ni mama wanapigana!
heri mimi sikuangalia, nitauona ufalme wa mbinguniastaghafulilah
Mama na baba bwana.
Niambie basi aina za urembo nichague.
Nikimsikiliza lawyer naweza nikapata kesi, ngoja nimsikilize Mzee Ngabu.
mimi nimeangalia nusuheri mimi sikuangalia, nitauona ufalme wa mbinguni
Ntakutafuta unipe somo kabla sijakimbiwa kisa kiuno kama cha mtoto wa kiume.tia angalau na chachandu kidogo mdogo wetu,tukufundishe kila kitu,nimekwambia kama unataka mambo hayo nitafute nikukaze kitako kukujuza mengi kuhusu shughuli zetu hizi za kila siku,hutalipia chochote tayari kuna mtu amekulipia ....cuz umemfurahisha sanasana na iko kiuno chako chembamba unavyoimba na kucheza nacho mwenyewe!
Una busara sana wewe.
Tunakoelekea kimaadili mmmh...bora nirudishe family yangu kijijini!
mimi nimeangalia nusu